Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie imenikuta jana,kuwa off mood halafu sijui chanzo chake...inaboa manake hujui hata source ya tatizo lakini inabidi utafute solutionInatesa Sana hiyo hali, pole ukipata nafuu tujuze wananzengo njia gani unetumia, wenye tuko na hiyo shida Ni wengi,
Mtu gani? Shemeji?😂Mie imenikuta jana,kuwa off mood halafu sijui chanzo chake...inaboa manake hujui hata source ya tatizo lakini inabidi utafute solution
Nilichofanya nimeongea na mtu fulani tu kwenye simu usiku wa jana,akanituliza nikalala....nimeamka niko poa sana
Yea wapo.Hahahaah
Hivi kuna mtu hana target katika maisha??
Mie ninazo,nimejiwekea na ninazifanyia kazi
Unaweza kufanya mazoezi kama kuruka kamba. Au kukimbia au mazoezi mengine mpaka utiririke jasho la kutosha halafu kaoge utajiskia poa.
Mazoezi siwezi,nishafanya mazoezi siku moja nikaumiaPia njia nyingine natumia ni kicheki vichekesho vya kihindi youtube
FANYA TU KUJIPELEKA MIREMBEHahahah
Kubadili mazingira ni kiaje?
Ok I seeKuishi bila malengo naona kama haiwezekani
Still in progress lakini sijaover achieve
Toka sehemu unayoishi uende sehemu mpya urefresh kwa muda .Hahahah
Kubadili mazingira ni kiaje?