- Thread starter
- #201
Yaani alinikera ujue,ingekuwaje kama angegongwa na gari,
Alikuwa anapenda kufuata balaa,kuna siku alimfuata dogo hadi shule akaingia darasani weeeeh imagine ni shule ya waarabu[emoji51]
Unaambiwa lilizuka balaa vitoto vya watu nusu vivunje miguu[emoji1787]