Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Ni depression hiyo.

At times unaamka hauna cha kukufanya uwe na huzuni yet unaamka ukiwa na huzuni tayari.

Mimi hua nafanya mazoezi ya nguvu au nacheza playstation.
Nishauri mie nifanyaje?

Mazoezi siyawezi kwa kweli
 
Mimi ikinitokea suluhisho huwa ni moja tu.

Kuongea na washkaji ambao najua they have nothing to demand on me. Yaani hawakuambii chochote kuhusu kulewa wala maendeleo, ni kucheka na kufurahi tu kuhusu kipindi cha nyuma.

Talking with my little kids, hawana chochote cha kukuomba bali kufurahia tu. Napata amani sana ya moyo.

Joanah, get a baby. Hata ukiitwa single mama, it is better for your healthy soul. Mtoto ni dawa haswa kipindi chako cha ujana na utafutaji.
 
Mkuu Joanah hizo ni kama dalili za depression, au mara nyingine bipolar disorder. Jaribu kuingia YouTube ujaribu kusikiliza symptoms wanazoelezea kama zitaendana na hali unayopitia...
Vilevile ukinyonga ka-ganja baada ya kutoka kazini siyo mbaya. Inakufanya urelax, unapata peace vilevile unaappreciate life zaidi. Mara moja kwa mwezi siyo mbaya.

Mmea natumia karibia kila siku...iko kwenye ratiba hii kitu
 
Pole sana, hii hali mie hunipata nikiwa sina hela nimefulia mbaya....ntajisikia upweke, ntakumbuka hadi ndugu waliofariki, sitamani kazi, yani ni mengi.

Nikiwa na hela sipati huu ujinga.

Sasa mie tatizo sio pesa

Hii hali inanikuta nikikosana na mtu,lakini sina niliyekosana nae
 
/NAFANYA BIASHARA YA MAJENEZA
KAMA VIPI KUFA TU ILI BIASHARA YANGU ISOGEE KDG/....

/chakufanya apo weka order yako mapema tu kabla ya kufa/

Nafanya delivery mikoa yote Tz adi nje
ASANTEH[emoji120][emoji123]
 
Mimi ikinitokea suluhisho huwa ni moja tu.

Kuongea na washkaji ambao najua they have nothing to demand on me. Yaani hawakuambii chochote kuhusu kulewa wala maendeleo, ni kucheka na kufurahi tu kuhusu kipindi cha nyuma.

Talking with my little kids, hawana chochote cha kukuomba bali kufurahia tu. Napata amani sana ya moyo.

Joanah, get a baby. Hata ukiitwa single mama, it is better for your healthy soul. Mtoto ni dawa haswa kipindi chako cha ujana na utafutaji.

Leo nimefanya hayo yote lakini wapi
 
/NAFANYA BIASHARA YA MAJENEZA
KAMA VIPI KUFA TU ILI BIASHARA YANGU ISOGEE KDG/....

/chakufanya apo weka order yako mapema tu kabla ya kufa/

Nafanya delivery mikoa yote Tz adi nje
ASANTEH[emoji120][emoji123]

Kwa taarifa yako mi mwenyewe nauza majeneza

Nikifa faida inaingia kwenye biashara yangu
 
Heee!jamani
Mkuu, leo yako, ni kesho uliyokuwa unaitazamia jana. Kwa hiyo yanayotokea sasa ni matokeo ya jana. Kwa hiyo mkuu inawezekana kuna kipindi kuna kitu kilikuumiza sana, uka move on lakini deep down, ukawa umebaki na makovu. Hayo makovu yanaweza kuwa ni psychological issues. Kwa sababu seriously unaonekana haupo sawa kwa maelezo uliyotoa. Siyo katika hali ya kawaida kabisa.
Unahitaji kumake peace na past yako. Hata kama unaamini hakuna kitu ambacho hakipo sawa.
 
Back
Top Bottom