Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Uzuri nature ilivyo huwezi kuvuka pale unapoamini ndipo limit yako ilipo.
Wakati wewe ukizungumzia milion 400, kuna watu wanaswali kweli na wanamiliki gari hadi zenye thamani zaidi ya hapo.
Uko sahihi pia
Inahitaji imani ya kweli mnoo
Siye tunaita "yaqeen"wachache wanayo ya kuamini Mungu km unamuona na ukifika level hizo we umefuzu
 
Uko sahihi pia
Inahitaji imani ya kweli mnoo
Siye tunaita "yaqeen"wachache wanayo ya kuamini Mungu km unamuona na ukifika level hizo we umefuzu
Yes, kuna jamaa aliniambia kitambo alikuwa ananielezea ya the power of attraction. Jisni ya kuattract vitu iwe pesa au chochote kinaanza na wewe mwenyewe kuamini kabisa kuwa utakimiliki.
 
Sijui kwanini waafrika huwa hatuamini kuwa mtu anaweza kufanikiwa kwa juhudi. Iwe katika chochote tunasema wameroga. Iwe katika mpira, katika maendeleo katika chochote. Ulozi ungelipa bila shaka Afrika ingekuwa imeendelea zaidi ya west hata timu zetu za mpira zingefika mbali sana huko worldcup zikabeba kombe.
Shida ni kua akili duni na ujinga umetujaa
Mimi niko kwenye biashara fulani hv jamani ukiwaambia watu hutumii chochote zaidi ya ibada hawakuelewi wanakuona umechelewa ila wao na mimi tunafanana tu maisha
Watu wanaamini sana kwenye ushirikina kuliko kuamini ktk Mungu na juhudi za kweli
Vinasikitisha mnoo
Uzuri Mungu ashasema mchawi na mshirikina mafanikio yao na kinga zao ni kama utando wa buibui tu
 
Shida ni kua akili duni na ujinga umetujaa
Mimi niko kwenye biashara fulani hv jamani ukiwaambia watu hutumii chochote zaidi ya ibada hawakuelewi wanakuona umechelewa ila wao na mimi tunafanana tu maisha
Watu wanaamini sana kwenye ushirikina kuliko kuamini ktk Mungu na juhudi za kweli
Vinasikitisha mnoo
Uzuri Mungu ashasema mchawi na mshirikina mafanikio yao na kinga zao ni kama utando wa buibui tu
Ndio waafrica tulivyo mkuu
 
Yes, kuna jamaa aliniambia kitambo alikuwa ananielezea ya the power of attraction. Jisni ya kuattract vitu iwe pesa au chochote kinaanza na wewe mwenyewe kuamini kabisa kuwa utakimiliki.
Wachache wana hyo karama wengi wetu tuna pupa na haraka ndo maana hatufanikiwi
Ila ukiwa na subira unapata
Wapo wana mafanikio hawajawahi hata kumiliki namba ya mganga wa kienyeji au kuwaaona
 
Wachache wana hyo karama wengi wetu tuna pupa na haraka ndo maana hatufanikiwi
Ila ukiwa na subira unapata
Wapo wana mafanikio hawajawahi hata kumiliki namba ya mganga wa kienyeji au kuwaaona
Kabisa mkuu. Sema watu watakwambia sio kweli wana siri wewe huwezi jua. Ila mtu kabisa unaweza kufanikiwa bila kupita njia hizo
 
Ukiwa na ng'ombe mia mbili wa maziwa unaweza kumnunulia mtu awe anachungia ng'ombe
Kuna dogo mmoja yuko tra alikuwa anaishi msela hana mke kaoa juzi tu lakini alikuwa na watoto wawili
Aliajiri beki tatu msela
Jeep Cherokee, v8 na prado viko ndani
Kazini anaenda na prado beki tatu anatumia v8 na jeep kupeleka madogo skuli na kwendea gengeni
Siyo kila aliyefanikiwa ni uchawi mafanikio ya kweli yapo na inapendeza sana
 
Hivi mtu kama Mimi unaweza nishawaishi vipi nikaamini mafanikio yanatoka Kwa Mungu,wakati napigika nilienda maeneo miaka ya nyuma huyu Mzee amefaliki aliniagiza nikachukue nywele za kichaa nikaenda kaliakoo nikakamata kichaa nakamnyoa usiku kesho nikapeleka kuanzia hapo mambo yakasonga miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani nikapata vya kupata nikasonga na kote huko nakutana na watu wa Mungu tena wale wakubwa halafu uje niambie eti omba Mungu Tu Acha tu nipambane na uchawi ilimladi naishi vyema,tusichokijua wengi wetu ukiona mtu anakwambia tegemea Mungu jiulize zaidi yeye anamtegemea, cc Nabii wa kitunda najua kabla hajawa hivyo tulikutana maeneo miaka ya nyuma na tukapelekwa makabulini tena alikimbia mara ya Kwanza baada ya kuona kabuli limegawanyika Acha niishie hapa kikubwa Imani sababu wengine kuandika hatujui
 
LC 300 and alike is not for everyone.

Sugua sana goti msikituni na makanisani, omba sana Mungu utaishia kwenye prado mchaga.

Huku kwa ma LC 300 ni dunia nyingine, dunia ya maagano, lazima uwe na nguvu za giza sio kulinunua tu hata kuliendesha, hakuna mjinga atakubabidhi milioni 400 uzurure nayo mitaani kwenye kila aina ya risk.

Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori, hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana, mjinga nani ajukabidhi na milioni upige nayo misele.

Tanzania ukichukua fomu tu ugombee ubunge watakuja wazee wakulazishe kukupa hirizi au wakufanyie kisomo.

Ikulu ya Magogoni kila siku ni ubani udi na madawa yanafukizwa tu.

Ukija kwa wamiliki the same, Mungu wetu kuna limit ya mafanikio ametuwekea sisi waafrica, kuna level tukifika huwa tunamkufuru, ndio maana misikitini na makanisani wale waumini wa kweli wanamaisha ya chini au ya kawaida sana, wale matajiri ukiwafuatilia ndio wamiliki wa majini, washirikina wakubwa.

Waafrica ni wanafiki sana, bado hatujaacha dini zetu za asili, kuanzia ijumaa mpaka jumapili tutaenda misikitini na nakanisani, tukitoka hapo tunapishana kwa waganga.

Asilimia kubwa tuko hivyo.

Tuendelee kuendesha crown tu ili tufike mbinguni.
Kaajiriwe UN vitengo vitengo vya juu au mashirika ya kimataifa highly paid...na hii ndo madhara ya kuzaliwa nchi masikini yani kila kitu lazima uhusishe na uchawi
 
Back
Top Bottom