Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
22,527
Reaction score
79,976
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
 
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko n
Oooh!!! Ishuuu ni ndogo tyuuu Joanah Tafuta video za ngono I Hope utakuja dawa my dya....tena zilee unazopenda....
Mfano me nape black en White.... Watu wakiwa wananyanduaa.....Fanya hivyoo Mamie
 
Hakikisha uko peke yako kwa room....angalia video za X ni suruuhisho LA msongo wa aina yeyotee...ilee
 
Umeyazoea mazingira kiasi kwamba huoni jipya tena ,
tafuta sehemu ukatalii mbali na watu unaoishi nao ,
Kama una mpenzi ama best friends tokeni mkafurahii pamoja "
hiyo itakufanya ujione mpya na kuyafurahia tena maisha ; nakutakia fikra njema bibie .
 
Kama vile mwili huhitaji chakula, vile vile roho ina chakula chake, dalili ulizozitaja ni utapiamlo wa kiroho, chakula cha roho ni neno la Mungu, mimi ikinitokea hali hiyo husoma biblia na hali hiyo hukatika
Huwa unasoma biblia mstari gani ukiwa na hali kama yangu?
 
Most probably Una tatizo spiritually..
Lakini pia Una tatizo la mahusiano ingawa unajilazimisha kuwa uko Okay..

Na kazi pia huipendi ..mambo ya ajira mradi mshahara..

Hapo ungetafuta tiba za spiritual...

Halafu anza kutafuta hobby ambayo inaweza kuwa kazi yako baadae...

Kama unapenda gossip unaweza anzisha blog ya gossip ...mfano...geuza hobby iwe ajira..

Kuhusu spiritual healing ..Hilo somo refu
 
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
Unakaribia kuwa chizi,..dalili za awali umeshatimiza 100%.... You are now transisting to another phase...
[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom