Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Nina maswali hapo hapo kadhaa
1. Tu take mfano wa akina elon musk, mark zuckerbeg, jack ma, jeff bezos, bill gates, hawa wote tunaaminishwa ni kuwa ni FREEMASONS sijui ni kweli au la!, ila nataka mifaham jambo moja iv kwanini wao wawe ndio richest men in the world?, na ukiangalia ideas zao zilivyowafanya wafike huko ni GREAT,sasa ile ability ya ku innovate new ideas au hayo mawazo nani aliwapa au aliwaongoza ? , tukisema ni freemasons ndio inawapa kwani wangapi wako huko na bado ktk chama na bado hawajacika level za hao jamaa?, kama ni kafara ni ipi hio wanayotoa then wanabaki kuwa top kwanini wasiwe wengine? Nafikiri kuna kitu cha zaidi ukiachana na nguvu za kiroho..

Samahan kwa kuwa nje ya mada ila pia sijui kama nitakuwa nimeeleweka🙏
Umeongea point muhimu sana yena iko relkevant kabisa na hii mada,africa ukifanikiwa mshirikina,kwa wazungu ukifanikiwa freemason

Hapo nhoma droo kumbe hata wazungu hawaamini kuwa mafanikio makubwa hutoka kwa Allah au Jehovah,hii kitu muhimu sana umeongea,mafanikio bado yana siri kubwa sana
 
Tofautisha Uchawi na ushirikina,uchawi ni the highest stage of ushirikina
Kumbe!
Hakuna washirikina kama madereva wa serikali na mabasi ya mikoani plus malori, hizo kazi huzipata kwa kuroga na kuhonga sana, mjinga nani ajukabidhi na milioni upige nayo misele.
Kama ni hivyo basi swali linabaki palepale.

Kwanini kama wamiliki magari ni washirikina, then kwanini washirikina wengi mitaani ni masikini?
 
Kumbe!

Kama ni hivyo basi swali linabaki palepale.

Kwanini kama wamiliki magari ni washirikina, then kwanini washirikina wengi mitaani ni masikini?
Swali zuri na gumu sana ila hakuna field duniani ambayo watu wote wamefanikiwa,Aziz ki analipwa mikioni 30,azizi andambwile analipwa laki 7 wote ji viungo wanachezea Yanga
 
Umeongea point muhimu sana yena iko relkevant kabisa na hii mada,africa ukifanikiwa mshirikina,kwa wazungu ukifanikiwa freemason

Hapo nhoma droo kumbe hata wazungu hawaamini kuwa mafanikio makubwa hutoka kwa Allah au Jehovah,hii kitu muhimu sana umeongea,mafanikio bado yana siri kubwa sana
kitu kingine fikiria iv shetani anaweza akakufata wewe et akupe great idea then ndio uwe top rich in the worid?, kwanin akufate wewe?, una nini kuliko wengine? yaani kuna kitu cha zaid nje ya nguvu za kiroho, sasa hicho ndio kina tutofautisha binadamu wote na hakilingani wala kufanana(.SECRET 1) (SECRET 2) ndio natural power depends on.
hii ni research yangu kwasababu nataka kuwa kama wao hao giants, somethings nataka ni experience.
 
Swali zuri na gumu sana ila hakuna field duniani ambayo watu wote wamefanikiwa,Aziz ki analipwa mikioni 30,azizi andambwile analipwa laki 7 wote ji viungo wanachezea Yanga
Anhaa! Kwahiyo unamaanisha ushirikina ni probability tu kama utafutaji mwingine wa maisha? Na sio njia absolute na ya pekee ya kufikia mafanikio makubwa kama ulivyosema?

Kama ni hivyo then unajuaje? kama ushirikina ndio umekupa mafanikio uliyonayo au aliyonayo fulani? Na sio kwamba ni moja tu ya matokeo ya probability za maisha?
 
Iv benjamini fernandez yule mtz mwenzetu vipi kwa level aliyofikia pale ni ushirikina ule?
kwa akili ya haraka haraka? mbona kwake imewezekana? mnadhani ni kwanini kafika level ile ?( SECRET 1) ndio imefanya kazi yake , kile kitu alichonacho nje ya natural power, hiki ndio kinatutofautisha, why sio wew?, mbona haukuwaza kama yeye lile wazo?, mnadhani ni kwanini?
 
Anhaa! Kwahiyo unamaanisha ushirikina ni probability tu kama utafutaji mwingine wa maisha? Na sio njia absolute na ya pekee ya kufikia mafanikio makubwa kama ulivyosema?

Kama ni hivyo then unajuaje? kama ushirikina ndio umekupa mafanikio uliyonayo au aliyonayo fulani? Na sio kwamba ni moja tu ya matokeo ya probability za maisha?
Ni probability tu mkuu siku yako ikifika imefika tu,kila mtu Mungu kamuandikia fungu kake hata kabla hajazaliwa
 
Iv benjamini fernandez yule mtz mwenzetu vipi kwa level aliyofikia pale ni ushirikina ule?
kwa akili ya haraka haraka? mbona kwake imewezekana? mnadhani ni kwanini kafika level ile ?( SECRET 1) ndio imefanya kazi yake , kile kitu alichonacho nje ya natural power, hiki ndio kinatutofautisha, why sio wew?, mbona haukuwaza kama yeye lile wazo?, mnadhani ni kwanini?
Shida kubwa ya watu ni uvivu wa kutafuta maarifa umenikumbusha yule kijana Fernandez aliyepata uwekezaji wa mabilioni ya pesa kwa miaka michache tu
 
Iv benjamini fernandez yule mtz mwenzetu vipi kwa level aliyofikia pale ni ushirikina ule?
kwa akili ya haraka haraka? mbona kwake imewezekana? mnadhani ni kwanini kafika level ile ?( SECRET 1) ndio imefanya kazi yake , kile kitu alichonacho nje ya natural power, hiki ndio kinatutofautisha, why sio wew?, mbona haukuwaza kama yeye lile wazo?, mnadhani ni kwanini?
Majibu kuyapata mpaka utulize akili ika kwa ufupi kila mtu Mungu kampa njia ya kujinasua kiuchumi na kuwasaidia wengine,hizo innivation zinatoa ajira kwa wengi ili kubalance economy,swali gumu kwa kweli sina majibu
 
Shida kubwa ya watu ni uvivu wa kutafuta maarifa umenikumbusha yule kijana Fernandez aliyepata uwekezaji wa mabilioni ya pesa kwa miaka michache tu
Kuna mwamba hapo juu kasema hata ulaya hao innovator huitwa freemason
 
Upo ndugu yangu
Nchi ngumu hii africa ukitoboa mshirikina
Ulaya ukitoboa freemason
Nipo mzee wangu!
Matajiri hawataki kujue wamepataje ukwasi, ndio maana wametutengenezea uhalisia wao na kutuaminisha ukwasi ni zao la ushirikina na freemason. Wametufunga tusifikirie sababu za kweli ili tusiwe kama wao.
 
Nipo mzee wangu!
Matajiri hawataki kujue wamepataje ukwasi, ndio maana wametutengenezea uhalisia wao na kutuaminisha ukwasi ni zao la ushirikina na freemason. Wametufunga tusifikirie sababu za kweli ili tusiwe kama wao.
Hawawezi kusema ila mi huwa naamini katika bahati pia
 
Ni probability tu mkuu siku yako ikifika imefika tu,kila mtu Mungu kamuandikia fungu kake hata kabla hajazaliwa
Naona umegive up hoja yako yote.

Kama ni hivyo basi hii thread nzima ni batili. Na uchawi na ushirikina utabaki kuwa imani kama imani nyingine.

Na uhalisia utabaki kuwa maisha ni mchezo wa probability tu.
 
Back
Top Bottom