Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

Mjeshi.png
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
 
View attachment 2683653Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!
Lake zone,Western Zone na Kanda ya Ziwa Hawa watu wako wengi sana wamegeuza ni kwao ,na hisi watu wa uhamiaji wanachukua mlungula.
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Hadi Mpeta? Duu Sasa sijui Tiss Wetu wanalielewa hili au inakuaje
 
Hadi Mpeta? Duu Sasa sijui Tiss Wetu wanalielewa hili au inakuaje

Kote huko na wapelelezi wengine hasa wanyarwanda ni madreva wa malori yaendayo bandarini kuchukua mizigo kutoa dar to rwanda, na wengine maspy wanapiga ruti za makaa ya mawe mbinga to kigali haya yote hufahamika muda mrefu sana , sema hua nikileta uzi hapa wanafuta faster kuna siku niliwasema sana uhamiaji hapa wakanipiga na ban
 
Kote huko na wapelelezi wengine hasa wanyarwanda ni madreva wa malori yaendayo bandarini kuchukua mizigo kutoa dar to rwanda, na wengine maspy wanapiga ruti za makaa ya mawe mbinga to kigali haya yote hufahamika muda mrefu sana , sema hua nikileta uzi hapa wanafuta faster kuna siku niliwasema sana uhamiaji hapa wakanipiga na ban
duuh no wonder zile pangaa za mauaji ya kimbari wanadai zilipitia hapaaa...noma sana
 
duuh no wonder zile pangaa za mauaji ya kimbari wanadai zilipitia hapaaa...noma sana

Usishangae hata risasi zilikua zinaingizwa kama mafuta ya kula, ndoo kubwakubwa za lita 20 , zinakua cleared kama mafuta yakula kumbe wazee wanasafirisha mizigo yao enzi hizo na mara nyingi ngoma zilisafirishwa kwa treni hadi isaka au kigoma ndio mizigo inasambazwa kwa wenyewe iwe waasi au vinginevo na agent aliekua anafanya clearance ya mizigo ya aina hiyo alilipwa pesa ndefu, dunia ina mambo sana hujiulizi waasi hupata wapi silaha nzito, na vifaa vya kijeshi?
 
Back
Top Bottom