Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kuliona Hilo,kamwe kaikuta yanga Iko vizuri na kubeba makombe ila manara katukuta tuna ukame wa miaka minne hatuna kombe tukaangaika naye usiku na mchana Leo Hii unamdhara mtu mliyoangaika naye hata kufungwa na tff?injinia epuka wahuni akina kamwe na genge lake Kumbuka ulipotoka na manara mwombe msamaha.Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Endeleeni na kiburi hicho,Simba wanakufa imewaghalimu pesa na muda Leo Hii wamewaingiza kingi nanyi mmeingia,mpira wa Afrika unachezwa zaidi nje ya uwanja.Manara ndo nani na nyie acheni kumvimbisha kichwa hana lolote mnafiki yule mvurugaji..mwacheni Kamwe afanye kazi yake..
Yani mnataka kumfanya yy ndo kizizi cha mpira?
Toeni utopolo wenu...
Hizi mentality ndio znafanye ndugu zetu albino wakatwe viungoHersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
SINDANO ZA KUONGEZA NGUVU FCSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146809View attachment 3146809
Huyo mume wenu tumemchoka kutwa kumtaja taja. Hebu mchukueni mtupumzishe na hizo kelele
Tutamchukua asije kua mraibu wa kutumia bomba za sindanoEeeh makolo!! Mchukueni basi maana yanawatoka kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania walishanasa kwenye tope la upumbavu, kuwatoa haiwezekani labda wakufe
Manara apeleke Ngekewa yake kwenye timu ya Ken Gold tuone kama itachukua ubingwa wa ligi kuu. Mleta uzi una akili zilizolalaHersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Fanyeni haraka.Tutamchukua asije kua mraibu wa kutumia bomba za sindano
Yaani umeongea hadi nikakumbuka nilishawahi kusema jambo kama hilo mara Simba Sports walipomtema Manara. Juzijuzi alipomaliza kifungo chake nikasikia kawekwa pembeni, nilisema tujiandae kwa ANGUKO. Licha ya kucheza kale kamziki eti YANGA UTAIFUNGAJE mimi nilibaki kimya kama mtu anayeota ndoto hivi hatimaye AZAM na TABORA UNITED Wameanza kutoa majibu ni jinsi gani Yanga itafungwa. MANARA NI MHAMASISHAJI JAPO TUMEFUNGWA KUNA KITU ANGEFANYA HADI TUNGERUDI KWENYE HAMASA.Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Sawa Bugatti nimekusomaHersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Kwani wakati mnamsajili kutoka simba kwa mbwembwe mlimsajili ili acheze namba ngapi?Manara anacheza namba ipi uwanjani?
Kwahiyo Manara akipewa nafasi ya usemaji Pamba Fc Pamba itachukua ubingwa kisa Manara ana ngekewa ya ushindi?
Aise watu kama nyinyi ndiyo mnafanya hata nchi idumae kukua kiuchumi.
Wewe ndiye mpumbavu unayeamini kuwa rangi ya albino inasaidia ushindi wa timu.Hersi alimleta Haji Manara ndani ya Yanga kwa ahadi ya kumheshimu na abadani hatomkosea adabu.
Ajabu, Hersi ghafla akanogewa na vitoto vilivyoletwa mjini na Manara na mbaya zaidi akaviruhusu vimtweze.
Hakika Hersi atambue hawezi tena kupata maendeleo kwa namna alivyomtenda Haji!
Haji ni mtu wa ngekewa ya ushindi na kumfanya awe na sononeko ni kuruhusu laana ikuandame.
Ni upumbavu wa haja eti umtweze Manara na umkumbatie mjinga Ali Kamwe.
Wanaona eti wanamwachonganisha wana Yanga hapa. InasikitishaMtaandika nyuzi hadi usiku wa manane