[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapiga Kura wakitoka geita Budaghala atashinda Kwa kishindo kama CCMFally Pupa afananishwe wasanii kama vile akina Bhudagala Mwanamalonja wa huku Meatu lakini sio Feregolla [emoji1787]
Na hata hivyo sio rahisi, Bhudagala pia ni level nyiningine kabisa
🤣acha kusema ukweli basi na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapiga Kura wakitoka geita Budaghala atashinda Kwa kishindo kama CCM
hili dude sio poa100 Kilos ikipigwa Bar ushapiga vijiti vyako Jagérmeister kashakaa kichwani hapatoshi
Fere Golla nyimbo maarufu na nzuri ni hizo 2 tu (100 Kilos & Kamasutra) lakini Fally Ipupa nyimbo zote ni hatari na nusu!.
Uzuri wa fally ipupa nyimbo za taratibu na sebene ni gwiji
Shekhe na congo wapi na wapi?Kuna nyimbo ya ki congoman sijaijua jina ila kun sehemu wanaimba kama
Mwashaeeh mwashaee
Amalizie na Cardenas kama nitakuwa nimepatia jina.Kuna jamaa yangu anakwambia yeye anamkubali zaidi Ferregola mpaka namshangaa.
Hebu chukua time yako kasilize hivi vibao Mayday, SL, Maria, Se-Yo, Un Coupe, Science Fiction n.k Fally Ipupa mwisho wa matatizo
Hafik kwa ferre golaKuna jamaa yangu anakwambia yeye anamkubali zaidi Ferregola mpaka namshangaa.
Hebu chukua time yako kasilize hivi vibao Mayday, SL, Maria, Se-Yo, Un Coupe, Science Fiction n.k Fally Ipupa mwisho wa matatizo
Mwishoooooo wa mjadalaaaaaa asante. Nifate inbox nikupe zawad muamala miamalaKuwa superstar na kupendwa sio kigezo cha kua msanii bora kuliko wengine hata burnaboy alijaza arena lakini sio msanii bora kuliko wote naigeria, diamond ni superstar bongo lakini sio msanii bora kuliko wote Tz kuna watu wanavipaji kuliko yeye wengi tuu, fally ipupa ana funbase kubwa duniani kuliko ferre gola ila hamzidi ferre gola kwa ubora, maisha haya na bahati hua inachangia.
Sasa unataka kulazmisha kujaza arena ndio ktu gan ww.... Ebu nikuulze swal kiba ma mond yupi anamzk mzurUtakuwa na kichaa sio Bure, Fally ipupa huyu huyu ambae album yake ya Formule 7 yenye nyimbo kama MAYDAY na SE-YO inazidi kuvunja recodi huko Spotify!
FAlly ipupa tarehe 25 November 2023 amevunja rekodi ya kujaza PARIS LA DEFENSE ARENA Pale Paris. Ticket zilikuwa sold out!
There 8 December 2023 akajaza Wembley Arena
Tarehe 16 December 2023 yaani kesho anapiga show pale ING ARENA Belgium. Na Kwa taarifa yako ticket zimeshakuwa sold out! ... La huelew maana ya SOLD OUT kaangalie kwe ye dictionary yako! Halafu nakuomba fuatilia hizo arena zinachukua IDADI ya watu wangapi.
Naomba unitajie show yoyote ya ferre Gola amewahi kusold out arena yoyote ulaya. Usilete maneno yako ya kujaza arena sio kuimba muziki mzuri.
Kabla ya December Kuna show aka kopo la fally ipupa litapigwa pale Kwa Biden!
View attachment 2843512View attachment 2843513View attachment 2843514
Maria and Mayday,OneloveAchana na wimbo huo mmoja tu wa mazingaombwe mkuu,sasa ukisema 100 kilos na Ambao tunaujua ASSOCIE tusemeje!
Hivi unaujua ALLIANCE,MAYDAY au MARIA?
Hao hawajui rhumba Fally Ipupa ni[emoji91][emoji91] sikiliza MH hatari tupuNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Hivi huwa mko Serious au huwa mnatania?,yaani Mwanamuziki Fally Ipupa mnamfananisha na Fere Golla?
Sijajua aliyeanzisha huu mpambano kama yuko timamu kichwani.
Koffi olomide amewahi kukaliliwa akisema "Moja kati ya waimbaji na wana jumuia wangu wa bendi ya QUARTIER LATIN ambao sitoweza kuwasahau ni Fally Ipupa,huyu mtu amebarikiwa kipaji cha aina yake katika muziki,bila shaka ukimtoa Marehemu Papa Wemba na mimi,basi atakuwa anafuata yeye"
Kwa maneno hayo ya Mkongwe na Gwiji la muziki wa Dansi na Rhumba kutoka Africa bila shaka Fally Ipupa ni Habari nyingine kabisa!.Vijana huyu Fally Ipupa uenda mtakuwa mmejua juzi tu baada ya kutoa wimbo wa Bakandja,Maria na Mayday!.
Lakini mimi mkongwe na wakongwe wenzangu tunaomfahamu Fally Ipupa toka Enzo hizo akiwa Stage Show na Singer wa Koffi Olomide kutoka bendi ya QUARTIER LATIN wala hatushangai namna alivyo hatari!
Vijana niwapendekezee tu,kama humfahamu Fally Ipupa hebu nendeni karudieni show aliyoifanya Dar es salaam mwaka 2009 ndo mtaelewa ni mtu wa aina gani!(Nendeni YouTube huko mtaikuta hii show)
Kwenye ile show walipanda wasanii wenu mnaowaaminia Amini & Barnaba wakaimba wimbo unaoitwa KIDIAMFUA,aiseee nilicheka sana maana wale wasanii wenu ni kama walikuwa wanaigiza siyo kuimba[emoji23],hapa ndipo nilijua hakuna msanii kitoka Tanzania anayejua kuimba bali huwa ni wababaishaji tu!
FALLY IPUPA acheni kabisa kumlinganisha na watoto wadogo katika muziki!
Anaijua Kamasutra huyu? Anaijua Court Circuit? Vita Imana 1&2? 100 kilos? AiseeMleta mada ni fala mmoja tuu hamjui ferre gola vizuri.
Kujulikana, kuuza havihusiani na uwezo binafsi. Kuna kuimba muziki, biashara na kismati.Utakuwa na kichaa sio Bure, Fally ipupa huyu huyu ambae album yake ya Formule 7 yenye nyimbo kama MAYDAY na SE-YO inazidi kuvunja recodi huko Spotify!
FAlly ipupa tarehe 25 November 2023 amevunja rekodi ya kujaza PARIS LA DEFENSE ARENA Pale Paris. Ticket zilikuwa sold out!
There 8 December 2023 akajaza Wembley Arena
Tarehe 16 December 2023 yaani kesho anapiga show pale ING ARENA Belgium. Na Kwa taarifa yako ticket zimeshakuwa sold out! ... La huelew maana ya SOLD OUT kaangalie kwe ye dictionary yako! Halafu nakuomba fuatilia hizo arena zinachukua IDADI ya watu wangapi.
Naomba unitajie show yoyote ya ferre Gola amewahi kusold out arena yoyote ulaya. Usilete maneno yako ya kujaza arena sio kuimba muziki mzuri.
Kabla ya December Kuna show aka kopo la fally ipupa litapigwa pale Kwa Biden!
View attachment 2843512View attachment 2843513View attachment 2843514
Anaijua kinshasa huyu? Mule kuna mtoto anasauti tamu anakua analalamika hivi dah ikifikaga pale lazima nirudishe nyuma.Anaijua Kamasutra huyu? Anaijua Court Circuit? Vita Imana 1&2? 100 kilos? Aisee
Fally anakismati sana japo anajua sana tuu kama ulivyosema hapo ila anajua kwa wengine ila sio kwa ferre gola jamaa ni hatari sana.Kujulikana, kuuza havihusiani na uwezo binafsi. Kuna kuimba muziki, biashara na kismati.
Note, si kwamba Fally hajui ila ukiwashindanisha, Ferre Gola ni moto