Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #141
Kwanini mkuu, au nimeandika mambo ya siri sana. Unajua maana ya tajiri namba moja duniani?watu km nyie bado mpo kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu, au nimeandika mambo ya siri sana. Unajua maana ya tajiri namba moja duniani?watu km nyie bado mpo kumbe
😄 uzi ufungweManeno yasiwe mengi, Diamond hawezi kuwa tajiri wa kwanza hata kwa Mbezi Beach B
Tuachilie mbali Duniani
Diamond anaongea sana.😄 uzi ufungwe
Ova
Kweli kabisa maneno mengiDiamond anaongea sana.
Pale Kariakoo kuna watu hawajulikani kama Hans Macha ila pesa yake sio mchezo maana kumiliki tu anamiliki 1.1 ya CRDB yote, bado majengo ya waliokopa na kushindwa rudisha anayo 200+
Sasa yeye kampuni ya kubeti na hisa za redio na magari ndo anajiona kawazidi watu.
Huyu tumpe yule Mama wa Vitenge ambaye alinunua ghorofa kwa Bilioni 7 sasa anazivinja
Ya duniyaKusoma elimu ipi?
Pamoja na illuminati sambamba na freemasonNimeona huko x mwanamziki mmoja anasema lengo lake ni kuwa tajiri namba moja duniani.
Yes, elimu ni muhimu ila ipo na bahati pia, sometimes na ulozi,
Let's see.
Elimu-binafsi ( self-education ) ndo inaweza kumfanya mtu kuwa tajiri maana hii ndo hutoa mgunduzi asilia .Kusoma elimu ipi?
Tufunge shule zote sababu mtu unaweza jifunzia mtaani na kupata elimuNachelea kusema wewe ndio unahitaji elimu maradufu na itachukua muda sana kwako sababu uelewa wako ni mdogo sana... Nani kasema shule hazina maana ? Pitia kwanza hilo andiko litakusaidia na utagundua Education / Elimu haianzii wala kuishia shule.... Na fikra kama zako ndio maana tumekuwa na a Lot of Uneducated people with Certificates...
Don't Let Schooling interfere with your Education
Baada ya kuona baadhi ya watu wanadharau shule na wengine kuona kwamba shule ndio kila kitu hadi kujipachika Sifa za Kuelimika nimeona tukumbushane Qoute ya Mark Twain; (Writer, Humorist, Enterpreneur, Lecturer) na School Drop- Out Don't Let Schooling interfere with your Education....... Ni...www.jamiiforums.com
Najua hata yeye alipokaa alijicheka mwenyeweKweli kabisa maneno mengi
Mimi nachojuwa wenye hela huwa hawaongei
Ova
Hicho ndicho ulichoelewa ? Kweli ni mgumu sana kuelewa..., Shule zisifungwe shule ni muhimu sana sio wote wanaweza kujifundisha wenyewe (self taught) kwahio shule pamoja na kupata elimu unapata networking na kujenga mahusiano na majadiliano..., LAKINI narudia tena na tena Shule sio Mwanzo wa kujifunza au Mwisho wa kujifunza kama wewe unategemea kwamba ukiwa shule ndio una absorb knowledge na ukiwa nje ya shule hauongezi knowledge huenda ndio maana uelewa wako seems to be lacking....Tufunge shule zote sababu mtu unaweza jifunzia mtaani na kupata elimu
Wewe ulikua unaponda elimu ya darasani nikakuambia tufunge shule umebadilsha gia tenaHicho ndicho ulichoelewa ? Kweli ni mgumu sana kuelewa..., Shule zisifungwe shule ni muhimu sana sio wote wanaweza kujifundisha wenyewe (self taught) kwahio shule pamoja na kupata elimu unapata networking na kujenga mahusiano na majadiliano..., LAKINI narudia tena na tena Shule sio Mwanzo wa kujifunza au Mwisho wa kujifunza kama wewe unategemea kwamba ukiwa shule ndio una absorb knowledge na ukiwa nje ya shule hauongezi knowledge huenda ndio maana uelewa wako seems to be lacking....
Wewe ni Mungu?wengi waliomilki Dunia walisoma?Huu ni ukweli tu ulio wazi.
Dunia itabaki kutawaliwa na wasomi mpaka Yesu anarudi.
Huwezi kuwa Tajiri namba moja duniani bila kusoma shule.
Pia soma: Hili la Diamond kujihakikishia kuwa atakuwa tajiri namba moja duniani linaashiria nini katika ulimwengu wa giza?
Katika dunia ya sasa usitegemee kuwa Tajiri namba moja duniani bila kujua hesabu.
Ukijua hesabu na kuzitumia kama zinavyotaka unaweza kuwa mbali na hapo sahau.
NIMEFUNGA UZI
Meneja Wa Makampuni
Kuna ukweli flani ukiona mtu ni tajiri sana na shule haipo anaishi maisha ya hovyo sana na kutokujiamini yaani inferiority complex.Hata akiwa mbunge anatumia muda mwingi kusema yeye ni wa darasa la saba .
Yuko mbunge mmoja namkubali sana shule hana ila akajiendeleza ila siku moja alisema kuwe na utaratibu wa kutoa nusu degree yaani mfano unatakiwa usome miaka 4 ukafukuzwa sababu ya kufeli basi upewe nusu degree nikajua mzee wa watu ni sababu akili yake imemtuma vile hakuwa na elimu ya kutosha.
Wote hawa wawili niliowataja wako vizuri sana kwenye siasa hata kifedha nawakubali kwa kweli wanaleta hamasa ndani ya bunge na bashasha kwa point zao.
Yuko mzee mmoja alifia kwenye guest yake na mabulungutu ya hela
yuko mwingine ana ngombe 5000 lakini analalia ngozi ya ngombe
Zuckeberg,Elon Musk,Bill Gate,Dangote,Mo Dewji wote hawa ni wasomi wazuri tu na ndio maana biashara zao ziko kimataifa.
Narudia tena una shida kubwa ya uelewa chukua majibu yote ambayo nimejibu humu onyesha wapi nimeponda elimu Iwe ya Darasani au kwenye KichuguuWewe ulikua unaponda elimu ya darasani nikakuambia tufunge shule umebadilsha gia tena
Aliyesema hatutaki shule au shule zifungwe ni nani ? Kitu ambacho hujui Elimu ni muhimu na elimu sio kama maji unakwenda shule unachota na kuondoka elimu ni muendelezo wa kujifunza mpaka siku unaingia kaburiniWatanzania mnataka nini hamjui
shule ya formal education hamuitaki basi tufunge shule ziwe sehemu za biashara watu wajifunzie mtaani hamtaki which is which
Kwahio unadhani ambao hawana vyeti certificates hawasomi ? Huo ndio uzwazwa sasa ninaokwambia na niliokua nakwambia tangia mwanzo.....Nikusaidie wakati unawasifie wasiosoma na wanamafanikio usiiponde elimu kama ulivyofanya mwanzo sababu huo ni uzwazwa
hatuangaliii kuzidiana hapa MUNGU sio mchoyo hata siku moja hata Canal Sander wa Marekani mwenye KFC hakuwa na elimu kubwa lakini alikuwa tajiri sana.Naomba nikuulize
Gsm ana inferiority complex?
Niambie professor gani anamzidi Gsm kwa chochote ?
Je Kishimba inferiority complex ?
Niambie professor gani anamzidi kishimba kwa chochote ?
Je Abood ana inferiority complex?
Je Shabiby ana inferiority complex?
Niambie professor gani anawazidi mali hao watu ?
Kuna sehemu yeyote kwenye uzi ambayo nimekuambia nina cheti au nimekuambia kiwango cha elimu yangu ebu nionyeshe nasubiriaNarudia tena una shida kubwa ya uelewa chukua majibu yote ambayo nimejibu humu onyesha wapi nimeponda elimu Iwe ya Darasani au kwenye Kichuguu
Aliyesema hatutaki shule au shule zifungwe ni nani ? Kitu ambacho hujui Elimu ni muhimu na elimu sio kama maji unakwenda shule unachota na kuondoka elimu ni muendelezo wa kujifunza mpaka siku unaingia kaburini
Kwahio unadhani ambao hawana vyeti certificates hawasomi ? Huo ndio uzwazwa sasa ninaokwambia na niliokua nakwambia tangia mwanzo.....
'The man who does not read has no advantage over the man who cannot read.'
Sasa wewe kama unajiona superior sababu una cheti kinasema wewe ni doctor wa kitu fulani na kudharau watu ambao wanafanya kitu katika industry yao kwamba unawazidi wakati wao wana experience na elimu ya hicho kitu kukuzidi wewe..., its being hubrus to say the least