Huwa unamuamini asilimia ngapi mwenyeji wako anapokwambia usiogope, Mbwa wake hang'ati?

Huwa unamuamini asilimia ngapi mwenyeji wako anapokwambia usiogope, Mbwa wake hang'ati?

Yaani alinikera ujue,ingekuwaje kama angegongwa na gari,

Alikuwa anapenda kufuata balaa,kuna siku alimfuata dogo hadi shule akaingia darasani weeeeh imagine ni shule ya waarabu[emoji51]

Unaambiwa lilizuka balaa vitoto vya watu nusu vivunje miguu[emoji1787]
 
Mm ukija kwangu watakuja mbwa wote kasoro mmoja huyo nisikudanganye habweki hana mwili wa kutisha ila akija mm mwenyewe najua mambo yameharibika
Hehehehehehe.... sasa wakumtuliza mwenzie ni nani hapo???
 
Kuna jiran yetu kipind tupo watoto alikuwa anafuga mbwa mbuzi na mifug mingi tuka agizwa kufwata mbolea kwa jirani yetu tulipofika tukagonga akasema piteni mimi na kihelehele kuingia ndani mbwa alikotokea sijui mpka leo akawa nakuja kwa kasi nikawa napiga kelel yeye mwenye mbwa anaangalia tu alipo ona anakalibia kabisa ndio akamuita jina lake akaondoka tulipo ludi nyumban nikawahadithia wakatukataza kwenda tena mpka leo siamin mtu kwenye hiyo kauli
Sasa hapo ungemgeukia ukamkazia macho angesimama na kuishia kubweka tu! Asingekufanya lolote

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu siku moja akashika nyoka mdogo wa wastan akaniletea anataka kuniwekea shingoni kidogo nizimie hadi nilipee
Uwoga na kukojoa kuhusiana nin?
 
Yaani alinikera ujue,ingekuwaje kama angegongwa na gari,

Alikuwa anapenda kufuata balaa,kuna siku alimfuata dogo hadi shule akaingia darasani weeeeh imagine ni shule ya waarabu[emoji51]

Unaambiwa lilizuka balaa vitoto vya watu nusu vivunje miguu[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba zote nazoingia huwa nawaambia kabisa sina imani na mbwa!
Kuna apartment nilipanga kulikua na mbwa wale wakubwa ilibidi mlinzi awe ananisindikiza chumbani na kuondoka. Nilimuomba mmiliki awaondoe maana ni kero kwangu.
Kwingine hua siingii hadi wamfunge mbwa. Labda kuna vimbwa fulani vidogo vina manyoya mengi hivyo hua siviogopi maana naweza kuvimudu.
 
Usiogope mbwa wangu hang'ati..........................

Mbwa wake 👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221230-182601~2.png
    Screenshot_20221230-182601~2.png
    106.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom