Yaani hovyoooDomo zitooo
Haaahaa basiii amekoma "... kwa hii reply yako ..no commentBaba mjengo kesha tamka hadharani kuwa yeye ni kichaa,unafikiri wateule wake watakuwa na akili?
Aseee i thought ni me kumbe jinsia mwenzake mwaya
Bashite si wa Dar.. .katokea kuleee...Nikifika chuo sitaki kujitambulisha natokea Dar nitasema ni mkenya tu.
uwezo wa kujilipia anao ila uwezo wa kukaa kusoma na kuelewa hilo hana alishapata zero kwenye hili suala linahusu elimu.atusamehe kwakweli !anashindwa ht kujiendeleza vyuo kibao..nauwezo anao😡😡
Tabia za umama hizi,mtu mzima kwenda kuanika kende kwenye mambo hayana msingiMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa kauli yake juu ya mvutano unaoendelea kati ya Wema Sepetu na team Hamisa Mobetto juu ya jina la TZ Sweetheart. Mkuu huyo alikuwa mmmoja kati ya wageni waliohudhuria Birthday Gala ya mwanadada huyo wa filamu mwenye mvuto nchini Tanzania
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Tabia za umama hizi,mtu mzima kwenda kuanika kende kwenye mambo hayana msingi
Yani upuuzi kiwango cha le mutuz,zee zima au ndio nae type ile ya james[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
😀😀😀😀uwezo wa kujilipia anao ila uwezo wa kukaa kusoma na kuelewa hilo hana alishapata zero kwenye hili suala linahusu elimu.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Haaaahaaaa, kweli kazi ipo..huyu jamaa tangu mkuu amsifie mkuu wa mkoa simiyu Mh. Antony Mtaka kama mkuu wa mkoa anae chapa kazi basi konda kapagawa hajielewi hata akamate wapi, na issue ya makontainer yake ndio imemtoa kabisa utimamu, kapaki kuwa mshenga wa kina majizo, lemutuz na Jembe, kapotezwa akapotea.