Ulisema diamond ni bora kuliko graduate ghafla umebadilisha tena gia unasema ni mdogo hawezi isaidia Tanzania
Kama hana hawezi isaidia nchi huo ubora wake unatokana wapi
Wewe endelea kukumbatia ujinga sababu ni mjinga kamwe huwezi ona thamani ya elimu
Kwenye mtitiriko wote wa huu uzi umeonyesha kwamba kwenda shule (na ukienda shule unapata cheti kuonyesha kwamba umehitimu)..., na mimi nimekuelezea tangia mwanzo elimu sio lazima uende shule na hata aliyekwenda shule elimu yake haikuanzia shule wala haitaisha siku anatoka shule..., vilevile kuna watu ambao hawajawahi kwenda shule ila katika field zao ni magwiji kuliko hata hao waliokwenda shule.... Kwahio the statement kwambaKuna sehemu yeyote kwenye uzi ambayo nimekuambia nina cheti au nimekuambia kiwango cha elimu yangu ebu nionyeshe nasubiria
Bill Gates alikua msomi hata kama hakumaliza chuo.Wewe ni Mungu?wengi waliomilki Dunia walisoma?
Mansa Mussa alisoma wapi?
Bill Gates ni college dropout
Mark Zuckerberg nk.
Mwenyezi Mungu ndiyo mwenye maamuzi..Kama kijana ameona anamaono hayo ni sawa.
Ni Bora kufikiria kujenga ghorofa ya kufika mawinguni hata ukishindwa basi ukomee ghorofa hata 100...
Anaweza akaishia kuwa tajiri wa kwanza Africa ambayao pia inamuweka meza moja na matajiri wa Dunia kama alivyo Dangote hadi kwenye harusi za nyumbani kwake huwakosi wenzake kina bill Gates