Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Vikwazo vya aina hiyo ulaya nayo itaumiaMarekani ndio mchangiaji mkubwa wa bajeti NATO... isitoshe ana miliki jeshi kubwa zaidi na silaha nyingi za kisasa kuliko mwanachama yeyote wa NATO.
Mkataba wa NATO unahimiza ushirikiano wa pamoja katika kuikabili Urusi hivyo si takwa la Marekani pekee........
isitoshe njia pekee ya kuiadhibu Urusi ni vikwazo vikali vya kiuchumi vitakavyolenga sekta zake muhimu hasa gesi, mafuta na sekta ya fedha (mabenki, biashara, mitaji,mikopo).
sio mtu yeyote sema mtu mdhaifuLakini elewa kwamba Nato ni tawi tu la Marekani, na Marekani akiondoa ufadhilii wake pale hamna kitu chochote, na huo ndio ukubwa wenyewe wa Marekani.
Kingine ni kwamba kabla ya kutumia nyenzo kubwa lazima utumie nyenzo ndogo. Kama Marekani amemiliki uchumi wa dunia na ana uwezo wa kumwekea mtu yeyote vikwazo mpaka akasarenda ni kwa nini asitumie njia hiyo?
US pekeyake hawezi kitu angalia vita ya kuisambaratisha Afighanistan na Iraq aliomba msaada mataifa kibao lakn anaepigananae yupo alone. Hata kumpiga Gaddaf alikuwa yy na Ufaransa.
Asante sana kwa ufafanuazi, watu wanadanganya sana kuhusu UJAMAA eti unaweza kua strong kuuzidi UBEPARIhistory yako ya uchumi wa china inaanzia mwaka 2005 kuja juu wakati mimi yangu inaanzia 1934 kuja hadi leo.
ungelikuwa unajua ninachokijua mimi kuhusu uchumi wa china usingeliandika ulichokiandika.
furthermore uchumi wa china una sura na sifa nzima ya kibepali, hakuna ujamaa hata kidogo labda tu kwenye mgawanyo wa keki ya taifa ndiyo kuna ujamaa.
narudia tena, ukomunista wa china upo kwenye jina tu.
N/Korea ndiyo nchi pekee ya ujamaa dunian kwasasa.
Hili nalo ni darsa jipya, rudi shule au soma vitabuUkoministi umevunjika lini?
Nahitaji debate na wewe katika Uzi wangu "Kama nitakua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania"Hili nalo ni darsa jipya, rudi shule au soma vitabu
Haa ha ha, UKO wapi huo uzi mkuu!?Nahitaji debate na wewe katika Uzi wangu "Kama nitakua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania"
Jukwaa la siasa.Haa ha ha, UKO wapi huo uzi mkuu!?
Wakati wa mwanzo wa COVID-19, nchi kadhaa duniani zilifunga mipaka yake na kuondoa raia wao kadhaa walioko nchi zingine mbalimbali pamoja na kwamba nchi hizo ni washirika.Hata hiyo NATO ni kiini macho.Ni bora Ulaya wakaunda umoja wao wa kijeshi .
Eti saizi Marekani anawaambia Raia wao waondoke Ukraine.
Watu wengi wana uelewa finyu sana, ni wachache sana wanaoweza kukuelewa.Wakati wa mwanzo wa COVID-19, nchi kadhaa duniani zilifunga mipaka yake na kuondoa raia wao kadhaa walioko nchi zingine mbalimbali pamoja na kwamba nchi hizo ni washirika.
Nchi kuondoa raia wake kutoka katika maeneo yenye migogoro au majanga ni protokali ya kawaida kabisa ya masuala ya usalama. Suala hilo halina mahusiano yoyote yale na ushirika kati ya nchi na nchi.
Wewe umeelewa kinyume na maumbile, the reverse of what you have written is what's prevailingBila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
Viumbe gani jasiri?Kiukweli nchi pekee nnayoiona imebeba viumbe jasiri kwenye sayari hii ni korea kaskazini tu. Huwa najiuliza wanachojiaminia wale jamaa nakosa majibu kabisa
πππSio kwamba nakupinga ila umetoa poor definition ya mtu jasiri.Viumbe gani jasiri?
Nchi ambazo ni jasiri zaidi ni miongoni mwa nchi ambazo zimewahi kupigana na kushinda vita nyingi zaidi katika historia ya nchi hizo. Korea Kaskazini wala sio miongoni mwazo.
Alaska ni mbali Sana. Mwambie aingize Majeshi yake hata Poland kupitia Belarus uone Response ya NATO. Ukraine sio Mwanachama wa NATO lakini mpaka Sasa alishapokea Tani laki 4 za Ammunitions.Russia arejeshe Alaska kibabe, make Marekani ni waoga mno hawatafanya kitu.
Ambazo wahuni wa Russia tayari wanajua zilipo.Alaska ni mbali Sana. Mwambie aingize Majeshi yake hata Poland kupitia Belarus uone Response ya NATO. Ukraine sio Mwanachama wa NATO lakini mpaka Sasa alishapokea Tani laki 4 za Ammunitions.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Urusi ndo mwimba taarabu si anatak kuivamia ukrain.macha mengi S300,S400, hatuoni kazi yake pale syria why mkuu.Bado Marekani huyohuyo amekusanya mataifa mengi wameungana kwaajili ya kuikabili Urusi lakini bado wameishia kwenye taarabu
Sijatoa definition ya 'mtu jasiri'. Nimeeleza kuhusu 'nchi jasiri' kuendana na muktadha wa mjadala.πππSio kwamba nakupinga ila umetoa poor definition ya mtu jasiri.