😀😀😀😀🙌🏻kwa mromboo ni habari ingine wallah
 
Kwa hapa bongo usafi umetushinda kabisa hata hizo 5 star hotel baadhi ni za ovyo na hii inasababishwa na wamiliki kutojali wafanyakazi wao , kudhalilishwa ovyo kutukanwa...
 
Na huo ndiyo uungwana
 
si wanasema ukimchunguza sana bata huwezi kumla
Hasa migahawa ya Uswahilini DSM michafu na wengi wanaokula ni kama akili hazipo sawa. No offence intended. Kuharisha na uchafu nje nje.

Mitaa hii kwa DSM ichunguzwe; Kimara, Mabibo, Mbagala, Tandale na mingine mingi kama hiyo.

Utaijuaje? Utaijua kwa kusikia sikia majina kama Asha, Fatu, Mwaju, Zai nk[emoji23]
 
Niliona muuzaji anapiga chafya kwenye mbonga ya majani anayochambua bila kuzibq mdomo, nilichoka sana
Pia nilishawahi kushuhudia hili, shortly ni kuwa best and delicious food ni kile unaandaa mwenyewe. No one cares about your health at all, they care about your pocket.
 
siku za weekend nafunga safari ya 40km mpaka Tabata
spots zote ni swafi,
huku niliko nikivamia mgahawa tu, nijiandae kuhara damu
Aisee, kuhara ni kubaya sana. Wengi wa wateja wa migahawa hiyo ni kama siyo binadamu kamili. Wengi ni mateja na desperate people. Aisee Uswazi ni bullshit.
 
Wengine kuchokonoa puaaa

Ndomana sehemu za kula jiko linakuwa wazi wapishi unawaona
Wanavyofanya madikodiko
Hapo angalau kidogo kuna kausalama

Ova
Na kingine... asilimia kubwa ya wanaume huingia maliwato kupata haja ndogo halafu hawasafishi mikono baada ya kushika mtarimbo. Hili lipo sana sana, na anakuja kupeana mkono na watu...
 
Niliona muuzaji anapiga chafya kwenye mbonga ya majani anayochambua bila kuzibq mdomo, nilichoka sana
Kuna wengine wanauza vyakula na vinywaji huku wanachokonoa pua.
 
Tabia ya hovyo zaidi ni kutumia jagi la kunawashia linalowekwa kwenye bakuli ya maji machafu yaliyonawia kuchotea maji pia.
 
Na kingine... asilimia kubwa ya wanaume huingia maliwato kupata haja ndogo halafu hawasafishi mikono baada ya kushika mtarimbo. Hili lipo sana sana, na anakuja kupeana mkono na watu...
Nje ya mada
 
Cyo usafi tu, mm mwanamke anayenyonyosha siwezi kula chakula chake aisee watanisamehe tu
 
Aisee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…