Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
Bijampola pale palikuwa na malaya wengi sana wa kinyarwanda pamoja na bar maids. Kahama kuna wanyarwanda wengi mno. lakini woote hao hawana madhara kwetu, ndio maana hata tulipoamua kupiga operation kimbunga, walistukizwa tu hata kabla hawajajiandaa wakaanza kupokea refugee toka Tanzania wenye asili ya kinyarwanda. nadhani hawatakuja kusahau kile kivumbi. na yale mang'ombe yao walikuwa wanauza sawa na bure, walipata hasara ya kutosha na wataishi na Tanzania kwa akili.

hivi, wewe kama tembo, kindege kikikaa mgongoni mwako na hakina hata uwezo wa kukuua kuna shida gani? si kitasaidia kuondoa kupe? kwa taarifa yako, wao wapo hapa na sisi tupo kule kwao, ngome drooo.
 
Mimi nilimfahamu zamani kama mtu wa upelelezi wa Rwanda, na nilikua nakutana nae sana bijampora na moclay, na niliwahi kuleta uzi hapa jukwaani kua maspy wa Uganda, Rwanda hua wanaingia Tanzania kama wafanyabiashara, na niliwahi kutoa hadi ushahidi kua Rwanda, uganda na burundi serikali hutoa mamilioni ya pesa kwa baadhi ya wanausalama wao na kuingia nchini hadi vijijini kununua mazao hasa ya chakula ili kulinda usalama wa chakula kwenye nchi zao na kama ukiacha kahama wanausalama hao wako hadi ifakara, kasulu, mpanda, sumbawanga, kibondo, mpeta, mbeya, kibaigwa na maeneo mengine mengi lakini huingia kama wajasiliamali, huo ndio ukweli
inaonekana intelligence yetu inazidiwa na wanya Rwanda, yetu imejikita kitaifa zaidi kuwatafuta wanamkosoa Rais na Serikali yake badala kuwa kimataifa zaidi kudeal na chumi za mataifa mengine
 
Usalama ilikuwa ya enzi za Mwalimu. Kwanza Tanganyika na Zanzibar zikaungana, nchi ikapitia changamoto ya seating President wa Zanzibar kuuwawa tena Rais wa kwanza, mara Jumbe akafungwa kifungo cha ndani.

Baadae tukaingia kwenye ujamaa jambo la kuchukizwa na Westerns. Pia tukasaidia harakati za ukombozi wa nchi za Afrika tukawachukiza hasa South Africa na Northern Rhodesia na Portugal. Hao wote wakawa maadui zetu na taasisi zao za usalama zikawa zinatutafuta hasahasa BOSS ya South Africa iliyokuwa nzuri sana ya level za kimataifa. Uko kote tukachomoka.

Bado kuna tishio la mapinduzi la kina Hans Pope. Labda ile mutiny iliyozimwa na Kambona ndio ilikuwa bahati ila mambo mengine ilikuwa ni counter-intelligence. Hatutokaa tuwe na usalama wa taifa bora kama kipindi kile, ashukuriwe hasa kizazi cha Emilio Mzena.
Siku hizi tunao akina "unanijua mimi ni nani" unashangaa nini kuona informers wa majirani. Hadi JWTZ wapo. Alafu cha ajabu sio kwamba hawajulikani wala tetesi hamna, tetesi zipo na taasisi ikitaka kuwa serious mbona wanakamatwa kwani wana maajabu gani. Ila kawaida ya mswahili ni kuwa na mapuuza
 
sisi tuna maspy mpaka sauzi kwa madiba sembuse nchi jirani

Kila nchi ina maspy kwenye nchi nyingine kwa Rwanda lazima awepo zaidi Tanzania maana ana maslahi mapana sana na nchi hii na zaidi pia Congo DR lazima asambae sana , ukumbuke kila mnyarwanda utaemuona Tanzania hata kama kazaliwa karagwe , muleba, biharamuro, geita, runzewe, nyakanazi, akivuka rusumo anakua na haki sawa na mnyarwanda aliezaliwa rwanda kura anapiga na documents nyingine nyingi anapata bure kabisa, na ndio maana kagame ana uraia wa uganda kamili na rwanda maana aliwahi kua head of intelligence wa uganda mapema kabisa kipindi museveni anaingia madarakani
 
inaonekana intelligence yetu inazidiwa na wanya Rwanda, yetu imejikita kitaifa zaidi kuwatafuta wanamkosoa Rais na Serikali yake badala kuwa kimataifa zaidi kudeal na chumi za mataifa mengine

Bei za mazao Tanzania hasa kanda ya ziwa huamuliwa na Rwanda na Uganda hua wanaamua wapandishe bei kiasi gani au washushe bei kiasi gani ili wanunue waweke kwenye hifadhi zao za chakula na baadae kwa mfano uganda vyakula kwetu vikiisha wanarudi tena kutuuzia walivyonunua kwetu kwa bei ndogo hiyo ndio kazi ya wapelekezi kulinda maslahi ya kiuchumi ya nchi. Zao
 
Wawekezaji wengi Duniani wametumwa Idara za Upelelezi za nchi kubwa Duniani na wanapeleka Taarifa zote za kiupelelezi Kwa nchi hizo.

Mfano waChina wengi waliopo Afrika ni ama askari au wafungwa .

Mlishudia jinsi kada wa CCM na mwekezaji marehemu Hamza alivyokua mahiri katika kuitumia AK47
 
inaonekana intelligence yetu inazidiwa na wanya Rwanda, yetu imejikita kitaifa zaidi kuwatafuta wanamkosoa Rais na Serikali yake badala kuwa kimataifa zaidi kudeal na chumi za mataifa mengine
trust me, intelligensia yetu ipo juu yao mbali. intelijensi nguvu yake ni pesa tu, kule kule Rwanda kuna wanyarwanda wenye sura za kitusi kabisa ambao wanaipeleleza nchi yao wenyewe na kuleta taarifa hata kwetu, cha muhimu ni pesa tu. pia, ukiwa na maadui wengi nchini kwako jiandae kuwa na raia wengi watakaofanya intelijensia kwa ajili ya majirani zako. wapinzani wa kageme ni wengi mno hata wa kabila lake la kitusi. ukiongea nao chap wanakuwa wanakuletea taarifa wakidhani kuna siku ataondolewa ili waishi kwa raha. nchi yetu ipo vizuri.
 
trust me, intelligensia yetu ipo juu yao mbali. intelijensi nguvu yake ni pesa tu, kule kule Rwanda kuna wanyarwanda wenye sura za kitusi kabisa ambao wanaipeleleza nchi yao wenyewe na kuleta taarifa hata kwetu, cha muhimu ni pesa tu. pia, ukiwa na maadui wengi nchini kwako jiandae kuwa na raia wengi watakaofanya intelijensia kwa ajili ya majirani zako. wapinzani wa kageme ni wengi mno hata wa kabila lake la kitusi. ukiongea nao chap wanakuwa wanakuletea taarifa wakidhani kuna siku ataondolewa ili waishi kwa raha. nchi yetu ipo vizuri.

Not simple as you think, narudia usichukulie poa intelligence ya Rwanda kwa majirani zake, tambua hadi wasomi wa vyuo vikuu kagame miaka mingi alikuletea wanawake ambao wako well trained na wakaingia kama wanafunzi na wenginewameajiriwa humu humu,
 
Huwezi kuzuia spies, zaidi sana utachoweza kufanya ni kutunza informations zako!

Ndio dunia ilivo kuna mbinu nyingi za kufanya upelelezi kwa mfano ukiwa kigali kamwe huwezi kudivert call! Lakini ukiwa bongo divertion unafanya kama kawaida, ndio maana ulisikia magufuli hata samia wanawasifu ma IT wa Rwanda haikua bahati mbaya kabisa, kwenye teknolojia jamaa wako mbali, hata rekodi za mazungumzo ya simu ya viongozi wako yalichukuliwa kutokea Rwanda then magufuli akamwagiwa ndio akachanganyikiwa
 
Not simple as you think, narudia usichukulie poa intelligence ya Rwanda kwa majirani zake, tambua hadi wasomi wa vyuo vikuu kagame miaka mingi alikuletea wanawake ambao wako well trained na wakaingia kama wanafunzi na wenginewameajiriwa humu humu,
hata rwanda kuna watu wameajiriwa kulekule lakini ni intelijensia ya wabongo. nini kinakufanya usielewe?
 
Kote huko na wapelelezi wengine hasa wanyarwanda ni madreva wa malori yaendayo bandarini kuchukua mizigo kutoa dar to rwanda, na wengine maspy wanapiga ruti za makaa ya mawe mbinga to kigali haya yote hufahamika muda mrefu sana , sema hua nikileta uzi hapa wanafuta faster kuna siku niliwasema sana uhamiaji hapa wakanipiga na ban
CCM imeua uzalendo wa nchi yetu.
Wamebaki Wazalendo wa matumbo . Kila mtu Kwa Sasa anawaza maisha yake na cheo chake tuu.
CCM na serikali yake wamewajenga watanzania kwenye dhana ya Pesa mbele kwanza.

Likitoka tamko kama lile la lockdown ndio tutajuana vizuri.
 
Kwa wafanyabiashara wa karanga kutoka Kahama kwenda Rwanda, hakika watakuwa wanamfahamu mwamba huyo.

Nimeshangaa kumuona ndani ya vazi la kazi la jeshi la nchi fulani tena kama Lt Col!

Tunaposema miji kama Ngara, Nyakahura, Nyakanazi, Runzewe, Ushirombo, Kahama, Kagongwa, Isaka, Shinyanga, Mwanza, Tabora, Singida na karibia Nchi nzima wameenea, muwe mnatuelewa!

Ama kweli vita vya medani, ni hatari!

View attachment 2683680
ulitaka anunue SCRAPER ZA MAGARI???
 
Mkuu unikumbuke kwenye ufalme wako

Ngoja tubinafsishe kwanza bandari, DP world wakiingia ndio utajua kwa nini DP world haohao wamejenga bandari kavu kigali, hapo utaona nguvu ya waasi mashariki mwa DRC haitotulia maana supply ya silaha itakua ya uhakika lakini ndugu zetu tukitumia code ya vipi usalama ukoje? Hawajibu wanatoa sababu za kitoto, kagame kawafahamu DP world kabla yenu na kuna madirector wa DP world kwa bongo watakua ma senior spies from rwanda, tunza hii kumbukumbu
 
Back
Top Bottom