Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Ishu sio kuitukana ishu hizo mamlaka ni wanufaika siku mirija yao ikikatwa hawatoweza ibeba.Hizi nadharia za umilele zimewaponza watawala na vyama vingi Sana tena vyenye nguvu kuliko ccm vikafa.Ili ccm idumu milele ni lzm ishuke kwa wananchi ipambane na shida za wananchi na sio kupambana na wapinzani wapinzani sio shida za watzNdio system yenyewe sasa kama chadema wanatukana serikali,mahakana,tume ,spika unategemea nini?? Spika Wa bunge bwege,haya mahakama mabwege,vyombo vya dola mabwege,tume mabwege hivi kwa misimamo hiyo ulitarajia chadema ishinde? Na una matarajio itakuja kushinda ikiendelea na hiyo misimamo?
Ni hao hao waliosusia chaguzi za serikali za mtaaHao wananchi unaongelea sio sisi, sio watoto wetu wala wajukuu wetu ni wananchi wa miaka 300 ijayo.
Sent using Fly in any Weather.
Njia nyingine ni wao kuanza kupata wanachama kutoka katika taasisi hizo hasa wanaoingia Kwenye active politics.Hebu fafanua ni jinsi gani upinzani ufanye kazi na JWTZ na TISS
Tatizo lillilopo kwa CHADEMA kwa sasa wameloose focus ya kupambana badala yake wanatapata kutafuta foothold.CHADEMA Bila shaka watapokea kwa mikono miwili huu ushauri wako mkuu na kuufanyia kazi ipasavyo
Madam ccm ikiendelea kutawala Tanzania bara Zanzibar hakuna chama kingine kitakachoweza kupata urais hata kama kitashinda asilimia 100 ya kura zote.
ccm wanaweza kuwa tayari kutumia nguvu ya ziada (nadhani umenielewa) kuhakikisha inabaki kwenye top leadership Zanzibar no wonder 2015 walipora huo ambayo wamekuwa wakifanya hivyo kila uchaguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ccm itaendelea kutawala Tanzania bara na Zanzibar itakuwa hivyo hivyo hata kwa mabavu..ccm wanaweza kudhulumu chaguzi za Zanzibar kwasababu hawapati challenge ya kutosha kutoka kwa vyama mbadala kwa upande wa Tanganyika.
Inategemea umeichukuaje nchi ,hiyo system huwa wanakimbia wakati wa uchukuajiChadema mnapofanya siasa zenu tambueni kuwa ni ngumu kuchukua nchi bila kufanya urafiki na vyombo vya ulinzi na usalama. Either mtatumia umwagaji damu, Vyombo vya ulinzi ndio watanzania wenyewe ukiona umekubalika 50% kwa watanzania na ndani ya ulinzi ndio hivyo hivyo, maafisa wa vyombo wanataka kujilidhisha na sera zenu juu yao.
Hivyo wapinzani mnapotaka kufanya siasa msijitenge na vyombo kama Police, TISS na JWTZ ni ushauri wangu tu wa leo kuvishutumu vyombo vya ulinzi mala kwa mala mtajenga kutoaminika kupewa nchi ndio maana wanawasumbua sana maana wanajuwa mkiingia mtawageuka na kuwachukulia hatua. Siasa imebadilika vyombo vya usalama ni muhimu ili kwenda hasa ikulu.
Ili jambo litaponza upinzani miaka mingi sana na tutachelewa kuondoa mfumo mbovu wa taifa endapo upinzani hautabadilika na kuwa upinzani wa sera za mageuzi na sio lawama kwa vyombo vya usalama siasa zetu tuzifanye na kumshutumu Magufuli lakini sio taasisi za ulinzi wa nchi.
Kwa hali ilivyo vyama vya mageuzi vipambane kuidhoofisha ccm bungeni vitapenya kwa kwa urahisi sana maana wataweza kucommand mwelekeo wa serikali wanavyotaka...ccm wanaweza kudhulumu chaguzi za Zanzibar kwasababu hawapati challenge ya kutosha kutoka kwa vyama mbadala kwa upande wa Tanganyika.
Hakuna chochote zaidi ya wizi wa kura acha porojo.ndio maana mkisikia tume huru majiharishia..nadhani unazungumzia kwa nafasi ya URAISI.
..vyama vya upinzani havijawahi kuwazidi ccm ktk kampeni za Uraisi.
..mara zote wameweka wagombea ambao ni weaker compared to mgombea wa ccm.
..pia mara zote wamekuwa out-campaigned na out-organized na ccm.
..ccm wamekuwa wakifanya kampeni kwa nguvu zaidi kuwashinda wapinzani.
..ccm pia wamekuwa wakifanya kampeni ambazo ziko more organized kuzidi kampeni za ccm.
..Kuna mambo matatu ya msingi. La kwanza MGOMBEA. La pili CAMPAIGN / UJUMBE. La tatu ORGANIZATION.
..Wapinzani wajitahidi washinde mambo mawili kati ya hayo matatu na hakutakuwa na kisingizio cha system kuwazuia.
cc Kalamu1, Nguruvi3
"Mabeberu'wakitaka muandamane kumtoa jiwe ni dk sifuri….kuna mtu alikuwa anatisha kama Muammar Mohammed Abu Minyar Gaddafiumma upi?
kumbuka maandamano ya nchi nzima mliringishiwa polisi kidoogo mkatepeta hata road hamjaingia.maneno matupu tu kama kipigo cha mbwa koko,mtapigwa mchakae.mkaogopa.
hayo mambo ya umma sio tanzania.watanzania ni wapole wa kupitiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapataje majority bungeni na tume fake ya uchaguzi?.hatua ya kwanza ni tume huru..Ni wazo zuri.
..kusiwepo na chama chenye kuweza kupitisha mswada bungeni bila kushirikiana na chama kingine.
Utapataje majority bungeni na tume fake ya uchaguzi?.hatua ya kwanza ni tume huru
Tuna Safari ndefu sana sishangai ndio maana afrika masikini..mnaosema Tume Huru kwanza mko sahihi. Kwasababu tume ndiyo inayosimamia uchaguzi na kutangaza washindi halali.
..wanaosema majority bungeni kwanza nao wako sahihi. Kwasababu bila majority bungeni huwezi kupitisha sheria itakayounda tume huru.
NB:
..kwa sasa uwezekano wa kuunda tume huru ya uchaguzi haupo, kwasababu wabunge wa ccm hawana nia hiyo.
Ukiacha ushabiki utaelewaCcm ndio system na system ndio Ccm,
kuwaambia wapinzani wajenge ushawishi kwa Ccm ili washinde ni kuwajaza ujinga.