Huwa unafanya nini ukiwa na msongo wa mawazo na si mnywaji wa pombe?

Huwa unafanya nini ukiwa na msongo wa mawazo na si mnywaji wa pombe?

Hakuna chakula kitakachopita mbele yangu nisikiguse.. nikiwa na stress hata hasira hua nazimalizia kwenye kula.. Unaweza kuzima simu usipatikane tu na mtu yeyote.. Au tu utembee tembee kama hauna mtu wakupiga nae stori nyumbani
 
Hakuna chakula kitakachopita mbele yangu nisikiguse.. nikiwa na stress hata hasira hua nazimalizia kwenye kula.. Unaweza kuzima simu usipatikane tu na mtu yeyote.. Au tu utembee tembee kama hauna mtu wakupiga nae stori nyumbani
Mimi chakula hakipiti

Kuongea na yoyote nje naona ni adhabu kali😂😂😂. Nagugumia tu matatizo yangu mwenyewe
 
Siku ikiwa mbaya, sikai pekee yangu, najichangamya na washikaji, kama mpira nitaenda kucheza uwanjani, nitacheza Playstation na wana. Huku nikiwa najitibia mwenyewe kisaikolojia(kuukubali uhalisia, kwamba kitu ndio kishatokea siwezi badili jambo, acha maisha mengine yaendelee)
 
Nacheza mziki
20231231_225549.jpg
 
Hakuna chakula kitakachopita mbele yangu nisikiguse.. nikiwa na stress hata hasira hua nazimalizia kwenye kula.. Unaweza kuzima simu usipatikane tu na mtu yeyote.. Au tu utembee tembee kama hauna mtu wakupiga nae stori nyumbani
Kutembea nayo ni best sana huwa naitumia pia hasa kagiza kakiingia, earpods masikioni mziki mkubwa mkono mmoja mfukoni natembea nashangaa shangaa dunia.
 
Back
Top Bottom