Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Nimepata bonge la idea Joanah

/Juisi ya pilipili kichaa pia inasaidia kuondoa msongo wa mawazo/
FANYA IVO UTANISHUKURU BADAE...
Yaani hayo mazagazaga yote nimeshatumia lakini wapi!
 
Eeh bana.

Au we unafanyaje ukiwa stressed? Joanah ana stress ambazo uwa hazieleweki zinabase eneo lipi. Yan unajikuta tu little angry, little happi, little disappointed, frustrated and the like. Simply you become tired of everything.

Uwa unatoka aje hapo?
Akijibu nitag

Japo hii ya kuoga maji baridi naichukua teh!
 
No permanent situation bana, we susu ulale kesho utaamka kama hakukuwa na jambo usiku.

Unalalaje sasa na upo lit stressed? Temana na simu, weka flight mode washa mziki esp. hill and worship songs & slowly music.

Jifunike ile mnaita gubi gubi, endelea kulia huku unasikiliza mziki au jipigie story ( mimi ni pro max wa kujistorisha mwenyewe. Kama utashindwa hiyo itabidi utembee na lyrics za nyimbo mpaka utasinzia.
 
Yaani hayo mazagazaga yote nimeshatumia lakini wapi!
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

/ Kumbe Joanah Una hasira za maumbile daaaaah polee /
Skujua ila sasa nimejua kuwa shepu lako box la karata[emoji16][emoji16][emoji16]

kAMA NI HIZO HASIRA ZA KIMAUMBILE HUWA HAZINA KIKOMO but anyway ushauri wa bure LALA TU MOMMY [emoji28][emoji850][emoji850]
 
No permanent situation bana, we susu ulale kesho utaamka kama hakukuwa na jambo usiku.

Unalalaje sasa na upo lit stressed? Temana na simu, weka flight mode washa mziki esp. hill and worship songs & slowly music.

Jifunike ile mnaita gubi gubi, endelea kulia huku unasikiliza mziki au jipigie story ( mimi ni pro max wa kujistorisha mwenyewe. Kama utashindwa hiyo itabidi utembee na lyrics za nyimbo mpaka utasinzia.
Thanks maa 🙏

Naachana na simu sio muda
 
Issue yangu imeanza ghafla jioni ya leo,nimejaribu kuwaza ni jambo gani haliko sawa naona kila kitu kipo sawa lakini moyo umekuwa hauna amani....sijui ni nini kinaenda kutokea

Nikicheza games playstation navuruga sana nikiwa off mood,sasa vile navyovuruga ile hali ya kuwa off mood inabadilika na kuwa hasira...naweza kuvunja hata PC
Am so sorry. Unapendelea games gani?
 
Back
Top Bottom