Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Kwamba ukienda Kwa mganga huna lesseni ya kuendesha na hujui kuendesha Hilo li LC 300,

IPO course anakupa unajua kuendesha na anakukatia lesseni?

Waganga na wachawi ni wapumbavu,

Sasa ikiwa hao ni wapumbavu, wanaoenda Kwa Waganga ,upumbavu wao utakuwa level Gani🤔
 
Huyu jamaa ni mshirikina anataka watu wasapoti anayoyaamini yeye.
Nadhani atakuwa naye anamiliki LC300 maana keshajua siri ya kuipata hiyo ndinga. Angekuja akasema anaimiliki baada ya kufanya ushirikina tungemsikiliza maana angekuwa anatoa ushuhuda lakini kuongea kwa hisia tu ni ujinga.
Kuna watu wana zaidi ya hayo na sio washirikina
 
Ningeongea kitu ila ngoja ninyamaze,sipromote ushirikins na nina ulaani maana kuna wajinga nikiwa ofisi fulani walikuwa wanapanda tu vyeo na mimi wamenikuta ofisini,nimewazidi elimu na experience,kumbe yanaroga hatari,mimi namtumainia Mungu siwezi kukwambia namiliki nini lakini nina amani na ninachokipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…