Huwezi amini huyu ni mtoto wa kiume

Yule wa juzi kigauni kimini cheusi, mtoto wa kiume , hawakuona sijui.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa, ila yule kumbe ni mgonjwa wa akili, ila vijana wavuta bangi wakawa wana muingilia bila ridhaa yake, mbna katolewa nje.
 
Kipimo cha kwanza ni kusuka huo ni umama/udada/ukike

Kama unabisha suka uone kama sijaleta posa ya kukuoa
Me nimesuka njoo tufanye kipimo cha pili nikupumulie

Wanaume walosuka nikutajie ukawaoe Mkuu ila ikitokea wakakuzalisha usije kutulilia humu
 
Na Hawa ndio mnasema ndio " vioo vya jamii"!
Kioo chako chagua wazazi wako na km wazaz wako hawafai basi kuwa ww bora kwa manufaa ya kizaz chako,wasanii wanafanya kinachowapa burudani na faida km wanadamu wengne,hawafany ili ww uwe kama wao ingekua ivo wanavyosemwa wangeshabadilika,

Waslamu wanavyowasema Mond na Konde kila silu ingekua ni wakusikia ama wanataka kuwa mifano ya jamii wangeshabadilika

Mind Your Bussiness,Period!!

Hope this helps
 
Me nimesuka njoo tufanye kipimo cha pili nikupumulie

Wanaume walosuka nikutajie ukawaoe Mkuu ila ikitokea wakakuzalisha usije kutulilia humu
Kama umesuka usijiite mwanaume jiite shoga
 
Mkuu uwe na heshima unavyoitaja simba sc,usifananishe lile choko na simba sc,kwanza ashasema kahamia yanga kwa sababu ya manara..mind ur language.
Ila si anajiita simba mkuu 🤓🤓🤓
 
Huyu akabidhiwe kwa wazee wa Rondo kwanza
 
Kumbe ugomvi wa b2k ishu ilikua haya mambo, kazi ipo, dunia sasa inavua pichu na kutanua miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…