Hongera kwa kuliona Hilo,kamwe kaikuta yanga Iko vizuri na kubeba makombe ila manara katukuta tuna ukame wa miaka minne hatuna kombe tukaangaika naye usiku na mchana Leo Hii unamdhara mtu mliyoangaika naye hata kufungwa na tff?injinia epuka wahuni akina kamwe na genge lake Kumbuka ulipotoka na manara mwombe msamaha.