Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Wakamate hao hao nywere za Kichaa ndio upate nini Waganga si wanawaambia muue ndugu hapa unakuja na tolii ya kumnyoa kichaa mbona vichaa wangekua dili aisee..
Huna unalolijua Mimi nilitumwa nywele za kichaa zikawekwa kwenye chupa na dawa ya maji nikazika kwenye genge langu miaka ya 2002 maeneo ya Moshi bar nikawa nakimbiza Sana baada ya biashala kuanza kuyumba niliporudi nikaambiwa Yule kichaa atakuwa amekufa ndio sababu biashala inataka kuanguka hivyo nikabadilishiwa ndio chanzo cha kupelekwa makabulini kuingia maagano Acha nisizungumze Sana sababu wengi wenu Humu ni wale ambao Maisha mmeyakuta hamjawahi kutafuta kwenye ushindani mpk utoboe ujue umehangaika ebu tazama hapo nilikuwa na miaka 15 nimeanza Maisha na enzi zile unatoka Moshi bar gari unakuja kupandia mazizini au Mombasa ukipita lerini pale unakuta maiti za watu miaka hiyo kufanikiwa kunahitaji kujitoa
 
Maisha ni siri, kuna sayansi iliyojificha inayomfanya mtu kuonekana bora kuliko wengine, maburungutu ya fedha na nafasi za upendeleo zinakuwa zinamfuata yeye tu, madili yote ya hela yanamfuata yeye; badala ya yeye kutumia nguvu nyingi kuzitafuta.

''They get rich b'se they do things in uncommon way'' Itafute hiyo ''uncommon way''
 
Maisha ni siri, kuna sayansi iliyojificha inayomfanya mtu kuonekana bora kuliko wengine, maburungutu ya fedha na nafasi za upendeleo zinakuwa zinamfuata yeye tu, madili yote ya hela yanamfuata yeye; badala ya yeye kutumia nguvu nyingi kuzitafuta.

''They get rich b'se they do things in uncommon way'' Itafute hiyo ''uncommon way''
sahihi
 
Huna unalolijua Mimi nilitumwa nywele za kichaa zikawekwa kwenye chupa na dawa ya maji nikazika kwenye genge langu miaka ya 2002 maeneo ya Moshi bar nikawa nakimbiza Sana baada ya biashala kuanza kuyumba niliporudi nikaambiwa Yule kichaa atakuwa amekufa ndio sababu biashala inataka kuanguka hivyo nikabadilishiwa ndio chanzo cha kupelekwa makabulini kuingia maagano Acha nisizungumze Sana sababu wengi wenu Humu ni wale ambao Maisha mmeyakuta hamjawahi kutafuta kwenye ushindani mpk utoboe ujue umehangaika ebu tazama hapo nilikuwa na miaka 15 nimeanza Maisha na enzi zile unatoka Moshi bar gari unakuja kupandia mazizini au Mombasa ukipita lerini pale unakuta maiti za watu miaka hiyo kufanikiwa kunahitaji kujitoa
duh
 
L300 ni hobby tu kumiliki magari ni hobby na sio utaji
Pesa ndogo sana hio ukiwa mchimbaji madini
sema shida yetu wabongo tuna mindset ya kizamani tunaamini kupigika na maisha ndo kunamtoa mtu hatujui unaweza ukapigika na bado mambo yakawa bilabila...sometimes Mungu akitaka lake ktk maisha yako hakuna wa kumzuia tena utajikuta unatoboa bila hata kutumia sana nguvu kubwa
 
Back
Top Bottom