Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

Hivi mtu kama Mimi unaweza nishawaishi vipi nikaamini mafanikio yanatoka Kwa Mungu,wakati napigika nilienda maeneo miaka ya nyuma huyu Mzee amefaliki aliniagiza nikachukue nywele za kichaa nikaenda kaliakoo nikakamata kichaa nakamnyoa usiku kesho nikapeleka kuanzia hapo mambo yakasonga miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani nikapata vya kupata nikasonga na kote huko nakutana na watu wa Mungu tena wale wakubwa halafu uje niambie eti omba Mungu Tu Acha tu nipambane na uchawi ilimladi naishi vyema,tusichokijua wengi wetu ukiona mtu anakwambia tegemea Mungu jiulize zaidi yeye anamtegemea, cc Nabii wa kitunda najua kabla hajawa hivyo tulikutana maeneo miaka ya nyuma na tukapelekwa makabulini tena alikimbia mara ya Kwanza baada ya kuona kabuli limegawanyika Acha niishie hapa kikubwa Imani sababu wengine kuandika hatujui
Kwamba alitumwa makabulini,alafu anakona kabuli nmegawanyika akala ndefu[emoji2][emoji2][emoji2]

Asa alienda kufanya nini sasa kama anakula ndefu[emoji1]
 
500 mil sio hela ndogo jamani tuwe wakweli
Kuwa ndogo au kubwa inategemea na ubongo wako unaona na kuwaza nini.....unajua dhana ya mafanikio hailingani baina ya mtu na mtu....kuna mtu kujenga nyumba , kusomesha na kumiliki chombo chochote cha usafiri hapo amemaliza na humwambii kitu....lakini ni tofauti kwa mwingine ambaye hayo kwake ni mahitaji ya msingi sio mafanikio....hatufanani na hatutafanana....na kutofautiana huko ndio raha na tamu ya maisha.
 
Hivi mtu kama Mimi unaweza nishawaishi vipi nikaamini mafanikio yanatoka Kwa Mungu,wakati napigika nilienda maeneo miaka ya nyuma huyu Mzee amefaliki aliniagiza nikachukue nywele za kichaa nikaenda kaliakoo nikakamata kichaa nakamnyoa usiku kesho nikapeleka kuanzia hapo mambo yakasonga miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani nikapata vya kupata nikasonga na kote huko nakutana na watu wa Mungu tena wale wakubwa halafu uje niambie eti omba Mungu Tu Acha tu nipambane na uchawi ilimladi naishi vyema,tusichokijua wengi wetu ukiona mtu anakwambia tegemea Mungu jiulize zaidi yeye anamtegemea, cc Nabii wa kitunda najua kabla hajawa hivyo tulikutana maeneo miaka ya nyuma na tukapelekwa makabulini tena alikimbia mara ya Kwanza baada ya kuona kabuli limegawanyika Acha niishie hapa kikubwa Imani sababu wengine kuandika hatujui
Wakamate hao hao nywere za Kichaa ndio upate nini Waganga si wanawaambia muue ndugu hapa unakuja na tolii ya kumnyoa kichaa mbona vichaa wangekua dili aisee..
 
Back
Top Bottom