Huwa unamuamini asilimia ngapi mwenyeji wako anapokwambia usiogope, Mbwa wake hang'ati?

Huwa unamuamini asilimia ngapi mwenyeji wako anapokwambia usiogope, Mbwa wake hang'ati?

Watu wanaogopa dog ila wanapenda dogstyle😁😁😁😁
Wewe je?
Screenshot_20230110-101052.png
 
Mnyama hana urafiki
Kuna bull dog wa jamaa akiwa kwake mtoto wa ndugu yake wa miezi 18 akawa anacheza nae
Ghafla alimng"ata kichwa hakuachia mpaka mtoto akakata roho huku akimzunzusha kama mwanasesere

Jina ujinga na mbwa kabisa nilishawahi kuumwa utotoni na mbwa wa jirani

Nikija kwako kama una mbwa na kuambia mfungie sehemu
Hivi ni sifa kumuacha mbwa akae na wageni? Ili iweje show-off ama
Sijui angeniambia nn mwanangu kauliwa na mbwaa,,una mbwaa kwann hakai bandani kwake!kwangu nina mbwa wawili wa kizungu ila wanabanda lao nyuma kabisa ya nyumba ht mgen akija haw3zi jua km kuna mbwa na wanafunguliwa usiku tuuu baada ya kijana kuhakikisha watu wote wako ndani na asbh saa11 wanarudi bandani kwao,
Sasa unawaza mpk mgen anakuja anaanza mkimbiza inamaan huyo mbwa anashinda anazunguka hapo nyumban kulambalamba vitu
 
Mada za mbwa au south Afrika huwa zina wachangiaji! Kwanini
 
Sijui angeniambia nn mwanangu kauliwa na mbwaa,,una mbwaa kwann hakai bandani kwake!kwangu nina mbwa wawili wa kizungu ila wanabanda lao nyuma kabisa ya nyumba ht mgen akija haw3zi jua km kuna mbwa na wanafunguliwa usiku tuuu baada ya kijana kuhakikisha watu wote wako ndani na asbh saa11 wanarudi bandani kwao,
Sasa unawaza mpk mgen anakuja anaanza mkimbiza inamaan huyo mbwa anashinda anazunguka hapo nyumban kulambalamba vitu
Mkuu wazungu wanafuga kama pet sio kama walinzi

Yaani kumuachia arukeruke sitting room na kuzunguka uani ni kawaida

Bora kuwafungia tu bandani ila kila asubuhi sana ni vizuri kuwatoa nje kwa kuwafunga kamba zao na kukimbia kwa ajili ya mazoezi ya kila mda kwani wanahitaji kama wewe unavyohitaji
 
Mkuu wazungu wanafuga kama pet sio kama walinzi

Yaani kumuachia arukeruke sitting room na kuzunguka uani ni kawaida

Bora kuwafungia tu bandani ila kila asubuhi sana ni vizuri kuwatoa nje kwa kuwafunga kamba zao na kukimbia kwa ajili ya mazoezi ya kila mda kwani wanahitaji kama wewe unavyohitaji
Kumbee inapaswa kuwa nawatoa,dr wao hajawahi sema ili jambo ama ukute hajui!binafsi sipendi na nawaogopa mbwaa ila ilitulazimu kwajili ya usalama sasa sipend ht kuwaona wanazunguka hapo mchana


Hao wakushinda sebulen wa kizungu ndo kabisaa ntawapiga niwaue wakae uko na wazungu
 
Kumbee inapaswa kuwa nawatoa,dr wao hajawahi sema ili jambo ama ukute hajui!binafsi sipendi na nawaogopa mbwaa ila ilitulazimu kwajili ya usalama sasa sipend ht kuwaona wanazunguka hapo mchana


Hao wakushinda sebulen wa kizungu ndo kabisaa ntawapiga niwaue wakae uko na wazungu
[emoji1][emoji1][emoji1] nacheka kama mazuri kuhusu mbwa wa wazungu

Kuna mdada black hapa jirani yeye kazi yake ni kuja asubuhi anawapitia mbwa watatu anawapeleka matembezi kwa mda halafu anawarudisha ni kazi na inalipa sana

Kwa paka ni kawaida yao wao huwa wanatoka na kwenda kuzunguka wengine wamefungwa tag ila kwa mbwa ni hatari kwa hiyo wanahitaji uangalizi na mazoezi ni lazima la sivyo watapata arthritis haraka au wanakuwa obese na kunenepa hovyo na mwisho wanapata maradhi ya moyo na kufa

Huyo anaewalisha mwambie awe anawatoa kwa matembezi na kujisaidia nje mapema sana asubuhi wakati watu wanakuwa wachache nje

Fanya hivyo watakuwa na afya njema
Wanahitaji kukumbia na hata kutembea kama wanakusikia na kuna eneo kubwa
Screenshot_20230115_111636_Google.jpg
 
Sijui angeniambia nn mwanangu kauliwa na mbwaa,,una mbwaa kwann hakai bandani kwake!kwangu nina mbwa wawili wa kizungu ila wanabanda lao nyuma kabisa ya nyumba ht mgen akija haw3zi jua km kuna mbwa na wanafunguliwa usiku tuuu baada ya kijana kuhakikisha watu wote wako ndani na asbh saa11 wanarudi bandani kwao,
Sasa unawaza mpk mgen anakuja anaanza mkimbiza inamaan huyo mbwa anashinda anazunguka hapo nyumban kulambalamba vitu
Ina maana hao mbwa wanamfahamu kijana tu hapo nyumbani? Nyie members wengine wa familia mbwa hawatambui au?

naona kama ni hatari mbwa wanawaona kama strangers tu japokua mnaishi nyumba moja embu fafanua mkuu
 
Wala si kazi kuiba mbwa,

Itakuwa mwizi alikuwa anakuja kucheza/kuwaweka karibu[emoji23]

Wengine tuna ki smati[emoji16],tukija kwako kama si paka ni mbwa lazima anigande[emoji23], home hatufugi paka lkn kuna paka wa jirani kahamia nyumbani,ilikuwa kila nikienda kwao ananiganda nikirudi ananifuata,imekuwa mazima hiyo, Mbwa nao wahamiaji
Unauza mbwa wa aina gani?
 
Jamani

Juzi jioni nipo zangu barabarani napishana na dogo kaongozana na jibwa jeusi manyoya yamesimama kama nungunungu,

Nikamuuliza dogo huyo mbwa si mkali? Anacheka tu na yule mbwa ananifuata mie anatikisa mkia, nikamkalipia kwa hasira WE DOGO NAKUULIZA UNACHEKA TU! MFUKUZE HUYO MBWA WAKO ANANIFUATA,[emoji2]

hapo jasho linanitoka hatari nilivurugwa[emoji16],
 
Back
Top Bottom