Hoja ya msingi, kujenga imani kwa vyombo vya dola ni muhimu sana. Kanuni muhimu ya maisha hata adui anapenda kuonyeshwa unamjali na upendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaposema system unamaanisha nini mkuu! Zaidi ya katiba kuba system nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
umma upi?
Inawezekana ni Usali mpya ndani ya Kijani.Nawewe unaishauri chadema wakati upo nao .ni akili ya maiti tu kuwaza kuwa chadema waweza kuichukua nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanye kazi na TISS? Umesahau ya Abdulrahman Kombe?
Shida ni ccm, ikifa hakuna cha tiss wala nani.
leo umewaza mbali sana kuleta wazo kma hili, ila siyo lazima viwe upande wako pale ambapo kuna demokrasia ya kweli, kumbuka Ivory Coast, jamaa alikuwa na vyombo vya usalama pmja na jeshi lote nyuma yake, lakini wananchi waliamua...Tunisia, Misri ni mifano tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanye kazi na TISS? Umesahau ya Abdulrahman Kombe?
leo umewaza mbali sana kuleta wazo kma hili, ila siyo lazima viwe upande wako pale ambapo kuna demokrasia ya kweli, kumbuka Ivory Coast, jamaa alikuwa na vyombo vya usalama pmja na jeshi lote nyuma yake, lakini wananchi waliamua...Tunisia, Misri ni mifano tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hivyo vyombo aiku hizi ni vya siasa navyo?? Siasa za Afrika ni mavi matupu.Chadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka kujilidhisha na sera zenu juu yao.
Hivyo wapinzani mnapotaka kufanya siasa msijitenge na vyombo kama Police, TISS na JWTZ ni ushauri wangu tu wa leo kuvishutumu vyombo vya ulinzi mala kwa mala mtajenga kutoaminika kupewa nchi ndio maana wanawasumbua sana maana wanajuwa mkiingia mtawageuka na kuwachukulia hatua. Siasa imebadilika vyombo vya usalama ni muhimu ili kwenda hasa ikulu.
Ili jambo litaponza upinzani miaka mingi sana na tutachelewa kuondoa mfumo mbovu wa taifa endapo upinzani hautabadilika na kuwa upinzani wa sera za mageuzi na sio lawama kwa vyombo vya usalama siasa zetu tuzifanye na kumshutumu Magufuli lakini sio taasisi za ulinzi wa nchi.
Kweli huwezi kutenganisha Tiss na ccmShida ni ccm, ikifa hakuna cha tiss wala nani.
Mwanaccm unaisharuri jinsi ya chadema kushinda?? Amazing.....nadhani unazungumzia kwa nafasi ya URAISI.
..vyama vya upinzani havijawahi kuwazidi ccm ktk kampeni za Uraisi.
..mara zote wameweka wagombea ambao ni weaker compared to mgombea wa ccm.
..pia mara zote wamekuwa out-campaigned na out-organized na ccm.
..ccm wamekuwa wakifanya kampeni kwa nguvu zaidi kuwashinda wapinzani.
..ccm pia wamekuwa wakifanya kampeni ambazo ziko more organized kuzidi kampeni za ccm.
..Kuna mambo matatu ya msingi. La kwanza MGOMBEA. La pili CAMPAIGN / UJUMBE. La tatu ORGANIZATION.
..Wapinzani wajitahidi washinde mambo mawili kati ya hayo matatu na hakutakuwa na kisingizio cha system kuwazuia.
cc Kalamu1, Nguruvi3