Huwa unatumia vigezo gani kumjua mshamba?

Huwa unatumia vigezo gani kumjua mshamba?

Utalikuta adriz linaimba qaswidah kabisa kwasauti kwenye simu hadharani livutie madem waislam
Qaswida ni uongo sijawahi kupenda wala kuwa muimbaji ,ila Wanawake wa Kiislamu wanaojistili vizuri haswa akiwa na Niqaab kabisa hapo nachanganyikiwa kabisa wanavutia sana ,na ukimpata mwenye tabia nzuri awe ndani mkeo basi bi Raha sana, utulivu ,Amani ,upendo burudani sasa wewe komaa na Wahadzabe wenzako..
image.jpg
 
Mshamba ni mtu alietoka shamba Kuja mjini, lakini tafsiri yangu ushamba ni Ile hali ya kutofahamu vitu Fulani au matumizi ya vitu fulani. Mfano hujawahi Kuona au kusafiri na meli wewe ni mshamba kwenye Eneo Hilo, mfano mwingine matumizi ya choo Cha kuflash au kumputa au simu janja . Kingine tabia ya kushangaa vitu au watu, au kununua kitu nakufanya matangazo au maonesho Kila mtu ajue una gari au nyumba au simu huo nao ni ushamba.
 
Kwenye usafiri wa umma ndio kuna washamba wengi sana, utawajua kupitia maongezi yao wakiwa wanaongea na simu.
Kwa sauti ya juu,utasikia,hivi zile tofali fundi kamaliza zote,mwambie kuna mifuko 4 ya cement natuma sasa hivi,pia aseme hela yote anayodai maana nimeshampa milioni 8 mpk sasa...
 
Mshamba ni mueneo mkubwaa anaopewa mtu ahangaike nao Kama adhabu ya kumkomoa.
 
Back
Top Bottom