BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hii Ford imekaa kibabe sana, ukiacha ndinga za kijerumani hii nayo hua naitamani sana.Aisee nimeshtuka kumbe lc 300 nikajua ford f150 raptor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Ford imekaa kibabe sana, ukiacha ndinga za kijerumani hii nayo hua naitamani sana.Aisee nimeshtuka kumbe lc 300 nikajua ford f150 raptor
Kwamba alitumwa makabulini,alafu anakona kabuli nmegawanyika akala ndefu[emoji2][emoji2][emoji2]Hivi mtu kama Mimi unaweza nishawaishi vipi nikaamini mafanikio yanatoka Kwa Mungu,wakati napigika nilienda maeneo miaka ya nyuma huyu Mzee amefaliki aliniagiza nikachukue nywele za kichaa nikaenda kaliakoo nikakamata kichaa nakamnyoa usiku kesho nikapeleka kuanzia hapo mambo yakasonga miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani nikapata vya kupata nikasonga na kote huko nakutana na watu wa Mungu tena wale wakubwa halafu uje niambie eti omba Mungu Tu Acha tu nipambane na uchawi ilimladi naishi vyema,tusichokijua wengi wetu ukiona mtu anakwambia tegemea Mungu jiulize zaidi yeye anamtegemea, cc Nabii wa kitunda najua kabla hajawa hivyo tulikutana maeneo miaka ya nyuma na tukapelekwa makabulini tena alikimbia mara ya Kwanza baada ya kuona kabuli limegawanyika Acha niishie hapa kikubwa Imani sababu wengine kuandika hatujui
Mkuu nyarugusu ya geita au?miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani
Ndogo sana, ukilima matikiti heka 30 kwa mtaji wa milioni 20 ukivuna iyo 500m unaipata chap unavuta ndinga, simple like that.500 mil sio hela ndogo jamani tuwe wakweli
Kwa akili ya namna hii lazima uone ni mbingu na ardhi.....Ndogo sana hiyo,ukifanya kazi miaka miwili tu unaipata mkuu,hata ukilima matikiti ekari moja tu unaipata
Kuwa ndogo au kubwa inategemea na ubongo wako unaona na kuwaza nini.....unajua dhana ya mafanikio hailingani baina ya mtu na mtu....kuna mtu kujenga nyumba , kusomesha na kumiliki chombo chochote cha usafiri hapo amemaliza na humwambii kitu....lakini ni tofauti kwa mwingine ambaye hayo kwake ni mahitaji ya msingi sio mafanikio....hatufanani na hatutafanana....na kutofautiana huko ndio raha na tamu ya maisha.500 mil sio hela ndogo jamani tuwe wakweli
Wakamate hao hao nywere za Kichaa ndio upate nini Waganga si wanawaambia muue ndugu hapa unakuja na tolii ya kumnyoa kichaa mbona vichaa wangekua dili aisee..Hivi mtu kama Mimi unaweza nishawaishi vipi nikaamini mafanikio yanatoka Kwa Mungu,wakati napigika nilienda maeneo miaka ya nyuma huyu Mzee amefaliki aliniagiza nikachukue nywele za kichaa nikaenda kaliakoo nikakamata kichaa nakamnyoa usiku kesho nikapeleka kuanzia hapo mambo yakasonga miaka kadhaa nikaona kuyumba nikaenda Nyarugusu huko ndani ndani nikapata vya kupata nikasonga na kote huko nakutana na watu wa Mungu tena wale wakubwa halafu uje niambie eti omba Mungu Tu Acha tu nipambane na uchawi ilimladi naishi vyema,tusichokijua wengi wetu ukiona mtu anakwambia tegemea Mungu jiulize zaidi yeye anamtegemea, cc Nabii wa kitunda najua kabla hajawa hivyo tulikutana maeneo miaka ya nyuma na tukapelekwa makabulini tena alikimbia mara ya Kwanza baada ya kuona kabuli limegawanyika Acha niishie hapa kikubwa Imani sababu wengine kuandika hatujui
Hao ni waganga waliofungua nyumba za Ibada wapige kote kote😀 Madai yao watoa ushuhuda kwa buld..
Zaidi ya 97% ya WaTanzania hawajawahi imiliki hiyo hela kwa pamoja.400m ni pesa ya kutishia watu!?
Kwa muajiriwa labda.400m ni pesa ya kutishia watu!?
Labda uwe kwenye kitengo maalumu kwa sasa walivyobanwa ni ngumu kuzipiga kwa pamojaNdogo sana hiyo,ukifanya kazi miaka miwili tu unaipata mkuu,hata ukilima matikiti ekari moja tu unaipata
Hii gari tamu sana aisee all terrain moja imekaa kibabe mnoHii Ford imekaa kibabe sana, ukiacha ndinga za kijerumani hii nayo hua naitamani sana.