Wewe kama sio mpigaji, basi unafaidika na upigaji unaoendelea chini ya serikali ya Samia!!Kuna taarifa pia ya CAG ilibainisha 1.3 trilion hazijulikani zilipo lakini kelele hazikupigwa hivi. Taarifa hii ni ya ukiukwaji tu wa taratibu sidhani kama kuna wizi mkubwa sana uliofanyika japokuwa kweli wizi upo! Nchi yangu Tanzania [emoji1241] [emoji177][emoji177]
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.
Im DONE.
Kaeni Kwa kutulia , punguzeni fyoko fyoko , anyway mkazike salama twendeni mpak 2025..Sukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.
View attachment 2581868
Umekuwa mnajimu?Miujiza itatokea tu..
Hii ni nchi.. sio kikundi cha kikoba.
Usitutishe by Maalimu seif voiceMagufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.
Im DONE.
Siogopi because I believe in KARMA!Unaogopa.. 😂😂😂
Subiri.
Mkuu hata wewe umeweka ushabiki, ni kawaida rais mpya kuweka timu yake.Mkuu em kuwa serious basi on critical matters threatening the nation. Weka ushabiki pembeni kwanza.
Taifa letu sasa lilipo bakia linahitaji uponyaji...
Subirini muone.
Sasa Si walionewa na magufuli kwa wewe unaita visasi wamerudi Tena maana wametendewa haki?Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.
Im DONE.
Leadership! leadership! leadership!!!Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.
Im DONE.
Pengine MUNGU atasikia maombi yako!Kwanini tuendelee kuishi na KARMA... kwanini tusipate kiongozi wa Nchi akemee hizi karma.. aanze upya..
Taifa letu sasa lilipo bakia linahitaji uponyaji...
Subirini muone.
Nchi hii ukichukua hatu kwa mafisadi uanmbiwa unaleta visas.Kwanini tuendelee kuishi na KARMA... kwanini tusipate kiongozi wa Nchi akemee hizi karma.. aanze upya..
Hata wewe unachokitafuta utakipata soon.Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.
Im DONE.