Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 nitakosa vyote ila sio bando, uzuri wangu mtandao wangu ni jf haili mb kabisa.Hapa ni kupunguza matumizi 😂😂ukiona jioni npo off ujue natumia wi fi ya office
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 nitakosa vyote ila sio bando, uzuri wangu mtandao wangu ni jf haili mb kabisa.Hapa ni kupunguza matumizi 😂😂ukiona jioni npo off ujue natumia wi fi ya office
Sawa mtumishiBangi sio mbaya ikitumiwa vizuri, ila watu wabaya hutumia vibaya kisha husingizia ni bangi kumbe ni wao ndio wameitumia vibaya.
Siwezi kutumia madhabahu kuwaambia wasitumie /watumie bangi maana kuna wale wenye vichwa legelege na imani haba kutachimbika church 😂
Huwa nalala sana yani sana.Habari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.
Mimi Instagram na you tube natumia sana😂 nitakosa vyote ila sio bando, uzuri wangu mtandao wangu ni jf haili mb kabisa.
Hilo ndio tatzo lazima utumie wifi ya ofisiMimi Instagram na you tube natumia sana
Habari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa[emoji52].
Hapo ndiyo umeelewekaCha maana hapo ni pesa tu
Ebu njoo PM mwali..😋Habari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.
Hatari kwa afya ya sikioNalala nikiwa naearphone volume mpaka mwisho
Familia sio muhimu?Cha maana hapo ni pesa tu
Hapo kwenye ku roast[emoji18].
Congrats
Nachukua bia naiweka kwenye chupa ya fanta nakunywa, case solvedHabari!
Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote?
Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.