Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ndo ukubwa huoSalute wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 27,kipindi na soma chuo niliwahi kutongonzwa na binti ambaye alikuwa tayari ana mtoto sikuona kuwa ni shida maana kila nlipo kuwa na hamu nae alinipa bila usumbufu wowote.
Kwa mwanzo nlikuwa sijajua maisha yake taratibu nikaanza kumjua, kumbe ni binti ambaye alikuwa hana kazi Maalumu alikuwa anawapenzi wengi ambao ndio walikuwa wakimuweka mjini ubaya nlikuwa tayari nimesha mpenda.
Kwa kupungukiwa akili nikasema wacha nimbadilishe nilijua shida yake inayo msumbua ni pesa nikawa na muhudimia japo sikuweza kutimiza mahitaji yake yote,kwahyo tabia ya kuruka na wanaume ikaendelea japo kwa uchache.
Kabla sijamaliza chuo alinetegeshea mimba nyumbani wakajua ila wakanishauri nisitishe mawasiliano na huyo binti Mpaka ntakapo maliza chuo, ila tutaendelea kumuhudumia huyo binti na ikawa hvyo.
Baada ya yeye kujifungua akapata Mpenzi alikuwa kinyozi wa saloon, meanwhile huduma zote mimi ndio nlikuwa natoa pale anapoishi,sikuona kama ni shida yeye kuwa na mahusiano mengine.
Siku zikapita nikamaliza chuo nikawa nikienda kumona mtoto na kurudi kwangu, siku moja tukakaa tukayaongea, penzi likarudi na akaahidi ya kuwa ataachana na huyo kijana. Kidume nikatulia nikahisi nimekuwa mkubwa nahitaji kuoa huyu mwanamke, tukaweka mipango ya kutambulishana Kwa wazazi liwe jambo official.
Kabla ya hayo kutimia kumbe mwenzangu bado hajatulia kila kukicha magomvi akawa halali nyumbani siku nyingine anaenda kulala kwa wanaume wake,Kuna siku nimekuta SMS za huyo kijana wa saloon Wakiitana mume na mke na siku chache nyuma aliniambia kuwa ana mimba. Ile mimba ikazua mzozo akaitoa mwenyewe.
Tumeendelea kuishi majuzi nikakuta video wamejirecord wakiwa kitandani na huyo Kijana wa saloon. Nilimpiga na simu yake kichwani.
Yeye na mama yake wakanifungulia shitaka la shambulio, na bila kuwa na uoga akaniambia hanitaki ana mpenda yule kijana wa saloon. Kihistoria mama yake ana watoto saba kila mmoja na baba yake.
Tumeshaachana week tatu sasa ila changamoto ipo kwenye malezi ya mtoto.
Nawasilisha.
ehh punguza ukali wa maneno basiMsenge wewe
Vijana wanaendekeza mapenz kuliko maisha... Kijana mdogo unataka kuoa hiv una akil.. unaish kwa kutegemea wazaz unakuaje na akil za kuoa. Si ajabu huyo dada anakuona hamnazo had kinyoz anakuchkulia demu kijana wa chuo kikuu.. dah.. what a fall down.Salute wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 27,kipindi na soma chuo niliwahi kutongonzwa na binti ambaye alikuwa tayari ana mtoto sikuona kuwa ni shida maana kila nlipo kuwa na hamu nae alinipa bila usumbufu wowote.
Kwa mwanzo nlikuwa sijajua maisha yake taratibu nikaanza kumjua, kumbe ni binti ambaye alikuwa hana kazi Maalumu alikuwa anawapenzi wengi ambao ndio walikuwa wakimuweka mjini ubaya nlikuwa tayari nimesha mpenda.
Kwa kupungukiwa akili nikasema wacha nimbadilishe nilijua shida yake inayo msumbua ni pesa nikawa na muhudimia japo sikuweza kutimiza mahitaji yake yote,kwahyo tabia ya kuruka na wanaume ikaendelea japo kwa uchache.
Kabla sijamaliza chuo alinetegeshea mimba nyumbani wakajua ila wakanishauri nisitishe mawasiliano na huyo binti Mpaka ntakapo maliza chuo, ila tutaendelea kumuhudumia huyo binti na ikawa hvyo.
Baada ya yeye kujifungua akapata Mpenzi alikuwa kinyozi wa saloon, meanwhile huduma zote mimi ndio nlikuwa natoa pale anapoishi,sikuona kama ni shida yeye kuwa na mahusiano mengine.
Siku zikapita nikamaliza chuo nikawa nikienda kumona mtoto na kurudi kwangu, siku moja tukakaa tukayaongea, penzi likarudi na akaahidi ya kuwa ataachana na huyo kijana. Kidume nikatulia nikahisi nimekuwa mkubwa nahitaji kuoa huyu mwanamke, tukaweka mipango ya kutambulishana Kwa wazazi liwe jambo official.
Kabla ya hayo kutimia kumbe mwenzangu bado hajatulia kila kukicha magomvi akawa halali nyumbani siku nyingine anaenda kulala kwa wanaume wake,Kuna siku nimekuta SMS za huyo kijana wa saloon Wakiitana mume na mke na siku chache nyuma aliniambia kuwa ana mimba. Ile mimba ikazua mzozo akaitoa mwenyewe.
Tumeendelea kuishi majuzi nikakuta video wamejirecord wakiwa kitandani na huyo Kijana wa saloon. Nilimpiga na simu yake kichwani.
Yeye na mama yake wakanifungulia shitaka la shambulio, na bila kuwa na uoga akaniambia hanitaki ana mpenda yule kijana wa saloon. Kihistoria mama yake ana watoto saba kila mmoja na baba yake.
Tumeshaachana week tatu sasa ila changamoto ipo kwenye malezi ya mtoto.
Nawasilisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikubwa uzima tu.
DuuuuhMsenge wewe
Kuna watu bana sijui watukanwe tus gani ndio waelewe.Liverpool VPN njoo umwambie kijana wetu neno lolote!
Kuna watu wanakeraa sanaa madam..ehh punguza ukali wa maneno basi
Braza nadhani hujamwelewa...Vijana wanaendekeza mapenz kuliko maisha... Kijana mdogo unataka kuoa hiv una akil.. unaish kwa kutegemea wazaz unakuaje na akil za kuoa. Si ajabu huyo dada anakuona hamnazo had kinyoz anakuchkulia demu kijana wa chuo kikuu.. dah.. what a fall down.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri huo anatakiwa awepo kwa mama yake,akikua mchukueMwaka na miezi 6.
hivi!! Ni kweli dada?? basi mie ntaoa muzee... Kwani wewe tyri umeolewa? Nina jambo langu....samahani lkn.Kweli kama ulivyoandika ulipungukiwa akili ukidhani utambadilisha
Mwanamke akishakuwa msaliti there is no way utamfanya atulie awe wako peke yako
Mtoto ana umri gani?
rikiboyi uzi unarindima kuree kaukamate..Kuna mitihani mingi kwa mwanaume lakini mwanaume kuzaa na Mwanamke malaya asiejitambua bhasi huwa ni zaidi ya Mateso...!! Pole lakini pia Kua kiakili usiruhusu Mapenzi yaendeshe ubongo wako kwa kufata Moyo wako.. Tumia akili haiwezekana mwanamke akalale na mwanaume mwingine alafu aje kwako tena upuu,u wa hali ya juu
zamani..siku hizi wanafugika....ke ni bidhaa ndogo sana...ataishi kwangu atakula kwangu..atapigwa miti vizuri tu huko mpaka atosheke. Walaa mie sina shida ilimradi nina mapene ya kutosha. Napiga misele yangu...ntamfanya house keeper tu. Na wala simletei dem mwingine ila nafanyia mbali huko...hata jua.ila mie kufanyana nae mwiko.Kunguru hafugiki