Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
LC 300 and alike is not for everyone.

Sugua sana goti msikitini na makanisani, omba sana Mungu utaishia kwenye Prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine, dunia ya maagano, lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha, hakuna mjinga atakubabidhi milioni 500 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risks.

Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori, hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana, mjinga nani ajukabidhi na milioni upige nayo misele.

Tanzania ukichukua fomu tu Ugombee Ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.

, Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ametuwekea sisi waafrica, kuna level tukifika huwa tunamkufuru,Tunajiona tumefanikiwa kwaakili zetu ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana, wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini, washirikina wakubwa.

Waafrica ni wanafiki sana, bado hatujaacha dini zetu za asili, kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani, tukitoka hapo tunapishana kwa waganga.

Asilimia kubwa tuko hivyo.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni.

Mimi binafsi sijawahi kwenda kwa mganga ila nimefanya kazi na watu ni washirikina hatari na nusu,Na yanapanda vyeo tu wanachodekiver hukioni.

Africa tukifika maendeleo kama ya ulaya makanisa ya kiroho ya akina mwamposa an a like yatafutika, tutabaki na yale madhehebu yetu makuu. Kuna watu wanajifanya kuombewa wakishafanikiwa huwaoni tena kanisani.Walifuata miujiza sio kujiweka karibu na Mungu ili waione pepo.

Pata picha unaamka asubuhi maji bombani hayakatiki,umeme haukatiki,ada ya watoto haisumbui,wakimaliza masomo wanaoata ajira, ukiumwa una uwezo wa kujitibia Agha khan,unadrive gari kali na una nyumba yako ya kuishi????

My friend Mwamposa atabaki na wale wateule wachache wanaotaka kwenda mbinguni,na sio wapenda miujiza

Point of adfition,kumbe hata ulaya mabilionea huitwa freemason,ngoma droo and case closed
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
It sad unawaza uganga kupata mafanikio to this day, ambu rudi tena kitaa
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
Hata hiyo Crown tu ni mtiti
 
Ungetuwekea na picha
images (63).jpeg
 
Kuna wachawi kibao hawana hata baiskeli, hiyo imekaaje?
Tofautisha mchawi na mshirikina
Wachawi wanaongozwa na miiko ya kazi yao,ni mchezo wa kijinga faida yake ni kujifurahisha tu ila wrngi hawana maendeleo,africa kuna washirikina wengi sana,wataenda kanisani na misikitini na kwa waganga wataenda kisirisiri
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
Uzuri nature ilivyo huwezi kuvuka pale unapoamini ndipo limit yako ilipo.
Wakati wewe ukizungumzia milion 400, kuna watu wanaswali kweli na wanamiliki gari hadi zenye thamani zaidi ya hapo.
 
Yuko sahihi anachokisema.

Nimepita kwenye field ya madereva nimejionea sana how witchcraft is applied in their daily activities.

Mkuu, wanasema no research no right to speak...
Truly ukiwa unaishi maisha ya kawaida unaweza usiamini haya mambo

Ila ukiwa unataka kukua financially na kuwa na stability kuna nguvu fulani unabidi kuwa nayo.

Kuwa knowlegable bila kuwa anointed still is nothing.
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
Ungesoma na kulielewa neno la Mungu usingekuwa umeandika huu upumbavu
 
Back
Top Bottom