Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Watu wanaogopa dog ila wanapenda dogstyle😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmhWatu wanaogopa dog ila wanapenda dogstyle😁😁😁😁
Kuna Mmiliki wa mbwa kang'atwa na mbwa wake100%
Ng'ombe bwana aiseee chukulia ile kichwa umegongwa nayo basi ty niudhaifu wa mtuSasa ng'ombe ana tatizo gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
NomaNg'ombe bwana aiseee chukulia ile kichwa umegongwa nayo basi ty niudhaifu wa mtu
Sijui angeniambia nn mwanangu kauliwa na mbwaa,,una mbwaa kwann hakai bandani kwake!kwangu nina mbwa wawili wa kizungu ila wanabanda lao nyuma kabisa ya nyumba ht mgen akija haw3zi jua km kuna mbwa na wanafunguliwa usiku tuuu baada ya kijana kuhakikisha watu wote wako ndani na asbh saa11 wanarudi bandani kwao,Mnyama hana urafiki
Kuna bull dog wa jamaa akiwa kwake mtoto wa ndugu yake wa miezi 18 akawa anacheza nae
Ghafla alimng"ata kichwa hakuachia mpaka mtoto akakata roho huku akimzunzusha kama mwanasesere
Jina ujinga na mbwa kabisa nilishawahi kuumwa utotoni na mbwa wa jirani
Nikija kwako kama una mbwa na kuambia mfungie sehemu
Hivi ni sifa kumuacha mbwa akae na wageni? Ili iweje show-off ama
Mkuu wazungu wanafuga kama pet sio kama walinziSijui angeniambia nn mwanangu kauliwa na mbwaa,,una mbwaa kwann hakai bandani kwake!kwangu nina mbwa wawili wa kizungu ila wanabanda lao nyuma kabisa ya nyumba ht mgen akija haw3zi jua km kuna mbwa na wanafunguliwa usiku tuuu baada ya kijana kuhakikisha watu wote wako ndani na asbh saa11 wanarudi bandani kwao,
Sasa unawaza mpk mgen anakuja anaanza mkimbiza inamaan huyo mbwa anashinda anazunguka hapo nyumban kulambalamba vitu
Kumbee inapaswa kuwa nawatoa,dr wao hajawahi sema ili jambo ama ukute hajui!binafsi sipendi na nawaogopa mbwaa ila ilitulazimu kwajili ya usalama sasa sipend ht kuwaona wanazunguka hapo mchanaMkuu wazungu wanafuga kama pet sio kama walinzi
Yaani kumuachia arukeruke sitting room na kuzunguka uani ni kawaida
Bora kuwafungia tu bandani ila kila asubuhi sana ni vizuri kuwatoa nje kwa kuwafunga kamba zao na kukimbia kwa ajili ya mazoezi ya kila mda kwani wanahitaji kama wewe unavyohitaji
[emoji1][emoji1][emoji1] nacheka kama mazuri kuhusu mbwa wa wazunguKumbee inapaswa kuwa nawatoa,dr wao hajawahi sema ili jambo ama ukute hajui!binafsi sipendi na nawaogopa mbwaa ila ilitulazimu kwajili ya usalama sasa sipend ht kuwaona wanazunguka hapo mchana
Hao wakushinda sebulen wa kizungu ndo kabisaa ntawapiga niwaue wakae uko na wazungu
Ina maana hao mbwa wanamfahamu kijana tu hapo nyumbani? Nyie members wengine wa familia mbwa hawatambui au?Sijui angeniambia nn mwanangu kauliwa na mbwaa,,una mbwaa kwann hakai bandani kwake!kwangu nina mbwa wawili wa kizungu ila wanabanda lao nyuma kabisa ya nyumba ht mgen akija haw3zi jua km kuna mbwa na wanafunguliwa usiku tuuu baada ya kijana kuhakikisha watu wote wako ndani na asbh saa11 wanarudi bandani kwao,
Sasa unawaza mpk mgen anakuja anaanza mkimbiza inamaan huyo mbwa anashinda anazunguka hapo nyumban kulambalamba vitu
Unauza mbwa wa aina gani?Wala si kazi kuiba mbwa,
Itakuwa mwizi alikuwa anakuja kucheza/kuwaweka karibu[emoji23]
Wengine tuna ki smati[emoji16],tukija kwako kama si paka ni mbwa lazima anigande[emoji23], home hatufugi paka lkn kuna paka wa jirani kahamia nyumbani,ilikuwa kila nikienda kwao ananiganda nikirudi ananifuata,imekuwa mazima hiyo, Mbwa nao wahamiaji
Watalidokoa tu hilo traako
Siuzi mbwa bhanaUnauza mbwa wa aina gani?