Huwezi ukamdharau na kumtweza Manara halafu uendelee kushinda

Huwezi ukamdharau na kumtweza Manara halafu uendelee kushinda

Hongera kwa kuliona Hilo,kamwe kaikuta yanga Iko vizuri na kubeba makombe ila manara katukuta tuna ukame wa miaka minne hatuna kombe tukaangaika naye usiku na mchana Leo Hii unamdhara mtu mliyoangaika naye hata kufungwa na tff?injinia epuka wahuni akina kamwe na genge lake Kumbuka ulipotoka na manara mwombe msamaha.
Manata ni kocha au mchezaji kiasi kwamba ndio analeta shida hii yote hii?
 
Back
Top Bottom