Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Uzuri nature ilivyo huwezi kuvuka pale unapoamini ndipo limit yako ilipo.
Wakati wewe ukizungumzia milion 400, kuna watu wanaswali kweli na wanamiliki gari hadi zenye thamani zaidi ya hapo.
Ni siri yao mkuu ,waafrica sisi ni wanafiki sana,asilimia kubwa tunajifanya tunamuamini Mungu ila tunapishana kwa waganga kila siku
 
Ni siri yao mkuu ,waafrica sisi ni wanafiki sana,asilimia kubwa tunajifanya tunamuamini Mungu ila tunapishana kwa waganga kila siku
Sijui kwanini waafrika huwa hatuamini kuwa mtu anaweza kufanikiwa kwa juhudi. Iwe katika chochote tunasema wameroga. Iwe katika mpira, katika maendeleo katika chochote. Ulozi ungelipa bila shaka Afrika ingekuwa imeendelea zaidi ya west hata timu zetu za mpira zingefika mbali sana huko worldcup zikabeba kombe.
 
Yuko sahihi anachokisema.

Nimepita kwenye field ya madereva nimejionea sana how witchcraft is applied in their daily activities.

Mkuu, wanasema no research no right to speak...
I dont say kwamba hamna uchawi haupo but if unategemea uchawi kufika, hao waganga wenyewe wanaowapa wanaishi maisha ya ajabu, si matajiri. Wapo matajiri wa halali na wa uganga, wapo wanao rithi, sasa wewe utaamua pa kukaa
 
Sijui kwanini waafrika huwa hatuamini kuwa mtu anaweza kufanikiwa kwa juhudi. Iwe katika chochote tunasema wameroga. Iwe katika mpira, katika maendeleo katika chochote. Ulozi ungelipa bila shaka Afrika ingekuwa imeendelea zaidi ya west hata timu zetu za mpira zingefika mbali sana huko worldcup zikabeba kombe.
Waafrica ndio tulivyo mkuu,
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Tanzania ukichukua fomu tu ugombee ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.

Ikulu ya magogoni kila siku ni ubani udi na madawa yanafukizwa tu,

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Waafrica ni wanafiki sana,bado hatujaacha dini zetu za asili,kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani,tukitoka hapo tunapishana kwa waganga
Asilimia kubwa tuko hivyo

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
Kuendesha tu unaenda kuroga!, Hutamani kumiliki?.
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Tanzania ukichukua fomu tu ugombee ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.

Ikulu ya magogoni kila siku ni ubani udi na madawa yanafukizwa tu,

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Waafrica ni wanafiki sana,bado hatujaacha dini zetu za asili,kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani,tukitoka hapo tunapishana kwa waganga
Asilimia kubwa tuko hivyo

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
Hata hao waendesha crown, nao ni walewale tu
 
Nimesoma kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo,na hapa nasikiliza injili ,
Wewe umelisikia neno haujalielewa neno ndio mana unashangaa watu kushinda kanisani bado ni masikini kunavingi vya kumuomba Mungu kabla haujamuomba utajiri na utajiri kwa Mungu ni kuwa na akiba ya kufanya mwema hujui hayo maovu ya binadamu ndio sababu ya Mungu kupunguza umri wa watu kuishi duniani kingine utajiri wa Dunia hii ni nyongeza tu ni sawa na kwenda dukani kununua Mayai 9 ukaongezewa yai moja la nyongeza wewe lile moja ukaona lenye thamani kubwa kuliko yale tisa uliyokuwa nayo
 
mdukuzi umesikia tajiri hawezi kuridhi ufalme wa mbinguni,hili napinga kwa sababu kuu 2. Ambraham alikuwa tajiri,issaka alikuwa tajiri,hakuna mtu sio tajiri. Kuna ile imani halisi ukiiamini kuna lango A,B,C.

Aisee ukimwita Mungu atakupa hilo na zaidi,nimeamini hili kuna kipindi nilikuwa kama wewe,aisee fucking truth, nawaza waganga tu . Wanaweza ila hata Mungu anaweza kuna njia unayotakiwa uijue umfikie . Ila ujue Mungu azui mapigo yatakayokupata, yeye anakuepushia kifo,kudhurika . Unakumbuka makonda alipata ajali mbaya sana ila Mungu alimnusuru . Ukiona hadi leo upo Mungu anataka umjue yeye.

Kuna waganga wanasaidia, kwanini unawaona watu kanisani na kwa waganga wanatolewa vitu walivyorushiwa,haribiwa sii wote wanaenda kuua. Jingine maisha hapa duniani kila mtu anateseka sio anaishi kwa raha .
 
LC 300 and alike is not for every one.

Sugua sana goti msikituni na makanisani,omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine,dunia ya maagano,lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha,hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk,
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori,hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana,mjinga nani ajukabidhi namilioni upige nayo misele.

Tanzania ukichukua fomu tu ugombee ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.

Ikulu ya magogoni kila siku ni ubani udi na madawa yanafukizwa tu,

Ukija kwa wamiliki the same,Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ameruwekea sisi waafrica,kuna level tukifika huwa tunamkufuru,ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana,wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini,washirikina wakubwa.

Waafrica ni wanafiki sana,bado hatujaacha dini zetu za asili,kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani,tukitoka hapo tunapishana kwa waganga
Asilimia kubwa tuko hivyo

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni
Fanya kazi acha Imani potofu...
Waafrika hamtaendelea kila anaefanikiwa mchawi
 
Back
Top Bottom