Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
Njoo nikumassage itakusaidia
 


Joanah sikiliza wimho kwanza nimeweka link Kama unasoma vitabu soma vitabu, novel
Hata kama hausomi vitabu soma tu(utasinzia ukiamka) cha kwanza oga na usikilize nyimbo zenye vibe (usisikilize zenye huzuni).

Mfano mimi asubuhi huwa nina wimbo wa Johnny Driel anaitwa Shine.

Asante Machepele
Mfano novel gani nzuri?
 
Mkuu Joanah hizo ni kama dalili za depression, au mara nyingine bipolar disorder. Jaribu kuingia YouTube ujaribu kusikiliza symptoms wanazoelezea kama zitaendana na hali unayopitia...
Vilevile ukinyonga ka-ganja baada ya kutoka kazini siyo mbaya. Inakufanya urelax, unapata peace vilevile unaappreciate life zaidi. Mara moja kwa mwezi siyo mbaya.
 
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
Pole sana, hii hali mie hunipata nikiwa sina hela nimefulia mbaya....ntajisikia upweke, ntakumbuka hadi ndugu waliofariki, sitamani kazi, yani ni mengi.

Nikiwa na hela sipati huu ujinga.
 
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
And this also is connected to something happened in your past life, that made you who you are today. Spiritually you need to reconcile with your past Mkuu..
 
Most probably Una tatizo spiritually..
Lakini pia Una tatizo la mahusiano ingawa unajilazimisha kuwa uko Okay..

Na kazi pia huipendi ..mambo ya ajira mradi mshahara..


Hapo ungetafuta tiba za spiritual...

Halafu anza kutafuta hobby ambayo inaweza kuwa kazi yako baadae...

Kama unapenda gossip unaweza anzisha blog ya gossip ...mfano...geuza hobby iwe ajira..

Kuhusu spiritual healing ..Hilo somo refu

The Boss tatizo la mahusiano nilishawahi kuwa nayo miaka ile ya kichuo chuo,sio sasa...haipo sababu ya kujilazimisha kuhusu hili

Kwenye kazi,hii pia sio sababu...naipenda kazi yangu kinyama

Spiritually,hii labda inaweza kuwa
 
Ukipata dudu la uhakika unafika kileleni at least mara tatu negative attitude KWISHNEY. 👅👅👅
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
 
The Boss tatizo la mahusiano nilishawahi kuwa nayo miaka ile ya kichuo chuo,sio sasa...haipo sababu ya kujilazimisha kuhusu hili

Kwenye kazi,hii pia sio sababu...naipenda kazi yangu kinyama

Spiritually,hii labda inaweza kuwa

Tafuta healing..
Jitazame ukilala mbali na nyumbani kuna nafuu?Kama kuna nafuu angalia namna ya kuhama
 
Back
Top Bottom