Huwezi kuchukua nchi bila SYSTEM kuwa upande wako

Unamfahamu mtu mwenye mamlaka ya kuteua wakuu wa vyombo vya dola?
Fuatilia pia utoaji amri na utimizaji wake vyombo vya dola.
Hoja ya msingi, kujenga imani kwa vyombo vya dola ni muhimu sana. Kanuni muhimu ya maisha hata adui anapenda kuonyeshwa unamjali na upendo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafanye kazi na TISS? Umesahau ya Abdulrahman Kombe?

Siku zingine acha Kukurupuka Kuyataja Majina ya Watu kama unajua huyajui vizuri au hujajiridhisha nayo. Umejichoresha sana!
 
Shida ni ccm, ikifa hakuna cha tiss wala nani.


..masuala ya system kuwa against upinzani mimi nadhani ni kukatishana tamaa na kutishana tu.

..Ushindi ktk uchaguzi unapatikana kwa kuweka mgombea mzuri / wagombea wazuri, kuwa na a good and inspiring campaign message, na la mwisho ni kufanya kampeni ya nguvu na kuwa more organized kuliko unayeshindana naye.

..Kuna watu walikuwa hawaamini kwamba Wamarekani wanaweza kuchagua mtu mweusi. Walikuwa na imani hizihizi kwamba kuna an " invisible hand " / system itakayomzuia mtu mweusi.

..But what happened alipopatikana mgombea mweusi ambayo alikuwa na sifa tatu ambazo nimezielezea hapo juu?

..Wapinzani waweke mgombea ambaye atamzidi mgombea wa ccm kwa hoja. Pia wawe na ilani nzuri ya uchaguzi na mgombea wao awe na uwezo wa kuitetea. Mwisho mgombea awe na stamina ya kufanya kampeni kumzidi mgombea wa ccm.

..Mgombea wa Uraisi wa upinzani ana mchango mkubwa sana ktk kuwabeba wagombea wa ubunge. The two campaigns have to be coordinated and in sync.
 
Asee sijui unatumia akili gan hivi unaijua siasa na utawala wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
..mgombea wa upinzania anatakiwa amfunike yule wa ccm.

..hilo likitokea hicho mnachoita " system " kitakuwa haina jinsi zaidi ya ku-lineup nyuma ya mgombea aliyeshinda.

..kama "system" ya makaburu iliweza kumlinda na kumtii Mzee Mandela, sioni kwanini "system" ya hapa Tz ishindwe kumtii mpinzani.
 
Labda watakuelewa kwa vile mwenzao.

All in all hongera kwa mara ya kwanza umetoa ushauri mzuri sana.
 
Kumbe hivyo vyombo aiku hizi ni vya siasa navyo?? Siasa za Afrika ni mavi matupu.

Huko kwa wenzetu wanaoona mbele mnapambana kisiasa kuchukua madaraka tu. Hivyo vyombo vyenyewe vinakuwepo tu na mnavikuata nakuviacha na habipaswi kufungamana na siasa zisizolinda msitakabali wa taifa.
 
Mwanaccm unaisharuri jinsi ya chadema kushinda?? Amazing...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…