Huwezi amini huyu ni mtoto wa kiume

πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“ Daah makaveli10 hiko kichwa.. walimu walipata tabu sana
Dah.. Usinikumbushe kabisa mzee, misala mingi halafu class nasongesha vizuri, mwalimu wananikubali inabidi wa nitetee tu, form 1 nikatimuliwa baada ya kukata makofi mwalimu, A level nikamtongoza ticha wangu wa physics πŸ˜‚
Primary usipime, watoto, sijui watu gani nimo, matokeo mazuri nimo, Wali u wakaniachia tu 🀣, sura ya pole ila mtukio sasa πŸ€£πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…