Huwa unamchukuliaje mtu anayekuandikia ujumbe kwa herufi kubwa?

Achana na herufi kubwa, kuna hawa wa
[emoji117] xaxa, thawa, tantee, ay, axant, k, xaivi, still bado, 2onane, xkul, xhule, hawa ukibahatika kukutana nao kwa level ya makasiriko yako utakuwa na siku mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…