Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Hujaelewa. Mwombee Mungu akusaidie.upate uelewaNimesoma kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo,na hapa nasikiliza injili ,
Umechanganya. Hapo ni kwa mtoto wa Bakhressa.GT bana. Naona umezipanga hapo LC300, range 2024, G wagon brabus 2024 kwenye yard oysterbay heavily gated affluent neighbourhood
Ningeongea kitu ila ngoja ninyamaze,sipromote ushirikins na nina ulaani maana kuna wajinga nikiwa ofisi fulani walikuwa wanapanda tu vyeo na mimi wamenikuta ofisini,nimewazidi elimu na experience,kumbe yanaroga hatari,mimi namtumainia Mungu siwezi kukwambia namiliki nini lakini nina amani na ninachokipataHuyu jamaa ni mshirikina anataka watu wasapoti anayoyaamini yeye.
Nadhani atakuwa naye anamiliki LC300 maana keshajua siri ya kuipata hiyo ndinga. Angekuja akasema anaimiliki baada ya kufanya ushirikina tungemsikiliza maana angekuwa anatoa ushuhuda lakini kuongea kwa hisia tu ni ujinga.
Kuna watu wana zaidi ya hayo na sio washirikina
Inasikitisha sana kuona watu wamekata tamaa hivi. Yaani mtu haamini kuwa anaweza kupata vitu vya $200,000 bila uchawi!Kaajiriwe UN vitengo vitengo vya juu au mashirika ya kimataifa highly paid...na hii ndo madhara ya kuzaliwa nchi masikini yani kila kitu lazima uhusishe na uchawi
Tulia hapo hapo usiondokeSijaelewa kitu
Chuma gani anamiliki?Je ile chuma ya Dr sule umeiona ?
I agree with you 70% if you don't understand the world of spiritual you will hustle in vain forever .