Nadhani mfumo uliopo, dola yote inaitumikia ccm. Polisi ni waziwazi. Hao wengine ndo kwa style ya kutokujulikana. Wote ni wale wale. Utaanzia wapi kukubaliwa na kufanya kazi na tiss hii ya ccm na ussitwe msaliti ama unataka kupindua nchi? Ccm wenyewe wenye mahusiano na upinzani wanadhibitiwa! Achilia mbali maafisa wa serikali na viongozi kama wakuu wa wilaya, mikoa nk.
Nguruvi3
..labda wale wa ngazi za juu kabisa.
..lakini ngazi za kati na chini ni vijana waliokulia ktk mfumo wa vyama vingi.
..ccm haiwezi tena kuvihodhi vyombo hivyo na ndiyo maana unaona inatapatapa.