Huwezi kuzuia rocket kwenda kama tu ikishawashwa (full power)

Huwezi kuzuia rocket kwenda kama tu ikishawashwa (full power)

Mzawa_G

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
669
Reaction score
1,475
Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua maajabu yake. Lile bomba pekeake bila engine bado alijakamilika kuitwa rocket kwani zile engine zinazomwaga moto nyuma ndizo zinafanya rocket ikamilike

Rocket ni miongoni mwa vyombo vyenye engine zenye nguvu zaidi duniani. Engine za rocket zinapowashwa ili kuweza kuinyanyua rocket kutoka ardhini, huzalisha nguvu ya Horse Power inayofikia million 30 mpaka million 40 (30,000,000 HP - 40,000,000 HP)

Kwa wale madereva wa maroli kusanya Scania 2000, Iveco 2000, Volvo 2000 na Mercedes 2000 zifunge kamba ziivute rocket kuizuia kunyanyuka kamwe Hazitoweza .

kumbuka haya maroli yetu Tz yanayo sukuma makontena huwa na Horse Power kuanzia 400 mpaka 700 hivyo unaweza kupiga hesabu mwenyew ni maroli mangapi yanaweza kufikia nguvu ya rocket moja.

Tambua kuwa rocket ikishawashwa basi huwezi tena kuizuia wala kuizima na hii ndio maana hata maandalizi ya safari za rocket huwa yanafanywa polepole tena kwa ustadi na umakini mkubwa sana ili kisije kikasahaulika kitu chochote

Nguvu inayoondoka nayo rocket hata gravity ya dunia yenyewe ambayo ndio hufanya kazi ya kuzuia kitu chochote kisitoke nje ya dunia nayo hubaki inashangaa kwani huzidiwa nguvu na kushindwa kuhimili kuendelea kuishikilia hivyo hujikuta inaiacha iende zake..(kinogesho)

[emoji419]Bob Lee KizighaView attachment 2688773
FB_IMG_1689416173676.jpg
 
Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua maajabu yake. Lile bomba pekeake bila engine bado alijakamilika kuitwa rocket kwani zile engine zinazomwaga moto nyuma ndizo zinafanya rocket ikamilike

Rocket ni miongoni mwa vyombo vyenye engine zenye nguvu zaidi duniani. Engine za rocket zinapowashwa ili kuweza kuinyanyua rocket kutoka ardhini, huzalisha nguvu ya Horse Power inayofikia million 30 mpaka million 40 (30,000,000 HP - 40,000,000 HP)

Kwa wale madereva wa maroli kusanya Scania 2000, Iveco 2000, Volvo 2000 na Mercedes 2000 zifunge kamba ziivute rocket kuizuia kunyanyuka kamwe Hazitoweza .

kumbuka haya maroli yetu Tz yanayo sukuma makontena huwa na Horse Power kuanzia 400 mpaka 700 hivyo unaweza kupiga hesabu mwenyew ni maroli mangapi yanaweza kufikia nguvu ya rocket moja.

Tambua kuwa rocket ikishawashwa basi huwezi tena kuizuia wala kuizima na hii ndio maana hata maandalizi ya safari za rocket huwa yanafanywa polepole tena kwa ustadi na umakini mkubwa sana ili kisije kikasahaulika kitu chochote

Nguvu inayoondoka nayo rocket hata gravity ya dunia yenyewe ambayo ndio hufanya kazi ya kuzuia kitu chochote kisitoke nje ya dunia nayo hubaki inashangaa kwani huzidiwa nguvu na kushindwa kuhimili kuendelea kuishikilia hivyo hujikuta inaiacha iende zake..(kinogesho)

[emoji419]Bob Lee KizighaView attachment 2688773View attachment 2688774
Naam, mkuu nasubiria mwendelezo wa mada
 
HUWEZI KUZUIA ROCKET KWENDA KAMA TU IKISHAWASHWA (FULL POWER)

Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua maajabu yake. Lile bomba pekeake bila engine bado alijakamilika kuitwa rocket kwani zile engine zinazomwaga moto nyuma ndizo zinafanya rocket ikamilike

Rocket ni miongoni mwa vyombo vyenye engine zenye nguvu zaidi duniani. Engine za rocket zinapowashwa ili kuweza kuinyanyua rocket kutoka ardhini, huzalisha nguvu ya Horse Power inayofikia million 30 mpaka million 40 (30,000,000 HP - 40,000,000 HP)

Kwa wale madereva wa maroli kusanya Scania 2000, Iveco 2000, Volvo 2000 na Mercedes 2000 zifunge kamba ziivute rocket kuizuia kunyanyuka kamwe Hazitoweza .

kumbuka haya maroli yetu Tz yanayo sukuma makontena huwa na Horse Power kuanzia 400 mpaka 700 hivyo unaweza kupiga hesabu mwenyew ni maroli mangapi yanaweza kufikia nguvu ya rocket moja.

Tambua kuwa rocket ikishawashwa basi huwezi tena kuizuia wala kuizima na hii ndio maana hata maandalizi ya safari za rocket huwa yanafanywa polepole tena kwa ustadi na umakini mkubwa sana ili kisije kikasahaulika kitu chochote

Nguvu inayoondoka nayo rocket hata gravity ya dunia yenyewe ambayo ndio hufanya kazi ya kuzuia kitu chochote kisitoke nje ya dunia nayo hubaki inashangaa kwani huzidiwa nguvu na kushindwa kuhimili kuendelea kuishikilia hivyo hujikuta inaiacha iende zake..(kinogesho)
View attachment 2690008
1689520642341.jpg
 
HUWEZI KUZUIA ROCKET KWENDA KAMA TU IKISHAWASHWA (FULL POWER)

Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua maajabu yake. Lile bomba pekeake bila engine bado alijakamilika kuitwa rocket kwani zile engine zinazomwaga moto nyuma ndizo zinafanya rocket ikamilike

Rocket ni miongoni mwa vyombo vyenye engine zenye nguvu zaidi duniani. Engine za rocket zinapowashwa ili kuweza kuinyanyua rocket kutoka ardhini, huzalisha nguvu ya Horse Power inayofikia million 30 mpaka million 40 (30,000,000 HP - 40,000,000 HP)

Kwa wale madereva wa maroli kusanya Scania 2000, Iveco 2000, Volvo 2000 na Mercedes 2000 zifunge kamba ziivute rocket kuizuia kunyanyuka kamwe Hazitoweza .

kumbuka haya maroli yetu Tz yanayo sukuma makontena huwa na Horse Power kuanzia 400 mpaka 700 hivyo unaweza kupiga hesabu mwenyew ni maroli mangapi yanaweza kufikia nguvu ya rocket moja.

Tambua kuwa rocket ikishawashwa basi huwezi tena kuizuia wala kuizima na hii ndio maana hata maandalizi ya safari za rocket huwa yanafanywa polepole tena kwa ustadi na umakini mkubwa sana ili kisije kikasahaulika kitu chochote

Nguvu inayoondoka nayo rocket hata gravity ya dunia yenyewe ambayo ndio hufanya kazi ya kuzuia kitu chochote kisitoke nje ya dunia nayo hubaki inashangaa kwani huzidiwa nguvu na kushindwa kuhimili kuendelea kuishikilia hivyo hujikuta inaiacha iende zake..(kinogesho)
1689520642341.jpg
 
HUWEZI KUZUIA ROCKET KWENDA KAMA TU IKISHAWASHWA (FULL POWER)

Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua maajabu yake. Lile bomba pekeake bila engine bado alijakamilika kuitwa rocket kwani zile engine zinazomwaga moto nyuma ndizo zinafanya rocket ikamilike

Rocket ni miongoni mwa vyombo vyenye engine zenye nguvu zaidi duniani. Engine za rocket zinapowashwa ili kuweza kuinyanyua rocket kutoka ardhini, huzalisha nguvu ya Horse Power inayofikia million 30 mpaka million 40 (30,000,000 HP - 40,000,000 HP)

Kwa wale madereva wa maroli kusanya Scania 2000, Iveco 2000, Volvo 2000 na Mercedes 2000 zifunge kamba ziivute rocket kuizuia kunyanyuka kamwe Hazitoweza .

kumbuka haya maroli yetu Tz yanayo sukuma makontena huwa na Horse Power kuanzia 400 mpaka 700 hivyo unaweza kupiga hesabu mwenyew ni maroli mangapi yanaweza kufikia nguvu ya rocket moja.

Tambua kuwa rocket ikishawashwa basi huwezi tena kuizuia wala kuizima na hii ndio maana hata maandalizi ya safari za rocket huwa yanafanywa polepole tena kwa ustadi na umakini mkubwa sana ili kisije kikasahaulika kitu chochote

Nguvu inayoondoka nayo rocket hata gravity ya dunia yenyewe ambayo ndio hufanya kazi ya kuzuia kitu chochote kisitoke nje ya dunia nayo hubaki inashangaa kwani huzidiwa nguvu na kushindwa kuhimili kuendelea kuishikilia hivyo hujikuta inaiacha iende zake..(kinogesho)
View attachment 2690008View attachment 2690009
Teacher wangu wa Physics topic ya Mechanics, nakumbuka akatuambiaga rocket inapoanza kuruka from 0km to 100km inatumia sec 2 tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
HUWEZI KUZUIA ROCKET KWENDA KAMA TU IKISHAWASHWA (FULL POWER)

1689523112187.jpg

Kama ilivyo kwa vyombo vingine basi na hata rocket pia nayo hutumia engine ili iweze kufanikisha utendaji kazi wake na mara nyingi tumekuwa tukiziona tu nakuzichukulia kawaida sana bila kujua maajabu yake. Lile bomba pekeake bila engine bado alijakamilika kuitwa rocket kwani zile engine zinazomwaga moto nyuma ndizo zinafanya rocket ikamilike

Rocket ni miongoni mwa vyombo vyenye engine zenye nguvu zaidi duniani. Engine za rocket zinapowashwa ili kuweza kuinyanyua rocket kutoka ardhini, huzalisha nguvu ya Horse Power inayofikia million 30 mpaka million 40 (30,000,000 HP - 40,000,000 HP)

Kwa wale madereva wa maroli kusanya Scania 2000, Iveco 2000, Volvo 2000 na Mercedes 2000 zifunge kamba ziivute rocket kuizuia kunyanyuka kamwe Hazitoweza .

kumbuka haya maroli yetu Tz yanayo sukuma makontena huwa na Horse Power kuanzia 400 mpaka 700 hivyo unaweza kupiga hesabu mwenyew ni maroli mangapi yanaweza kufikia nguvu ya rocket moja.

Tambua kuwa rocket ikishawashwa basi huwezi tena kuizuia wala kuizima na hii ndio maana hata maandalizi ya safari za rocket huwa yanafanywa polepole tena kwa ustadi na umakini mkubwa sana ili kisije kikasahaulika kitu chochote

Nguvu inayoondoka nayo rocket hata gravity ya dunia yenyewe ambayo ndio hufanya kazi ya kuzuia kitu chochote kisitoke nje ya dunia nayo hubaki inashangaa kwani huzidiwa nguvu na kushindwa kuhimili kuendelea kuishikilia hivyo hujikuta inaiacha iende zake.
 
KUKAA ANGA MBALI HUBADILISHA TABIA YA MISULI YA MWILI

1689523234974.jpg

Mara baada ya kurudi kutoka katika safari ya anga za mbali tumezoea kuona sana wanaanga wengi kushindwa kabisa kuwa na nguvu za kutembea yaani kutoka katika chombo mpaka kwenye kifaa maalumu cha uokozi au magari kwa muda mwengine

Madhara moja wapo ya kukaa kwa muda mrefu kwenye maeneo ya yenye kani ndogo ya uvutano kuliko ile yenye mazoea na mwanadamu ni kushindwa kabisa kutembea kwakuwa mfumo wake wa uendeshaji wa mwili huwa umebadilika kabisa

Mwili kukosa nishati ambayo hutumika kujenga uimara wa misuli ambayo kazi yake kubwa ni kuubeba mwili wako sasa kama itafikia hali hii basi hata ubongo wako utapoteza mazoea kabisa yaliyopo baina ya misuli na baadhi ya viungo vya mwilini mwako matokeo yake kama utarudi kwenye mazingira ya duniani itakufanya uchukuwe muda mrefu kidogo kuweza kurudi katika hali ya kawaida

Kwa kuliona hilo wanaanga huwekwa chini ya uangalizi maalumu mara baada ya kurudi katika safari zao mbalimbali za anga huku wakifanyishwa mazoezi mengi ya viungo ambayo huwezesha kuupa mwili nguvu yake ya kawaida naisuli kurudi katika ufanyaji wake wa kazi kama awali

Embu ngoja nikupe mfano ulishawahi kupatwa na ganzi za miguu ambapo kuna muda kama zikikukamata miguuni kitendo cha kusimama kwako huwa ni mtihani kabisa na kama ukilazimisha huweza hata kukusababishia ulemavu kwakuwa misuli ya miguu inakuwa imepoteza kabisa nguvu zake , basi tambua hali hiyo ndio huwakuta wanaanga wakirudi duniani kutokea anga za mbali
 
MAFANIKIO YA ELON MUSK KATIKA MFUMO WA UTUAJI WA ROCKET DUNIANI

1689523389095.jpg

Ngoja nikwambie Kama utapata bahati ya kumfufua Neil Amstrong kwa sasa na umwambie Elon Musk ameshafanikiwa kutuisha takribani rocket 50 basi anaweza akafikiria kwamba bado yupo usingizini Kwasababu Amstrong na wanasayansi wengine walifikiria kuwa swala hili haliwezekani kamwe na ikabaki kuwa Science Fiction ( Yaani ni Mambo ya kisayansi ya kufikirika tu kipindi Chao )

Kipindi Cha Miaka ya 2015 kurudi huko nyuma watu wengi hawakuamini Kama Rockot boosters zinaweza kutua bila ya kupata na matatizo yoyote yale na pia unaweza Tena kutumika kwa matumizi mengine Ila Mara baada ya mwanasayansi Elon musk alivyokuja na mawazo haya ambayo yalikuja kubadilisha taswira mzima na mafikirio ya wengi sana ambapo mpaka Sasa Jambo Hilo kimekuwa la kawaida kabisa ambapo hapo mwanzo lilionekana ni Jambo zito sana

1689523385001.jpg
Mwanasayansi Elon na Musk na Jopo lake waliweza kuongezea calculations kadhaa kwenye zile calculations za Uundwaji wa Rocket ambapo hapa waliweza kuongezea mahesabu ambayo yatafanya rocket boosters ziweze kuwasha thrusters zitakazoweza kusukuma boosters hizo hadi kwenye eneo lake maalumu tena kwa mahesabu yatakayofanya Landing Legs kuweza kuhumili uzito wa booster yote

Japo hapo mwanzo lilikuwa Jambo gumu hata kwa mwanasayansi Musk Ila baada ya kuharibu Mara nyingi zaidi hatimaye zoezi Hilo liliweza kufanikiwa na kubadilisha maono ya watu wengi Juu ya Jambo hili , Hadi Sasa shirika la uchunguzi wa anga za mbali NASA limependa kutumia ideas hizi katika mission mbalimbali za mwezini na sayari ya Mars Mara baada ya ujio wa Mwanasayansi musk kwa asilimia kubwa ameweza kumfufua matumaini ya siku moja wanaanga wa NASA kuweza kutua katika sayari ya Mars

Picha moja wapo za hapo chini zinaonyesha Rocket boosters za Space shuttle zikiwa zinaelea baharini Mara baada ya kutua huko kwenye bahari ya Atlantic Ocean 2011 ( kumbuka huu ndio ulikuwa Utuaji wa Rocket nyingi back then huko . Risking ilikuwa ni kubwa sana kwa maana vyombo vingi na mifumo mingi ilikuwa inapata hitilafu Mara baada ya kutua )

Rais Putin aliomba kampuni ya space x iweze kufundisha namna ya mfumo huu unavyoweza kufanya kazi katika mojawapo ya vyuo vya nchini Russia vinavyotoa elimu hii ya Rocket science engineering kwakuwa alipenda siku moja mfumo huu uje kutumika katika mojawapo ya Rocket zinazotengenezwa na Roscosmos siku moja

1689523373056.jpg
Starship Super Heavy inakwenda kuwa Rocket kubwa zaidi na Nzito itakayoweza kutumia mfumo huu wa kutua salama kwenye eneo lolote la surface ya gimba ambapo kwa Mara ya kwanza tutaona ikifanya kazi katika mwezi wa 6 au 7 mwaka huu

Main Point

Hapa suala la kutua salama kwa Rocket ilikuwa ni Science Fiction hapo mwanzo Ila Elon Musk alikuja akabadilisha na kuwa Reality , Huenda Kuna Fictions nyingi zitakazokuja kuwa Reality Ila ni kiasi Cha Muda tu

#AstronomyKiswahili
 
NCHI YA INDIA NA MISHENI YA MWEZINI 🇮🇳

1689523518420.jpg
Muda mchache uliopita Nchi ya India imerusha rocket yao kubwa ya Launch Vehichle Mach 3 kuelekea anga za mbali katika safari yake kubwa ya Mwezini

Kama unavyoweza kuona kwenye picha hapo chini rocket hiyo kubwa ndani yake imebeba mzigo mkubwa wa chombo cha Chandrayaan 3 ambacho kitakwenda moja kwa moja hadi kwenye uso wa Mwezi wetu .

August 23 chombo hicho kinategemea kutua Mwezini na kama mambo yatakwenda sawa basi India itakuwa nchi ya tatu kufanikiwa kutua katika uso wa Mwezi ambapo hapo awali ni Marekani na China pekee ndio walikuwa wamefanya jambo hilo

Moja kati ya misheni ngumu sana ambayo Nchi nyingi zimeishia kushindwa kufanikisha ambapo Nchi mojawapo ni Kama Urusi , Korea Japan na hata India ambapo wote hao walishuhudia vyombo vyao vikishindwa kuingia katika orbit na vyenginevyo vikishindwa kupata mahesabu mazuri ya kuruhusu vyombo vyao kutua kwa usalama .

Rocket kubwa kwa misheni kubwa kubwa za anga za mbali zaidi .

Nenda Chandrayaan 3

#AstronomyKiswahili
 
MWEZI WETU

1689523604228.jpg
Mwezi wetu umekuwa ukozunguka dunia yetu na kutupatia mwanga nyakati za usiku na bila ya kusahau jambo kubwa la kupwa na kujaa kwa maji baharini .

Ukiachilia mbali sifa zote hizo , Je unafahamu kuwa mwezi wenyewe ni mfano wa gimba lenye uso yaani namaanisha sehemu ya kukanyaga kama tunavyokanyaga hapa duniani

Kwa uchache wa kani ya uvutano sio tatizo kwa kiumbe kama mwanadamu kuweza kujongea juu ya uso wa mwezi wetu , ambapo ni lazimaa awe na viongeza uzito katika mwili wake ili mradi aweze kuendana na kani ya uvutano inayopatikana juu ya uso wa mwezi wetu .

Mwezi wetu unafahamika kuwa ni sehemu au eneo lililokosa hewa , kwasababu kadhaa ambazo zimepelekea hayo kutokea , ambapo mojawapo ya sababu hizo ni .

Mwezi kukosa tabaka nene au kubwa la anga hewa ambapo lingeweza kuzuia hewa inayozalishwa kutokea kwenye malighafi mbalimbali yaliyokuwepo juu ya uso wa mwezi wetu , ambapo kwa kukosekana kwa anga hewa nene na zito hupelekea hewa yote kupotelea angani

Kama mwezi kwa walau ungekuwa una uwezo wa kushika hewa zake basi pengine ingekuwa rahisi kwa kiumbe mwanadamu kuweza kukaa huko bila kuhitaji visaidia hewa

#AstronomyKiswahili
 
NCHI YA INDIA MWEZINI 🇮🇳🇮🇳🇮🇳

1689523680945.jpg
Rocket ya Launch Vehicle Mach 3 ikiwa mkao wa tayari kwa ajili ya safari yake kuelekea Mwezini ambapo Nchi ya India itajaribu tena kwa mara ya pili kutua Mwezini

Mwaka 2019 India walishindwa jaribio lao la kwanza kutuisha chombo chao cha Chandrayaani 2 ambapo kwasasa watafanya majaribio yao mengine kwa chombo cha Chandrayaani 3

Chandrayaani 2 kilishindwa kutua katika ardhi ya mwezini kwakuwa kilishindwa kupata mahesabu sahihi ya kutua katika eneo lengwa la mwezini

#AstronomyKiswahili
 
AMSTRONG NA UJASIRI WAKE WA APOLLO 11

1689523766834.jpg
Ndani ya miaka 38 tu ya maisha yake duniani Mwanaanga Neil Amstrong alichukua maamuzi makubwa maishani mwake kukubali kuwa mmoja wa wanaanga watakaokwenda mwezini kwa Mara kwa kwanza kabisa .

20 Mwezi wa saba 1969 Shirika la Uchunguzi wa masuala ya Anga la Marekani NASA lilianzisha safari yake ya kwanza katika historia ya wanadamu safari ya kwenda Mwezini , kwenda kufanya chunguzi mbalimbali za mara ya kwanza kabisa .

Baada ya masaa 76 safarini kabla ya kuingia kwenye orbit ya mwezini pengine misheni nzima ingeweza kuishia katika mtindo wa hatar kabisa , Lakini kwa ujasiri wa Amstrong ambaye alikuwa ni misheni kamanda alifanya , aliamua kufanya manual landing yaani kutuisha chombo hicho kwa mfumo wa manual baada ya ule wa automatic kuonekana pengine usingefaa kabisa .

Kama wanaanga wangelazimisha kutua kwa mfumo wa automatic basi pengine wasingefanikiwa na jambo lao sababu chombo chao kingeanguka na kulipuka sababu mahesabu yalishaharibika , chombo kingetua eneo ambalo lenye mawe mengi sana .

Chombo kilifanikiwa kutua salama na kufanya Amstrong na Buzz adrin kuwa wanadamu wa kwanza kabisa kukanyaga katika uso wa mwezini .

Mpaka sasa ni wanadamu 12 tu ambao walifanikiwa kukanyaga uso wa mwezini katika misheni mbalimbali za shirika la NASA ( Apollo 11,12,14,15,16,17)

Mpaka sasa ni miaka 54 Imepita tangu safari ya kwanza kabisa ya Mwezini kufanyika mwaka 1969

#AstronomyKiswahili
 
DUNIA YETU NA JUA LETU

1689523840822.jpg


Milele upande mmoja wa dunia yetu kikawaida huwa umetazama nuru inayotolewa na Jua letu na huku upande mwengine unakuwa umetizama eneo lenye kiza au eneo lililokosa mwangaza wa Jua .

Ni kawaida eneo linalokosa Jua hukutana na hali fulani ya baridi na baridi huzidi sana pindi pale eneo hilo linavyokuwa lipo mbali zaidi na chanzo cha mwanga ambacho pia huwa ni chanzo cha Joto .

Dunia yetu hupigwa na Jua sana kwenye eneo la equator na ndio maana kwenye eneo hilo huwa na mwangaza mkubwa wa Jua na pia huwa na Joto kali sana kwa baadhi ya vipindi ni tofauti na yale maeneo ya Hemisphere au maeneo yale ya pole za kaskazini na zile za kusini .

Upande wa kusini na kaskazini huwa sio pande zinazoshambuliwa sana na mwangaza wa Jua kwakuwa katika vipindi tofauti tofauti dunia huwa imekaa mkao wa tenge kitu kinachopelekea kukosa kabisa mwanga wa Jua na joto kupungua kabisa kwenye maeneo hayo

Kwasasa kwa upande wa kusini dunia yetu haitazami Jua kwa kiasi kikubwa kwa maana dunia imekaa tena kwa kujibinua kwa upande wa juu kuelekea Jua hivyo moja kwa moja uoande wa kusini unakuwa haujatizama jua kwa kiasi kikubwa sana

Majira yamebadilika ambapo upande wa Kaskazini kwa sasa unapitia mazingira ya Joto na upande wa kusini unapitia mazingira ya baridi ,

#AstronomyKiswahili
 
NCHI YA INDIA MWEZINI KWA MARA YA PILI

1689523917850.jpg

15 Mwezi wa saba Nchi ya India mara baada ya kushindwa kutuisha chombo cha Chandrayaan 2 Mwezini 2019 sasa wanakwenda kujaribu tena kutuisha Chandrayaan 3 katika siku chache zinazokuja .

Mwaka 2019 India walishuhudia chombo chao cha Chandrayaan 2 kikianguka katika uso wa Mwezini mara baada ya kushindwa kufanikisha mahesabu ya kuwezesha chombo chao kutua salama katika mwezi

Chandrayaan 3 haitakuwa misheni kubwa ya Uchunguzi bali itakuwa misheni ya kufanikisha kutuisha chombo cha Chandrayaan 3 mwezini ili India kuingia katika rekodi ya kuwa nchi nyengine iliyofanikiwa kutuisha chombo mwezini baada ya Marekani na China kufanikiwa katika jambo hilo .

Pichani chini ni Rocket kubwa sana ya India inayofahamika kama Launch Vehicle Mach 3 yenye muonekano kama Rocket ya Umoja wa ulaya inayofahamika kama Ariane 5

#AstronomyKiswahili
 
DUNIA IPO MBALI NA JUA ( APHELION DAY )

1689523995496.jpg

Dunia yetu leo imefikia eneo la mbali zaidi na Jua letu ambapo kwa lugha ya wenzetu hufahamika kama Aphelion day .

Katika mzunguko wa dunia kwenye Jua letu huwa tunapitia vipindi mbalimbali ambapo kuna muda dunia yetu huweza kuwa eneo la mbali au karibu zaidi na Jua letu .

Umbali kati ya dunia ya Jua ni Kilomita million 147 kama dunia ikiwa upande wa Periherion na umbali katika ya magimba hayo mawili huzidi na kufikia kilomita million 152 kama dunia ikiwa upande wa mbali zaidi ambapo huwa tunaita Aphelion .

Orbit ya dunia yetu kikawaida huwa haijakaa kama wengi wanavyofikiria yaani duara ambalo lipo sawa kwa kila upande hapana , bali orbit ya dunia yetu ni elliptical yaani mduara wa umbo kama la yai ambapo kuna upande ni mfupi na kuna upande ni mrefu nadhani kwa kiasi fulani tumeelewana .

Chunguzi za kisayansi nyingi zinasema kuwa dunia huanza kuserereka kwa kuanguka ( free fall toward the sun ) kuelekea kwenye Jua pale dunia inapokuwa imefikia upande huu wa Aphelion .

Na mchakato wake hubadilika pale tu dunia inapofikia kwenye upande wa Periherion ambapo dunia huanza kutafuta kasi ya kuendelea na safari ya kwenye mzunguko wake kama kawaida .

Kila tarehe 2 mwezi wa kwanza mwanzoni mwa mwaka dunia yetu hupitia kipindi cha kuw karibu zaidi na Jua letu ambapo huitwa ( Periherion ) na kila siku ya tarehe 7 Mwezi wa Saba dunia yetu hufikia kipindi cha (Aphelion )

#AstronomyKiswahili
 
MAENEO YA ANGA ZA MBALI NI GIZA SANA

1689524070508.jpg

Nadhani ulishawahi kujiuliza maswali mengi sana ya kwamba kama Jua linapatikana Anga za mbali sasa kwanini maeneo mengi ya angani ni giza kubwa .

Naanza kwa kujibu kuwa Mwanga unaonekana au unaweza kuonekana ni mpaka pale utakapo weza kugonga katika eneo lenye uwepo wa particles nyingi zenye kusharabu hukakisi mwanga .

Maeneo ya mbali ya anga ni giza kutokana na kukosekana na kituo chochote baina ya nyota na sayari au baina ya umbo na umbo ili kuweza kuruhusu mwanga wa Jua au nyota yoyote kuhakisiwa na kuturudishia majibu , ambapo kwa sisi viumbe tunaweza kuuona mwanga ukiwa umerudi machoni mwetu .

Kwakuwa hakuna kitu chochote cha kuweza kuhakisi mwanga basi macho huendelea kupokea na kutafsiri giza tu , haliyakuwa kuna wingi wa mianga mbalimbali iliyopo anga za mbali inayozalishwa na vyanzo vya mianga .

Tunaweza kuziona sayari mbambali zilizo angani kutokea huku duniani kwasababu moja kubwa , mwanga wa jua umeweza kuhakisiwa na sayari hizo na kuja huku duniani .

Dark Matters zinapatikana katika maeneo kama hayo ambayo tunafahamu kuna vitu ila tunashindwa kuviona kwa kutokana na sababu kadhaa mbalimbali , kuwa na particles zisizoweza kuhakisi wala kusharabu mwanga wa Jua .

Chombo cha Euclic kimepelekwa anga za mbali kwenda kufanya kazi ya kutambua hizo Dark Matters

#AstronomyKiswahili
 
Back
Top Bottom