Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Music,,Habari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.
kumdinya mwananke and mazoezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Music,,Habari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.
Sanaaa... Yani napiga kelele moja hiyo nyumba nzima inahamia chumbani kwangu kunibembeleza,, yani nalia kwelikweli halafu nikimaliza naoga nalala😂😂😂 Ukilia unaheal?
Huwa nachagua mitaa tulivu isiyo na wajinga wajinga.Ukijichanganya jukwaa unakutana na vichwa vibovu vya jf vinazidi kukuongezea Stress.
anunue power bankNjoo uchaji jirani yangu
Umenichekesha kuna siku ilinitokea nna stress nikasema ngoja nifue nipoteze muda, nikatoa nguo na mapazia yote nikafua, wakati naanika kivivu kabisa nikawaza ivi hii kamba ikikatika inakuaje?(huwa nikihisi kitu huwa mara nyingi kinatokea hata kama sio kwangu). Ile nimemaliza kuanika nguo ya mwisho kamba ikakatika, nilijikuta nimekaa chini nguo zipo chini zaidi ya nusu saa 😂Ila hii kufua nayo ni Best option,, Tena uanike kama ikatike uanze Tena upya Hadi kutulia stress zote zimeisha😂😂.. Ms eyes
Unakimbiaga muda gani?😂😂😂 mpaka nimecheka, labda nikimbie mchana huu na jua lilivyo kali
Maji hamna ( umeme umekatika)
😂 mi napigaga ngumi ukuta kama 50 hivi, ila kuna mambo tunayafanya tukiwa wenyewe, yale mambo ndio uhalisia wako.Sanaaa... Yani napiga kelele moja hiyo nyumba nzima inahamia chumbani kwangu kunibembeleza,, yani nalia kwelikweli halafu nikimaliza naoga nalala😂😂
Angalia usipoteeSina desturi ya kukimbia.
Ila leo nitakimbia
Mie huwa natembea kwa mguu masaa 12 huko nasikiliza wimbo wa Bob Marley - Stir up little darling kuondoa stress.Kutembea nayo ni best sana huwa naitumia pia hasa kagiza kakiingia, earpods masikioni mziki mkubwa mkono mmoja mfukoni natembea nashangaa shangaa dunia.
Yani hapo stress zote zinahamia kwenye nguo😃😂😂Umenichekesha kuna siku ilinitokea nna stress nikasema ngoja nifue nipoteze muda, nikatoa nguo na mapazia yote nikafua, wakati naanika kivivu kabisa nikawaza ivi hii kamba ikikatika inakuaje?(huwa nikihisi kitu huwa mara nyingi kinatokea hata kama sio kwangu). Ile nimemaliza kuanika nguo ya mwisho kamba ikakatika, nilijikuta nimekaa chini nguo zipo chini zaidi ya nusu saa 😂
Mambo gani hayo nikumbushe kwanza nicheke 😂😂😂😂 mi napigaga ngumi ukuta kama 50 hivi, ila kuna mambo tunayafanya tukiwa wenyewe, yale mambo ndio uhalisia wako.
Mchungaji unatumia bangi? 😂Mie huwa natembea kwa mguu masaa 12 huko nasikiliza wimbo wa Bob Marley - Stir up little darling kuondoa stress.
Nachoupendea huo wimbo ni ule mdundo wake na mtiririko wa zile sauti za waimbaji, huwa natembea huku nadunda kama Bob hadi stress inakata kabisa 😂
Una shida gani mpendwa? Ili Tujue jinsi ya kukushauri, maana stress za pesa, mapenzi na familia ni tofauti, zote zina njia tofauti yakukabiliana nazoHabari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.
Nilimind haswa nikajikuta naongea na nguo naziapia walai sirudii kusuuza nazianika hivyo hivyo na sikuzisuuza nikaanika vilevile 😂.Yani hapo stress zote zinahamia kwenye nguo😃😂😂
Bora wewe ulipata na nguvu ya kuanika tena.. Niliziacha chini hadi siku ya pili asubuhi nikazikuta zimeoshwa na kuanika tena, sijajuaga nani ananionea huruma 😂😂🤦♀️Nilimind haswa nikajikuta naongea na nguo naziapia walai sirudii kusuuza nazianika hivyo hivyo na sikuzisuuza nikaanika vilevile 😂.
Zilivyokauka ndio nikajua hasira hasara