Huwezi ukamdharau na kumtweza Manara halafu uendelee kushinda

Huwezi ukamdharau na kumtweza Manara halafu uendelee kushinda

Manara ndo nani na nyie acheni kumvimbisha kichwa hana lolote mnafiki yule mvurugaji..mwacheni Kamwe afanye kazi yake..
Yani mnataka kumfanya yy ndo kizizi cha mpira?
Toeni utopolo wenu...
 
download-1.jpg
 
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.

Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.

Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!

Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.

Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Hongera kwa kuliona Hilo,kamwe kaikuta yanga Iko vizuri na kubeba makombe ila manara katukuta tuna ukame wa miaka minne hatuna kombe tukaangaika naye usiku na mchana Leo Hii unamdhara mtu mliyoangaika naye hata kufungwa na tff?injinia epuka wahuni akina kamwe na genge lake Kumbuka ulipotoka na manara mwombe msamaha.
 
Manara ndo nani na nyie acheni kumvimbisha kichwa hana lolote mnafiki yule mvurugaji..mwacheni Kamwe afanye kazi yake..
Yani mnataka kumfanya yy ndo kizizi cha mpira?
Toeni utopolo wenu...
Endeleeni na kiburi hicho,Simba wanakufa imewaghalimu pesa na muda Leo Hii wamewaingiza kingi nanyi mmeingia,mpira wa Afrika unachezwa zaidi nje ya uwanja.
 
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.

Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.

Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!

Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.

Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Hizi mentality ndio znafanye ndugu zetu albino wakatwe viungo
 
Battalion nyuki tabora!

Kufungwa kupo tu!!

Hasta man city anafungwa na Madrid yenye vifaa vyote inafungwa lakini hakuna kelele kama hizi!
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146809View attachment 3146809
SINDANO ZA KUONGEZA NGUVU FC
HAMISA MOBETO FC
KUMBATIA NYUKI ULE ASALI FC
SUPU YA NG'OMBE FC
TATU BILA FC
MANYANI NA MAMMBWA FC
LUC EYMAEL FC
WENYE AKILI WAWILI TU FC
GETI LA NYUMA FC
KIMOKO CHA AZAM FC
GAMONDI BONDIA FC
WAMWAGA UNGA KWENYE MAGETI FC.
WACHAWI FC
MAJINI YA BAHARINI FC
MR. MPILI MCHAWI MKUU YANGA FC
BOMBA LA SINDANO FC
MATEJA FC

[emoji23][emoji23]
 
Watanzania walishanasa kwenye tope la upumbavu, kuwatoa haiwezekani labda wakufe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tabora kafanya nchi kuna vita kubwa
 
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.

Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.

Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!

Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.

Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Manara apeleke Ngekewa yake kwenye timu ya Ken Gold tuone kama itachukua ubingwa wa ligi kuu. Mleta uzi una akili zilizolala
 
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.

Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.

Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!

Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.

Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Yaani umeongea hadi nikakumbuka nilishawahi kusema jambo kama hilo mara Simba Sports walipomtema Manara. Juzijuzi alipomaliza kifungo chake nikasikia kawekwa pembeni, nilisema tujiandae kwa ANGUKO. Licha ya kucheza kale kamziki eti YANGA UTAIFUNGAJE mimi nilibaki kimya kama mtu anayeota ndoto hivi hatimaye AZAM na TABORA UNITED Wameanza kutoa majibu ni jinsi gani Yanga itafungwa. MANARA NI MHAMASISHAJI JAPO TUMEFUNGWA KUNA KITU ANGEFANYA HADI TUNGERUDI KWENYE HAMASA.

ENG HERSI MRUDISHE Haji Manara katika nafasi yake.
 
Una maana huyu sope ni aina ya ndagu fulani hivi, akinuna mambo yanakwenda ovyo kwenye familia au taasisi?
 
Kama Yanga waliweza kumtimua Mangara Tabu aliyewapa mafaniko mengi itakuwa Haji Manara ambaye ni Simba lia lia!!!
Manara tafuta kazi nyingine mpira umekushinda.
 
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.

Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.

Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!

Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.

Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Sawa Bugatti nimekusoma
 
Manara anacheza namba ipi uwanjani?

Kwahiyo Manara akipewa nafasi ya usemaji Pamba Fc Pamba itachukua ubingwa kisa Manara ana ngekewa ya ushindi?

Aise watu kama nyinyi ndiyo mnafanya hata nchi idumae kukua kiuchumi.
Kwani wakati mnamsajili kutoka simba kwa mbwembwe mlimsajili ili acheze namba ngapi?
 
Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.

Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.

Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!

Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.

Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Wewe ndiye mpumbavu unayeamini kuwa rangi ya albino inasaidia ushindi wa timu.

Nyie ndiyo mnasababisha albino wanauliwa kwa imani kuwa viungo vyao ni biashara
 
Back
Top Bottom