Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Dogo
Kweli mikutano ya injili inajaza wanaoupenda miujiza hii ni ishara kuwa watu wengi ni masikini

Wanasiasa wanawapenda viongozi wa dini kwa kuwa wanawasaidia kuwanyonya zaidi

Alafu wanawaambia umasikini wao umesababishwa na laana za ukoo
Siyo serekali
 
Hata wakoloni kabla ya kuja walitutangulizia wapelelezi na wamisionari ili watutawake vizuri
 
Mmhhh...hao nao!kaahh
 
Sishangai sana hii Nchi 90% ya watu wanaamini kwenye ushirikina na ipo top 10 Duniani 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9pdAEXqMEz/?igsh=N3djbHJkcThwanVr
 
Hicho unaita Ibada unadhani ni nini labda?
 
Kila mganga na sharti lake brother
Naona mnapata tabu tu wengine niliwaacha Kariakoo hapo na masharti yao ya kijinga waliyopewa na Waganga sasa hivi wapo kijijini..mtu anapewa maji amwagie dukani kila asubuhi na asisalilimiane na mtu wengine wasibebe familia kwenye gari yake na gari yenyewe ya kipimbi tu wengine mzigo hausimami sasa hela za nini hapo ni show off huku ukipata tabu..
 
Amini kabisa ulozi unahusika katika mafanikio ya mtu ni vile watu wana roho mbaya hawataki mfanikiwe wote ila ingekuwa tunaelekezana njia wanazo pitia za ulozi mafanikio tungekuwa nayo.

Tunaaminishwa sana kuwa ukifanya kazi kwa bidii unafanikiwa lakini hao wanao tuaminisha ukifika ofisini mwao unakuta udi na ubani kama sio ulozi ni nini sababu ya kuchoma udi na ubani?
 
Ukishasema TRA mada inakuwa flipped moja kwa moja. Hamna asiyejua sarakasi za ma afisa TRA.
 
Biashara gani hiyo inaenda bila ya kupuliza?
Huku hadi kilimo lazima ukapulize sembuse biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…