..nadhani unazungumzia kwa nafasi ya URAISI.
..vyama vya upinzani havijawahi kuwazidi ccm ktk kampeni za Uraisi.
..mara zote wameweka wagombea ambao ni weaker compared to mgombea wa ccm.
..pia mara zote wamekuwa out-campaigned na out-organized na ccm.
..ccm wamekuwa wakifanya kampeni kwa nguvu zaidi kuwashinda wapinzani.
..ccm pia wamekuwa wakifanya kampeni ambazo ziko more organized kuzidi kampeni za ccm.
..Kuna mambo matatu ya msingi. La kwanza MGOMBEA. La pili CAMPAIGN / UJUMBE. La tatu ORGANIZATION.
..Wapinzani wajitahidi washinde mambo mawili kati ya hayo matatu na hakutakuwa na kisingizio cha system kuwazuia.
cc
Kalamu1,
Nguruvi3