Huwa sielewi watu wanatoa wapi Uhalali wa kumfananisha Mwanamuziki Fally Ipupa na Feregola!

Fere Golla nyimbo maarufu na nzuri ni hizo 2 tu (100 Kilos & Kamasutra) lakini Fally Ipupa nyimbo zote ni hatari na nusu!.


Uzuri wa fally ipupa nyimbo za taratibu na sebene ni gwiji
Carte Rose isikie tu
 
Kwa utunzi wa mashairi gola yuko mbali sana kwa fally ni kama kiba na mond
 
Wewe weka 100 Kilos hapo isikie vizuri yaan vyumba vikishajaa kichwani alafu uwekewe hio Ngoma hapatoshi

Mkuu kwahiyo hiyo 100 kilos mpaka Vyombo vijae kichwani ndo ionekane nzuri?


Sasa hapo huoni kama MAYDAY,ALLIANCE,MARIA,ASSOCIE,LIPUTA & OGARSY zitakuwa zinakuonea?
 
Kwa utunzi wa mashairi gola yuko mbali sana kwa fally ni kama kiba na mond

Are U serious?

Hebu weka mashahiri ya wimbo wa Fere Golla hapa halafu na mimi niweke ya Fally Ipupa halafu tuyatafisiri tuone nani zaidi!
 
Wadanganye wajinga wasiojua Rhumba , Fally hampati Ferre hata kwa namna gani , Kwanza Fally ana style moja tu ya kuimba kiasi ambacho amekwisha chuja vibaya sana , ferre gola ni mtaalam wa sauti na anaweza kuimba sauti ya mwanamuziki yeyote unayemjua dunia , mpangilio wa Rhumba ya Ferre gola ni wa kipekee , huyu ni fundi hasa wa Rhumba
 
Huu mpambano nataka nishije Kipaza sauti niingie nacho kiitaani kuwauliza wananzengo!,Lazima mshindi apatikane!
 


Wewe utakuwa na matatizo ya kiakili siyo Bure,yaani umfananishe mwanamuziki bora wa kongo kwa miaka 15 mfululizo na huo uchafu?
 
Are U serious?

Hebu weka mashahiri ya wimbo wa Fere Golla hapa halafu na mimi niweke ya Fally Ipupa halafu tuyatafisiri tuone nani zaidi!
Ndo iko hivo mkuu utakataa lakini ndo ukweli fally unampenda kutokana na ile amsha amsha yake ila gola anaroom yake na kina madilu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…