Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #21
Brother anguDarasa la saba mwaka 1994.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brother anguDarasa la saba mwaka 1994.
Domo geze [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku hazigandi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kwel
Nilikuwa form 2.Brother angu
Kitambo iyoNilikuwa form 2.
Kitambo hiyo home kuna Panasonic double deckKitambo iyo
TBT ya kibabeKitambo hiyo home kuna Panasonic double deck
Memory are made of this kind of music.....View attachment 2518392
Can't Be With You Tonight
You Caught My Eye
That Night We Met
Dreaming of a Little Island
Turn Back the Time
Hizo hapo juu ni baadhi ya nyimbo za Judy Boucher zikipigwa nakumbuka Christmas 🎄 Moja udogoni udogoni baada ya kula pilau na kunywa soda Inachukuliwa Redio cassettes then zinawekwa izo nyimbo kwa kweli siku hazigandi........
Mshua wanguView attachment 2518392
Can't Be With You Tonight
You Caught My Eye
That Night We Met
Dreaming of a Little Island
Turn Back the Time
Hizo hapo juu ni baadhi ya nyimbo za Judy Boucher zikipigwa nakumbuka Christmas [emoji319] Moja udogoni udogoni baada ya kula pilau na kunywa soda Inachukuliwa Redio cassettes then zinawekwa izo nyimbo kwa kweli siku hazigandi........
Marahaba mkuu.Brother angu
Mkuu Kwa umri wako naweza kua mdogo ako ila sio wa kukuamkia shikamoo🤓🤓🤓Marahaba mkuu.
🔥🔥🔥🔥Those days was [emoji91][emoji91][emoji91]
Usalimie wakubwa zako...😊😊Mshua wangu
sisy Ulikua unaniboaga sana ukiweka hyo kanda yako ya kizungu tukacheka tu kiukwel akanikumbusha mbali...😊😊Mwaka jana mwezi wa kumi wakati najiandaa nasafari nilikua sehemu na kaka yangu mdogo nilienda kumuaga.Katika maongezi akanikumbushia nyimbo za huyu mama akaniambia sisy Ulikua unaniboaga sana ukiweka hyo kanda yako ya kizungu tukacheka tu kiukwel akanikumbusha mbali
Kwani umshike moo kakukosea nini mkuu.Kilikuwa kichangamshi tu.Mkuu Kwa umri wako naweza kua mdogo ako ila sio wa kukuamkia shikamoo🤓🤓🤓
🔥🔥🔥🌝😊Kwani umshike moo kakukosea nini mkuu.Kilikuwa kichangamshi tu.