Hivi hata kusoma unajua ? Qoute hayo maneno niliyosema Ad Verbatim kwamba Diamond ni bora kuliko graduate ? Na hayo mambo ya kuweka ubora kama vile ligi ya mpira ndio kupotoka kwenyewe.., narudia tena graduate wa theoretical physics katika nyanja za utunzi wa mziki ana fit ? Kwahio Diamond katika industry yake ni bora kuliko huyo graduate wa industry nyingine katika sekta ya Diamond (He is good in what he is doing)
Unaongelea kusaidia nchi ? kwa kujisaidia yeye ameweza kusaidia nchi, ndio maana hata wewe leo unamjua..., kwa kutumia muda wake ameweza kutoa vibao vya kutosha ambavyo watu wanatumia katika burudani zao (au wewe msaada kwako ni nini)?
Narudia tena unajua hata maana ya Elimu ? Katika Elimu ya mziki wewe mwenye degree ya political science unaweza kumzidi mtu ambaye ana elimu ya muziki katika mziki (through experience) wakati wewe katika industry hio ni mjinga ?
Unajua I like an argument as much as the next guy.... lakini at least in an argument we need to set up premises and we must abide to the facts......; And the Basis of what am Saying and which you seem to miss, unadhani elimu inapatikana Darasani pekee na kwenye Jengo na Ukiwa na Karatasi linalosema umepata Elimu sababu ya kulipia Karo na kukaa kwenye dawati kwa miaka kadhaa basi ume elimika.., Na mimi nakwambia kuna watu hata hawajawahi kanyaga kwenye a formal school na wameelimika kuliko wale wenye prefix before their names.....