mama'ko alitolewa bikra na Muislam?Mm nawatoa, na wengi ni watoto wa kiislamu.
mama angu alikuwa mkristo.mama'ko alitolewa bikra na Muislam?
Kuna muda najiwazia nasema hivi nikapatwa na ulemavu wa kudumu nikiwa na mpenzi .Je atavumilia kuishi nami? Hakika muda ni jawabu
Heri uoeKuna muda najiwazia nasema hivi nikapatwa na ulemavu wa kudumu nikiwa na mpenzi .Je atavumilia kuishi nami? Hakika muda ni jawabu
Waka picha ya huyo demu tumtathiminidemu akamtema akaenda kuolewa na baharia mwingine.
Akizungumza katika 'Intavyuu' maalum na Mwananchi Feisal Salum maarufu Fei Toto amefunguka yafuatayo kuhusu mahusiano yake.
"Lile sakata liliniathiri kwenye mambo mengi sana sio kwa upande wa kucheza pekee, wakati niko kwenye wakati mgumu kama ule kila wakati unafikiria hii kesi itaishaje, nikakutana na pigo lingine la kukimbiwa na mpenzi wangu ambaye niliamini ningekuja kumuoa.
"Aliona kama maisha yangu ya soka tena basi ndio yameishia pale alishindwa kuvumilia na kuamua kutafuta mtu mwingine kitu kilichoniumiza zaidi ni hatua mbaya zaidi kwangu ikawa kwenda kuolewa tena nikiwa katikati ya lile sakata, sikuwa nimemuoa ila tulikuwa na mipango mingi ya maisha kati yetu, hakutaka kuvumilia kabisa nililazimika kuyapokea maamuzi yake hakukuwa na namna na sasa nimerudi uwanjani maisha mengine yataendelea tu."
HAKUMTAFUTA BAADA YA SAKATA KUMALIZIKA
"Hapana hakunitafuta na wala mimi sikumtafuta nilikubaliana na maisha au maamuzi aliyoyachukua na bahati mbaya sana mimi huwa sina hulka ya kuangalia nyuma eneo ambalo nimeondoka nilikubaliana naye maisha lazima yaendelee kwake na kwangu nikipata mwingine nitashukuru Mungu.
Chanzo: Mwanachi
Kuna muda najiwazia nasema hivi nikapatwa na ulemavu wa kudumu nikiwa na mpenzi. Je atavumilia kuishi nami? Hakika muda ni jawabu
Hakika chief.Thubutu. Omba Mungu aepushie mbali.
Wanawake huwa tunaona mbali, wee mtu anawanyambua mabosi wake hadharani, mara anasema walikuwa wanamlisha ugali na sukari ndo angeweza kumstiri mke?
Siku vingeumana angeenda klauzi kusema mke alikuwa anampa nyama mbichi (elewa neno nyama) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanaume kifua bwana, mwanaume koromeo, mwanaume hasusi.... lile sakata lilionesha ana umama mwingi, kiasi akimbiwe.
Ana Utoto badoSasa ulitegemea kuna mwanamke atakaa na mwanaume mjinga kiasi cha kutangaza anakula ugali na sukari
Huu ni Ukweli kwa 1000%Eti kuna wajinga wanaamin wanapendwa na wanawake walionao
Ukweli ni kuwa mwanamke anapenda hali yako ya kimaisha
utaelewa kwann ikulu hamna vyumba vya kupanga.Kuna muda najiwazia nasema hivi nikapatwa na ulemavu wa kudumu nikiwa na mpenzi. Je atavumilia kuishi nami? Hakika muda ni jawabu
Mama k ..,mwananchi pureWanawake huwa tunaona mbali, wee mtu anawanyambua mabosi wake hadharani, mara anasema walikuwa wanamlisha ugali na sukari ndo angeweza kumstiri mke?
Siku vingeumana angeenda klauzi kusema mke alikuwa anampa nyama mbichi (elewa neno nyama) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanaume kifua bwana, mwanaume koromeo, mwanaume hasusi.... lile sakata lilionesha ana umama mwingi, kiasi akimbiwe.
Kweli kabisautaelewa kwann ikulu hamna vyumba vya kupanga.
Duuh
Akizungumza katika 'Intavyuu' maalum na Mwananchi Feisal Salum maarufu Fei Toto amefunguka yafuatayo kuhusu mahusiano yake.
"Lile sakata liliniathiri kwenye mambo mengi sana sio kwa upande wa kucheza pekee, wakati niko kwenye wakati mgumu kama ule kila wakati unafikiria hii kesi itaishaje, nikakutana na pigo lingine la kukimbiwa na mpenzi wangu ambaye niliamini ningekuja kumuoa.
"Aliona kama maisha yangu ya soka tena basi ndio yameishia pale alishindwa kuvumilia na kuamua kutafuta mtu mwingine kitu kilichoniumiza zaidi ni hatua mbaya zaidi kwangu ikawa kwenda kuolewa tena nikiwa katikati ya lile sakata, sikuwa nimemuoa ila tulikuwa na mipango mingi ya maisha kati yetu, hakutaka kuvumilia kabisa nililazimika kuyapokea maamuzi yake hakukuwa na namna na sasa nimerudi uwanjani maisha mengine yataendelea tu."
HAKUMTAFUTA BAADA YA SAKATA KUMALIZIKA
"Hapana hakunitafuta na wala mimi sikumtafuta nilikubaliana na maisha au maamuzi aliyoyachukua na bahati mbaya sana mimi huwa sina hulka ya kuangalia nyuma eneo ambalo nimeondoka nilikubaliana naye maisha lazima yaendelee kwake na kwangu nikipata mwingine nitashukuru Mungu.
Chanzo: Mwanachi