my take:
ni aibu kwa kwa serikali,chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM) na wasomi wote waliopo na waliowahi kupitia chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM)
Si shangai kwa unachoandika kwa sababu kujiunga JF it does not take more than 2 minutes na hakuna aptitude test ndiyo maana tuna kila aina ya watu.
Sikubaliani na wewe jinsi ulivyotumia hiyo picha kulaum serikali,uongozi wa chuo na kusema ni aibu wa wanaosoma udsm na waliowahi kusoma udsm."Sometimes it is better to be quite because when you start talking or writing posts you give information about who you real are".
Information nilizopata kuhusu wewe kutokana na post yako ni
1.Inawezekana ulisoma udsm ukadisco au hujawahi kusoma hapo ila ulikuwa unapenda sana usome hapo
2.Udsm inaonekana walikufanyia kitu ambacho hukupenda maishani mwako
Nikirudi kwenye picha yako,sijui o-level ulisoma shule gani,ila shule nyingi ktk Geography form3 au 4 kuna somo la map and photograph interpretation,nahisi kama ulikuwa unakimbia vipindi.uwezo wako wa kuextract information kutoka kwenye picha samahani kusema nauona ni mgodo.
Nikirudi kwenye picha
1.Hicho chumba kina vitanda double deck2,jumla kulala ni watu wanne,inamaanisha magodoro yanatakiwa kuwa manne hapo yanaonekana magodoro mawili,umejiuliza ni kwa nini?
2.Unapofika chuo ukilipia chumba(accomodation) unapewa receipt unaenda nayo kwa warden anakupa funguo za room na godoro(kama godoro halipo chumbani).Hao jamaa kwenye picha wako watatu na godoroni moja ,wewe hapo umejifunza nini kama great thinker(if and only if you are one).Hawajalipia pesa za kukaa hapo walipo,kama wangekuwa wakazi halali wangeenda kuomba magodoro.
3.Inawezekana hicho ni kipindi cha likizo watu hawapo chuo,washikaji wamebaki ili wabakiwe na pesa amelipia mmoja na wengine ndiyo kama hivyo.
Kuhusu swala lako la watu kufanya part time wakiwa chuoni,sijui kama unaelewa ratiba ya vipindi ikoje si kila mtu anaweza fanya part time,na pia sijui foleni za dar unazijua au unaongea.unaweza enda kwenye part time alafu ukakwama kwenye foleni,si utamiss vipindi.
Angalia hapo red highlighted,shule au vyou wanafunzi wanakuwepo kwa muda maarum ukimaliza course unaondoka chuoni,sijakuelewa kwa nini iwe aibu kwa waliosoma hapo zamani "what is the connection?".
Vyuo vipo vingi na vizuri tu na kila chuo kina uzuri wake na mapungufu yake,jitahidi usionyeshe hisia zako kuhusu chuo fulani.
Usiwapotoshe watu kwa kutaka ilaumiwe serikali au uongozi wa udsm,katika uliyoandika swala la majengo kutokuwa na feni hilo sawa the rest is garb***
Read between kines,dont take it personal,think before you post.
Regards
Aqua