Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

Id yangu ilikupa wasiwasi nini, mie Jikedume
umenikumbusha jana wakati natoka mitaa flani hivi ya mwenge.
Nimekutana na Jikedume mmoja hatari. mwanamke kavaa suru nusu tako, anagonga tano kama kawaida, anatembea huku anadunda kabisa!:lol::lol:

Damn! mbona nilikosa stata ya kumpa salam! lol
 
umenikumbusha jana wakati natoka mitaa flani hivi ya mwenge.
Nimekutana na Jikedume mmoja hatari. mwanamke kavaa suru nusu tako, anagonga tano kama kawaida, anatembea huku anadunda kabisa!:lol::lol:

Damn! mbona nilikosa stata ya kumpa salam! lol

Ha ha ha h kumbe ulikuwa wewe sasa kwanini hukunisalimia mimi cna noma
 
Ha ha ha h kumbe ulikuwa wewe sasa kwanini hukunisalimia mimi cna noma

nakuja pm tusalimiane zaidi!

Ila upunguze ununda aisee! duh!

mwanamke wa kuniangalia usoni dakika nzima huwa sina amani nae!:biggrin1:
 
Aiseee wewe mwanaume usinitafutie ugomvi na miss neddy....na Mme wangu kibo10 akiona hapa nyumban hapatalalika!

umenishikia na kiuno kabisa? hahahaa!

enzi zile miss neddy akiwa mwali, Kibo10 nilimuona akimnyemelea nyemelea kwa maneno mazito sana aisee! nikamkata miguu!:lol::lol:
Btw, sijamuona kiwatengu long time sana! ulimficha wapi kijana wa sansharie?
 
Last edited by a moderator:
umenishikia na kiuno kabisa? hahahaa!

enzi zile miss neddy akiwa mwali, Kibo10 nilimuona akimnyemelea nyemelea kwa maneno mazito sana aisee! nikamkata miguu!:lol::lol:
Btw, sijamuona kiwatengu long time sana! ulimficha wapi kijana wa sansharie?

Sikia wewe mwanaume unanitafutia mabalaa ona sasa unamwita shanisarie akat mie nilishataafu kurukiana na waume za watu lol!!ila kiwatengu mtam jaman hahaha kuliko.....
 
Last edited by a moderator:
Sikia wewe mwanaume unanitafutia mabalaa ona sasa unamwita shanisarie akat mie nilishataafu kurukiana na waume za watu lol!!ila kiwatengu mtam jaman hahaha kuliko.....

hahahaaa!! nimekumbuka mbali! kiwatengu ni level nyingine kumbee! bado ana-rock moyo wako kimya kimya eenh!

miss neddy yeye keshanikimbia bhana, niko lonely kishenzi....
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa!! nimekumbuka mbali! kiwatengu ni level nyingine kumbee! bado ana-rock moyo wako kimya kimya eenh!

miss neddy yeye keshanikimbia bhana, niko lonely kishenzi....

Hahaahaa ana rock kinoma noma afu kiwatengu anajua kuhonga yule hatar. .wee nawe punguza ubahil watoto wazur wanahitaj matunzo...ona sasa ushamkosa miss neddy poyeee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom