Huwezi kuchukua nchi bila SYSTEM kuwa upande wako

Huwezi kuchukua nchi bila SYSTEM kuwa upande wako

Chadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka kujilidhisha na sera zenu juu yao.

Hivyo wapinzani mnapotaka kufanya siasa msijitenge na vyombo kama Police, TISS na JWTZ ni ushauri wangu tu wa leo kuvishutumu vyombo vya ulinzi mala kwa mala mtajenga kutoaminika kupewa nchi ndio maana wanawasumbua sana maana wanajuwa mkiingia mtawageuka na kuwachukulia hatua. Siasa imebadilika vyombo vya usalama ni muhimu ili kwenda hasa ikulu.

Ili jambo litaponza upinzani miaka mingi sana na tutachelewa kuondoa mfumo mbovu wa taifa endapo upinzani hautabadilika na kuwa upinzani wa sera za mageuzi na sio lawama kwa vyombo vya usalama siasa zetu tuzifanye na kumshutumu Magufuli lakini sio taasisi za ulinzi wa nchi.
System inakuwa upande wako ukiisha chukua nchi siyo kabla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyefanya busara ni mwingine siyo wewe hopeless.

Hili Jina la Kiislamu la Marehemu Imran Kombe ulilitoa wapi Ndugu? Siku zingine uachege kuwa na Kiherere ona ulivyoumbuka.
 
..nadhani unazungumzia kwa nafasi ya URAISI.

..vyama vya upinzani havijawahi kuwazidi ccm ktk kampeni za Uraisi.

..mara zote wameweka wagombea ambao ni weaker compared to mgombea wa ccm.

..pia mara zote wamekuwa out-campaigned na out-organized na ccm.

..ccm wamekuwa wakifanya kampeni kwa nguvu zaidi kuwashinda wapinzani.

..ccm pia wamekuwa wakifanya kampeni ambazo ziko more organized kuzidi kampeni za ccm.

..Kuna mambo matatu ya msingi. La kwanza MGOMBEA. La pili CAMPAIGN / UJUMBE. La tatu ORGANIZATION.

..Wapinzani wajitahidi washinde mambo mawili kati ya hayo matatu na hakutakuwa na kisingizio cha system kuwazuia.

cc Kalamu1, Nguruvi3
Kitu cha kwanza kuwapalilia njia wapinzani nikuhakikisha wanapata majority bungeni

Ili wawe na uwezo wa akidi kupush mambo wanayoyataka kwa votes bungeni hata serikali itakuwa na adabu kwa bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili Jina la Kiislamu la Marehemu Imran Kombe ulilitoa wapi Ndugu? Siku zingine uachege kuwa na Kiherere ona ulivyoumbuka.
Sasa kukosea jina ndo kuumbuka? Una akili ndogo Mbona?
 
Sasa kukosea jina ndo kuumbuka? Una akili ndogo Mbona?

Kama hukuwa tu na Akili ya kuweza Kujiridhisha vyema juu ya Jina la Marehemu Kombe utakuwa na Akili za Kujibizana nami?
 
Kama hukuwa na Akili ya kuweza Kujiridhisha vyema juu ya Jina la Marehemu Imran Kombe utakuwa na Akili za Kujibizana nami?
I got the last name right. Sidhani kama una akili za kukutosha. Siwezi kuwa na muda mchafu. Endelea na shughuli yako.
 
Kitu cha kwanza kuwapalilia njia wapinzani nikuhakikisha wanapata majority bungeni

Ili wawe na uwezo wa akidi kupush mambo wanayoyataka kwa votes bungeni hata serikali itakuwa na adabu kwa bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app

..Ni wazo zuri.

..kusiwepo na chama chenye kuweza kupitisha mswada bungeni bila kushirikiana na chama kingine.
 
..masuala ya system kuwa against upinzani mimi nadhani ni kukatishana tamaa na kutishana tu.

..Ushindi ktk uchaguzi unapatikana kwa kuweka mgombea mzuri / wagombea wazuri, kuwa na a good and inspiring campaign message, na la mwisho ni kufanya kampeni ya nguvu na kuwa more organized kuliko unayeshindana naye.

..Kuna watu walikuwa hawaamini kwamba Wamarekani wanaweza kuchagua mtu mweusi. Walikuwa na imani hizihizi kwamba kuna an " invisible hand " / system itakayomzuia mtu mweusi.

..But what happened alipopatikana mgombea mweusi ambayo alikuwa na sifa tatu ambazo nimezielezea hapo juu?

..Wapinzani waweke mgombea ambaye atamzidi mgombea wa ccm kwa hoja. Pia wawe na ilani nzuri ya uchaguzi na mgombea wao awe na uwezo wa kuitetea. Mwisho mgombea awe na stamina ya kufanya kampeni kumzidi mgombea wa ccm.

..Mgombea wa Uraisi wa upinzani ana mchango mkubwa sana ktk kuwabeba wagombea wa ubunge. The two campaigns have to be coordinated and in sync.
Hii ni kwa democratic state mkuu sio hapa Tz, hata ukiwa na sifa zote hizo bado hutapewa uraisi kama hujajipanga vizuri na system. Zanzibar 2015 hayo uliyoyasema yote upinzani ulikuwa nayo lakini mwisho wa siku TISS walimteka Jecha na kumlazimisha kufuta uchaguzi jambo halijawi kutokea duniani chama tawala kudai uchaguzi haukuwa huru.
 
Hii ni kwa democratic state mkuu sio hapa Tz, hata ukiwa na sifa zote hizo bado hutapewa uraisi kama hujajipanga vizuri na system. Zanzibar 2015 hayo uliyoyasema yote upinzani ulikuwa nayo lakini mwisho wa siku TISS walimteka Jecha na kumlazimisha kufuta uchaguzi jambo halijawi kutokea duniani chama tawala kudai uchaguzi haukuwa huru.

..hiyo inaweza kutokea kwa kaeneo kadogo kama Zanzibar.

..Tanganyika ni li nchi likubwa huwezi kulidhibiti kama Zanzibar.
 
Alibebwa na lubuva
Ndio system yenyewe sasa kama chadema wanatukana serikali,mahakana,tume ,spika unategemea nini?? Spika Wa bunge bwege,haya mahakama mabwege,vyombo vya dola mabwege,tume mabwege hivi kwa misimamo hiyo ulitarajia chadema ishinde? Na una matarajio itakuja kushinda ikiendelea na hiyo misimamo?
 
Hawawezi kua ni wananchi tu bwana,lazima ufikiri kwa kina. Jeshi likiwa upande wa uongozi na likanyanyuka kisawa sawa kudhibiti raia hakuna atakaye kohoa
leo umewaza mbali sana kuleta wazo kma hili, ila siyo lazima viwe upande wako pale ambapo kuna demokrasia ya kweli, kumbuka Ivory Coast, jamaa alikuwa na vyombo vya usalama pmja na jeshi lote nyuma yake, lakini wananchi waliamua...Tunisia, Misri ni mifano tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Chadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka kujilidhisha na sera zenu juu yao.

Hivyo wapinzani mnapotaka kufanya siasa msijitenge na vyombo kama Police, TISS na JWTZ ni ushauri wangu tu wa leo kuvishutumu vyombo vya ulinzi mala kwa mala mtajenga kutoaminika kupewa nchi ndio maana wanawasumbua sana maana wanajuwa mkiingia mtawageuka na kuwachukulia hatua. Siasa imebadilika vyombo vya usalama ni muhimu ili kwenda hasa ikulu.

Ili jambo litaponza upinzani miaka mingi sana na tutachelewa kuondoa mfumo mbovu wa taifa endapo upinzani hautabadilika na kuwa upinzani wa sera za mageuzi na sio lawama kwa vyombo vya usalama siasa zetu tuzifanye na kumshutumu Magufuli lakini sio taasisi za ulinzi wa nchi.
We ni kiazi kabisa, security services ya nchi yoyote hutii rais yeyote aliyechaguliwa na huanza kutekeleza majukumu yao kulingana na mtazamo wa huyo rais mpya na kumshauri pale wanapoona kuna shida. Angalia sakata la ESCROW lilivyokuwa handled na wana usalama wetu, japo lilikuwa bomu lakini walihakikisha linapita salama. Tumia akili na kama hunazo kaa kimya
 
..Ni wazo zuri.

..kusiwepo na chama chenye kuweza kupitisha mswada bungeni bila kushirikiana na chama kingine.
2015 CHADEMA walifanya Kosa kubwa kuelekeza nguvu kubwa kwenye urais badala ya bunge.

Walitakiwa waweke nguvu kubwa sana kwenye bunge ili wavunje hiyo majority ya ccm bungeni nafasi ya kufanya hivyo walikuwa nayo kubwa sana.

Ukiangalia majimbo waliyoyapoteza kizembe huku wakiwa wameshapata kura zaidi ya 50% yalikuwa mengi sana lakini walinyang'anywa kizembe sana.

Kama wangekuwa na nguvu ya akidi bungeni sheria mbovu zote wangeweza kubadilisha na wangeweza kupush agenda zao zikaweza kupita bungeni.

Lakini kilicho wazi zaidi ni kwamba walitoka kwenye uchaguzi mkuu wakiwa exhausted sana na walipopoteza tena wakawa hawana plan B namna gani wataendelea kunevigate the tide mapigo ya ccm na dola yakawafrustrate wakashindwa kupambana na kuanza kulia na kulalamika this was an expression of defeat which ccm received it with it's all hands.

Mwanzoni uwanja wa kuchezea ulikuwa na mbigili tu sasa ccm wameamua kuumwagia misumari kabisa ni ngumu sana CHADEMA sasa hivi kupambana kwenye uwanja huu though bado wanaback up kubwa ya wananchi kuliko aliyonayo ccm.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka kujilidhisha na sera zenu juu yao.

Hivyo wapinzani mnapotaka kufanya siasa msijitenge na vyombo kama Police, TISS na JWTZ ni ushauri wangu tu wa leo kuvishutumu vyombo vya ulinzi mala kwa mala mtajenga kutoaminika kupewa nchi ndio maana wanawasumbua sana maana wanajuwa mkiingia mtawageuka na kuwachukulia hatua. Siasa imebadilika vyombo vya usalama ni muhimu ili kwenda hasa ikulu.

Ili jambo litaponza upinzani miaka mingi sana na tutachelewa kuondoa mfumo mbovu wa taifa endapo upinzani hautabadilika na kuwa upinzani wa sera za mageuzi na sio lawama kwa vyombo vya usalama siasa zetu tuzifanye na kumshutumu Magufuli lakini sio taasisi za ulinzi wa nchi.
Wapinzani hawana adabu, 24/7 wanalindwa wasiuawe na watu wa nje ila wao hawana shukrani.
 
..hiyo inaweza kutokea kwa kaeneo kadogo kama Zanzibar.

..Tanganyika ni li nchi likubwa huwezi kulidhibiti kama Zanzibar.
Madam ccm ikiendelea kutawala Tanzania bara Zanzibar hakuna chama kingine kitakachoweza kupata urais hata kama kitashinda asilimia 100 ya kura zote.

ccm wanaweza kuwa tayari kutumia nguvu ya ziada (nadhani umenielewa) kuhakikisha inabaki kwenye top leadership Zanzibar no wonder 2015 walipora huo ambayo wamekuwa wakifanya hivyo kila uchaguzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upinzani utaondoaje CCM madarakani kwa mfano?

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na wajumbe wake wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM/Rais

Wakuuu wa mikoa na wilaya (makada wa CCM) ni wakuu wa vyombo vya usalama maeneo yao

Matokeo ya urais hayapingwi mahakamani

Sent using Fly in any Weather.

Sent using Fly in any Weather.
Wanaweza uovu ukizidi wakaiamsha jamii,Jamii kwa pamoja mfano ifikie 80% waikatae ccm,hata tume iwe inatoka mbinguni au kuzimu itaachia tu.Msingi ni wananchi na sio tume.Wananchi siku wakiichoka ccm hata polisi hawana uwezo wa kuisaidia.
 
Back
Top Bottom