Yaani alinikera ujue,ingekuwaje kama angegongwa na gari,
Alikuwa anapenda kufuata balaa,kuna siku alimfuata dogo hadi shule akaingia darasani weeeeh imagine ni shule ya waarabu[emoji51]
Unaambiwa lilizuka balaa vitoto vya watu nusu vivunje miguu[emoji1787]
Hehehehehehe.... sasa wakumtuliza mwenzie ni nani hapo???Mm ukija kwangu watakuja mbwa wote kasoro mmoja huyo nisikudanganye habweki hana mwili wa kutisha ila akija mm mwenyewe najua mambo yameharibika
Sasa hapo ungemgeukia ukamkazia macho angesimama na kuishia kubweka tu! Asingekufanya loloteKuna jiran yetu kipind tupo watoto alikuwa anafuga mbwa mbuzi na mifug mingi tuka agizwa kufwata mbolea kwa jirani yetu tulipofika tukagonga akasema piteni mimi na kihelehele kuingia ndani mbwa alikotokea sijui mpka leo akawa nakuja kwa kasi nikawa napiga kelel yeye mwenye mbwa anaangalia tu alipo ona anakalibia kabisa ndio akamuita jina lake akaondoka tulipo ludi nyumban nikawahadithia wakatukataza kwenda tena mpka leo siamin mtu kwenye hiyo kauli
Kama ni kukaza macho pitia pale kilwa road kuna mbwa wastaafu! Ukawakazie macho utajua haujui!Sasa hapo ungemgeukia ukamkazia macho angesimama na kuishia kubweka tu! Asingekufanya lolote
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ilaaaa ukiona kwa mwenzio yanachekesha,ngoja yakufike Sasa utajua hujui.Ila nime πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ sanaaa
0%Karibu sana mgeni! Usiogope Mbwa wangu hawang'ati!
Hii kauli huwa unaiamini asilimia ngapi ? Kuwa tu mkweli kabla sijakwambia jambo!
View attachment 2453454
[emoji23][emoji23]Kama ni kukaza macho pitia pale kilwa road kuna mbwa wastaafu! Ukawakazie macho utajua haujui!
Ilaaaa ukiona kwa mwenzio yanachekesha,ngoja yakufike Sasa utajua hujui.Ila nime πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ sanaaa
Ujasiri huo sio kila mtu anao. Utakuta jitu mwili nyumba, lakini anatolewa nduki na kuku mwenye watoto πππ.Sasa hapo ungemgeukia ukamkazia macho angesimama na kuishia kubweka tu! Asingekufanya lolote
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Navitakaa hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]VIpo vile kama vimdoli nywele hadi kwenye macho huwa havikuagi ni vidogovidogo vizuri hivyo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahYaani alinikera ujue,ingekuwaje kama angegongwa na gari,
Alikuwa anapenda kufuata balaa,kuna siku alimfuata dogo hadi shule akaingia darasani weeeeh imagine ni shule ya waarabu[emoji51]
Unaambiwa lilizuka balaa vitoto vya watu nusu vivunje miguu[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahUjasiri huo sio kila mtu anao. Utakuta jitu mwili nyumba, lakini anatolewa nduki na kuku mwenye watoto πππ.
Hahahahaaaa hatari sana! Dejane eti ukapeee π€£π€£π€£Kuna mtu siku moja akashika nyoka mdogo wa wastan akaniletea anataka kuniwekea shingoni kidogo nizimie hadi nilipee
Uwoga na kukojoa kuhusiana nin?
Sawa lkn unafahamu vyakula vyao na matunzo yao yote au tuanze somo juu ya hili...Sababu wanatakiwa uangalizi kweli kama mtoto ndio utaona kinanawiri na kupendezaNavitakaa hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya kweli unipeee.
Sent using Jamii Forums mobile app