Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huyu ni mwizi hatofaitiani sana na washirikina
 
Kwenye maswala ya biashara sikatai, hao wakinga uchawi kwao ni maji na samaki sikupingi. Ila uliposema kwenye udereva nakukatalia kiasi chake.
 
Vipi Muganyizi, na huyo Rutashobya hapo BOT hamjambo?
Wahaya wanapenda sifa lakini hawaendelezi kwao. Ukifika mkoani Kagera kuanzia makao makuu Bukoba na wilaya nyingine pamechoka vibaya ila wao akina Rugemarira wamekaa kutafuta sifa mijini kuwa wao ni watu wa daraja nyingine. Hebu igeni watu wa mkoa wa Kilimanjaro kuanzia Moshi na wilaya nyingine unapokuta magorofa na barabara za lami hadi vijijini. Mfano kama magorofa ya Freman Mbowe na Reginald Mengi huko Machame ni mhaya gani aliwahi kufanya jambo kama hilo kijijini kwao???!!!.
 
Irebojo
,,infact kama uwezi kumiriki uto tu gari it's about you.
binfsi yangu mimi mr.Muganyizi hizo LC300 huwa navunia kahawa kure kwetu Kagera.

nikitoka Brussels kwenye chikao cha UN unitafute nikupe mbinu za kumiliki pesa.
Haya bwana muganyizi
 
Mawazo ya kijinga hayo.
 
Hizo mali zinaweza sababisha mtu akafa kifo cha kikatili na chenye maswali mengi, tofauti na mtu akifa kwa sababu ambazo zinaeleweka.
Hakuna kifo ambacho sio Cha kikatili labda tuambie hicho kifo ambacho sio Cha kikatili kipoje?
 
Mkuu unataka kutuaminisha kwamba mtaji mkuu wa hawa manabii ni umaskini wa watu wetu ambao wengi wao wameshakata tamaa ya kufanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…