To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Unalia,maana unakuwa ushapata sababuAu ujigonge kwenye goti la mkononi, unakua unatamani kulia na kucheka vyote kwa pamoja😆😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalia,maana unakuwa ushapata sababuAu ujigonge kwenye goti la mkononi, unakua unatamani kulia na kucheka vyote kwa pamoja😆😂😂
Na utaendeleaNilishatumia sana tu 😂
Oyaa panda mwendokasi hapo tuwahi tukamfariji mdada wa watu, ntakua nampigia mastory we unamtania mpaka jioni atakua vzrKula bangi mtumishi.
Huwa sitakagi muingiliano na watu kabisa nikiwa natembea.
Yeah 😂😂.. sema Kunakuaga na kafeeling flani hivi sijui kama na nyie mshawahi kupata.. Maumivu na mtekenyo kwa wakati mmojaUnalia,maana unakuwa ushapata sababu
😂😂😂😂Yeah 😂😂.. sema Kunakuaga na kafeeling flani hivi kama na nyie mshawahi kupata.. Maumivu na mtekenyo kwa wakati mmoja
Atoe lokesheni nitie timu chap ila sharti ni moja asijue yupi ni yupi😂Oyaa panda mwendokasi hapo tuwahi tukamfariji mdada wa watu, ntakua nampigia mastory we unamtania mpaka jioni atakua vzr
Unaumia huku unacheka? Inawezekanaje? Hebu nipe mfano.Yeah 😂😂.. sema Kunakuaga na kafeeling flani hivi sijui kama na nyie mshawahi kupata.. Maumivu na mtekenyo kwa wakati mmoja
Yupo kigamboni! Bonge Moja ya ideaAtoe lokesheni nitie timu chap ila sharti ni moja asijue yupi ni yupi😂
😂😂😂😂acha ujinga kudanganya watu wazma, eti mtu una hasira unaanza kusoma? Kwanza akili inakuwa hata aijatulia unasoma nini kama doc unafkiNASOMA BIBLIA NIKISOMA TU NAJISIKIA TUMAINI KUBWA
Mkuu Hujawahi kujigonga kwenye goti au kwenye kiwiko???.Unaumia huku unacheka? Inawezekanaje? Hebu nipe mfano.
Akijib nijuze tumpelekee ata matunda japo sio mgonjwa
😂😂😂😂😂😂😂😂acha ujinga kudanganya watu wazma, eti mtu una hasira unaanza kusoma? Kwanza akili inakuwa hata aijatulia unasoma nini kama doc unafki
Sasa ukifunua unafunua tu patakapoangukia ndio hapo hapo😂😂😂 daah nchi ngumu hii
Kwa nini nikaushe wakati magonjwa yapo?Na utaendelea
Kula bangi mtumishi ibariki kabisa 😂Kwa nini nikaushe wakati magonjwa yapo?
Ugonjwa ukija napata dawa fasta maisha yanasonga 😁
Alisema simu ina asilimia 7% labda itakua imezima naona yupo kimya!Akijib nijuze tumpelekee ata matunda japo sio mgonjwa
Napata kiwanja kisicho na watu natembea nawaza na kuwazua kilometa 10 Kisha inashukaKutembea nayo ni best sana huwa naitumia pia hasa kagiza kakiingia, earpods masikioni mziki mkubwa mkono mmoja mfukoni natembea nashangaa shangaa dunia.